Hongera Pascal Mayalla kwa kuupata Uwakili

Hongera Pascal Mayalla kwa kuupata Uwakili

Umemwelewa vibaya, bila shaka. Nadhani alimaanisha kwamba naye yumo miongoni mwa wenye taaluma za sherika/uwakili. ^Uhenga^ hauna maana ya ukale au uzee tu.

Pia humaanisha ubora ama ufarisi ama ubobezi kitaaluma.

Tuliza mzuka, tafadhali. Njoo mambo iko huku!
Ndiyo alimuelewa vibaya na bila shaka hakufanya synthetic analysis. Jamaa alimaanisha kumbe Mayalla Pascal ni miongoni mwa watu wenye hekima, maarifa na busara (learned advocate). Kongole Sana to Mayalla kwa nafasi hii muhimu ya kuitumikia jamii. Ilani kwa Pascal: usisahau nakala zako za " kwa maslahi ya taifa.
 
Mawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
Mkuu, Hebu soma kwa kutulia alichoandika na maana yake bwana Slowly , kisha kwa kutulia hivyo hivyo soma tena majibu yako. Naamini unaweza kumwomba radhi kiungwana tu.
 
Naona leo Pacal Mayala ni miongoni mwa Mawakili waliopokelewa na kukubaliwa kuwa Mawakili, tukio lililofanyika katika Ukumbi wa Karimjee huku Jaji Mkuu akiwa ndio Mgeni Rasmi.

Hongera sana Pascal, ila upunguze kuchomekea sifa zingine kama kuwa Mtangazaji wa kwanza kuwa wakili na badala yake acha watu wengine wakusifie(itapendeza zaidi).
Ni habari mbaya Sana hii hasa ukichukulia muda wote anakuwa upande wa uovu kwenye mabandiko yake imagine wakili anayeona boriti kwa chadema ila haoni kibanzi kwa mzee mdee et al
 
Mawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
We nawe shobo sana kuteuliwa Kuna maajabu gani Kama analeta ubaguzi na nyuzi zake asisemwe punguza shobo dundo atasemwa kwa utajiri gani mpaka mo dewji anasemwa
 
Ni habari mbaya Sana hii hasa ukichukulia muda wote anakuwa upande wa uovu kwenye mabandiko yake imagine wakili anayeona boriti kwa chadema ila haoni kibanzi kwa mzee mdee et al
Wewe nawe hovyo tuu, mbona chadema wana mawakili wao akina Kiibatala, Malya etc hujasema ni habari mbaya?
 
Naona leo Pacal Mayala ni miongoni mwa Mawakili waliopokelewa na kukubaliwa kuwa Mawakili, tukio lililofanyika katika Ukumbi wa Karimjee huku Jaji Mkuu akiwa ndio Mgeni Rasmi.

Hongera sana Pascal, ila upunguze kuchomekea sifa zingine kama kuwa Mtangazaji wa kwanza kuwa wakili na badala yake acha watu wengine wakusifie(itapendeza zaidi).
CV ya huyu njaa ikoje? Kajiendeleza OU? Maana ni mwandishi wa habari kitaaluma.
 
Mawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
Mkuu kusema mtu ana umri mkubwa ni roho ya kimaskini na uchawi?
Mbona ni kama vile ume react sana kwa neno dogo tu. Uhenga ni kumaanisha umri mkubwa.
 
Naona leo Pacal Mayala ni miongoni mwa Mawakili waliopokelewa na kukubaliwa kuwa Mawakili, tukio lililofanyika katika Ukumbi wa Karimjee huku Jaji Mkuu akiwa ndio Mgeni Rasmi.

Hongera sana Pascal, ila upunguze kuchomekea sifa zingine kama kuwa Mtangazaji wa kwanza kuwa wakili na badala yake acha watu wengine wakusifie(itapendeza zaidi).
Tanzania Mawakili ni Marehemu Mzee Masumbuko Lamwai, Mzee Nimrod Mkono, Tundu Lissu, Albert Msando na Peter Kibatala ila hawa Wengine ( hasa wa Leo ) ndiyo wanaenda kufanya Tasnia nzima ya Uwakili kuanza Kudharaulika kwakuwa baadhi yao huko walikokuwa walisifika zaidi kwa kutokuwa na Akili ( Mazuzu ) tupu tu.
 
Mawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
Hili nalo limetokea wapi linakuja kama faru aliyejeruhiwa, halijui kiswahili limejaa mahasira ya kijinga na halijui kuuliza kuhusu maneno lisiloyajua.
 
Back
Top Bottom