Ivan conspicuous
Senior Member
- Jun 19, 2022
- 103
- 83
Ndiyo alimuelewa vibaya na bila shaka hakufanya synthetic analysis. Jamaa alimaanisha kumbe Mayalla Pascal ni miongoni mwa watu wenye hekima, maarifa na busara (learned advocate). Kongole Sana to Mayalla kwa nafasi hii muhimu ya kuitumikia jamii. Ilani kwa Pascal: usisahau nakala zako za " kwa maslahi ya taifa.Umemwelewa vibaya, bila shaka. Nadhani alimaanisha kwamba naye yumo miongoni mwa wenye taaluma za sherika/uwakili. ^Uhenga^ hauna maana ya ukale au uzee tu.
Pia humaanisha ubora ama ufarisi ama ubobezi kitaaluma.
Tuliza mzuka, tafadhali. Njoo mambo iko huku!
Mkuu, Hebu soma kwa kutulia alichoandika na maana yake bwana Slowly , kisha kwa kutulia hivyo hivyo soma tena majibu yako. Naamini unaweza kumwomba radhi kiungwana tu.Mawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
Ni habari mbaya Sana hii hasa ukichukulia muda wote anakuwa upande wa uovu kwenye mabandiko yake imagine wakili anayeona boriti kwa chadema ila haoni kibanzi kwa mzee mdee et alNaona leo Pacal Mayala ni miongoni mwa Mawakili waliopokelewa na kukubaliwa kuwa Mawakili, tukio lililofanyika katika Ukumbi wa Karimjee huku Jaji Mkuu akiwa ndio Mgeni Rasmi.
Hongera sana Pascal, ila upunguze kuchomekea sifa zingine kama kuwa Mtangazaji wa kwanza kuwa wakili na badala yake acha watu wengine wakusifie(itapendeza zaidi).
We nawe shobo sana kuteuliwa Kuna maajabu gani Kama analeta ubaguzi na nyuzi zake asisemwe punguza shobo dundo atasemwa kwa utajiri gani mpaka mo dewji anasemwaMawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
Acha wivu wakike we dada..ndio mana kila siku unachika.Jiwakili libaguzi katika vyama ,ukabila na udini hatulipongezi
Wewe nawe hovyo tuu, mbona chadema wana mawakili wao akina Kiibatala, Malya etc hujasema ni habari mbaya?Ni habari mbaya Sana hii hasa ukichukulia muda wote anakuwa upande wa uovu kwenye mabandiko yake imagine wakili anayeona boriti kwa chadema ila haoni kibanzi kwa mzee mdee et al
CV ya huyu njaa ikoje? Kajiendeleza OU? Maana ni mwandishi wa habari kitaaluma.Naona leo Pacal Mayala ni miongoni mwa Mawakili waliopokelewa na kukubaliwa kuwa Mawakili, tukio lililofanyika katika Ukumbi wa Karimjee huku Jaji Mkuu akiwa ndio Mgeni Rasmi.
Hongera sana Pascal, ila upunguze kuchomekea sifa zingine kama kuwa Mtangazaji wa kwanza kuwa wakili na badala yake acha watu wengine wakusifie(itapendeza zaidi).
Mkuu kusema mtu ana umri mkubwa ni roho ya kimaskini na uchawi?Mawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
Hebu Ingia wakili database um searchHongera sana kwake, Sahiv atakuwa anacheza na vifungu vya sheria
Tanzania Mawakili ni Marehemu Mzee Masumbuko Lamwai, Mzee Nimrod Mkono, Tundu Lissu, Albert Msando na Peter Kibatala ila hawa Wengine ( hasa wa Leo ) ndiyo wanaenda kufanya Tasnia nzima ya Uwakili kuanza Kudharaulika kwakuwa baadhi yao huko walikokuwa walisifika zaidi kwa kutokuwa na Akili ( Mazuzu ) tupu tu.Naona leo Pacal Mayala ni miongoni mwa Mawakili waliopokelewa na kukubaliwa kuwa Mawakili, tukio lililofanyika katika Ukumbi wa Karimjee huku Jaji Mkuu akiwa ndio Mgeni Rasmi.
Hongera sana Pascal, ila upunguze kuchomekea sifa zingine kama kuwa Mtangazaji wa kwanza kuwa wakili na badala yake acha watu wengine wakusifie(itapendeza zaidi).
Shule ndo ungojee uteuzi kaliwe shibishani na wajinga kama weweAcha wivu wakike we dada..ndio mana kila siku unachika.
Kama weww shule ilikushinda..usitake na wengine iwashinde.
#MaendeleoHayanaChama
Hili nalo limetokea wapi linakuja kama faru aliyejeruhiwa, halijui kiswahili limejaa mahasira ya kijinga na halijui kuuliza kuhusu maneno lisiloyajua.Mawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine