Hongera Pascal Mayalla kwa kuupata Uwakili

Ndiyo alimuelewa vibaya na bila shaka hakufanya synthetic analysis. Jamaa alimaanisha kumbe Mayalla Pascal ni miongoni mwa watu wenye hekima, maarifa na busara (learned advocate). Kongole Sana to Mayalla kwa nafasi hii muhimu ya kuitumikia jamii. Ilani kwa Pascal: usisahau nakala zako za " kwa maslahi ya taifa.
 
Mkuu, Hebu soma kwa kutulia alichoandika na maana yake bwana Slowly , kisha kwa kutulia hivyo hivyo soma tena majibu yako. Naamini unaweza kumwomba radhi kiungwana tu.
 
Ni habari mbaya Sana hii hasa ukichukulia muda wote anakuwa upande wa uovu kwenye mabandiko yake imagine wakili anayeona boriti kwa chadema ila haoni kibanzi kwa mzee mdee et al
 
We nawe shobo sana kuteuliwa Kuna maajabu gani Kama analeta ubaguzi na nyuzi zake asisemwe punguza shobo dundo atasemwa kwa utajiri gani mpaka mo dewji anasemwa
 
Ni habari mbaya Sana hii hasa ukichukulia muda wote anakuwa upande wa uovu kwenye mabandiko yake imagine wakili anayeona boriti kwa chadema ila haoni kibanzi kwa mzee mdee et al
Wewe nawe hovyo tuu, mbona chadema wana mawakili wao akina Kiibatala, Malya etc hujasema ni habari mbaya?
 
CV ya huyu njaa ikoje? Kajiendeleza OU? Maana ni mwandishi wa habari kitaaluma.
 
Mkuu kusema mtu ana umri mkubwa ni roho ya kimaskini na uchawi?
Mbona ni kama vile ume react sana kwa neno dogo tu. Uhenga ni kumaanisha umri mkubwa.
 
Tanzania Mawakili ni Marehemu Mzee Masumbuko Lamwai, Mzee Nimrod Mkono, Tundu Lissu, Albert Msando na Peter Kibatala ila hawa Wengine ( hasa wa Leo ) ndiyo wanaenda kufanya Tasnia nzima ya Uwakili kuanza Kudharaulika kwakuwa baadhi yao huko walikokuwa walisifika zaidi kwa kutokuwa na Akili ( Mazuzu ) tupu tu.
 
Hili nalo limetokea wapi linakuja kama faru aliyejeruhiwa, halijui kiswahili limejaa mahasira ya kijinga na halijui kuuliza kuhusu maneno lisiloyajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…