Hongera Pascal Mayalla kwa kuupata Uwakili

Hongera Pascal Mayalla kwa kuupata Uwakili

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Naona leo Pacal Mayalla ni miongoni mwa Mawakili waliopokelewa na kukubaliwa kuwa Mawakili, tukio lililofanyika katika Ukumbi wa Karimjee huku Jaji Mkuu akiwa ndio Mgeni Rasmi.

Hongera sana Pascal, ila upunguze kuchomekea sifa zingine kama kuwa Mtangazaji wa kwanza kuwa wakili na badala yake acha watu wengine wakusifie(itapendeza zaidi).
 
Daaah huyo jamaa nilikuwa sjui kama ni mhenga
Mawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
 
Mawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
Umemwelewa vibaya, bila shaka. Nadhani alimaanisha kwamba naye yumo miongoni mwa wenye taaluma za sherika/uwakili. ^Uhenga^ hauna maana ya ukale au uzee tu.

Pia humaanisha ubora ama ufarisi ama ubobezi kitaaluma.

Tuliza mzuka, tafadhali. Njoo mambo iko huku!
 
Mawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
Hizo zinaitwa za usoni, ukimeza ukitema ni shauri yako.
Huyo ana roho kama za wajumbe.

Pascal Mayalla hongera mwaya, nitakutafuta nina kesi zangu mbili, hope haki yangu nitaipata through wewe.
 
Mawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
hivi umemuelewa Slowly au yanakutoka tu kama umetupiwa kimiminika
 
Naona leo Pacal Mayala ni miongoni mwa Mawakili waliopokelewa na kukubaliwa kuwa Mawakili, tukio lililofanyika katika Ukumbi wa Karimjee huku Jaji Mkuu akiwa ndio Mgeni Rasmi.

Hongera sana Pasca, ila upunguze kuchomekea sifa zingine kama kuwa Mtangazaji wa kwanza kuwa wakili na badala yake acha watu wengine wakusifie(itapendeza zaidi).
Hongera kwake. Akawe wakili mzuri wa kumtetea mwenye haki na aisimamie taaluma aliyobarikiwa na M/Mungu.
 
Mawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
Jombaa kosa langu ni lipi , Una stress za nini boss ? Kusema kuwa huyo jamaa skujua kama umri umesonga ndo unaniwakia hvyo ...we kima nini
 
Hongera kwake,bilashaka wale Covid19,watakua hapo Karimjee wakishuhudia uapaji wa wakili mpya,kwani kesi yao itaongezewa Mayalla na hivyo kuwepo uwezekano wa kushinda.
 
Umemwelewa vibaya, bila shaka. Nadhani alimaanisha kwamba naye yumo miongoni mwa wenye taaluma za sherika/uwakili. ^Uhenga^ hauna maana ya ukale au uzee tu.

Pia humaanisha ubora ama ufarisi ama ubobezi kitaaluma.

Tuliza mzuka, tafadhali. Njoo mambo iko huku!

Kwani kuwa mhenga kiumri ni tatizo ? Yule angonga 60 yrs around hapo ! Kongele mhenga
 
Back
Top Bottom