Hongera Paul Makonda kwa kupata mtoto wa kiume

Tukio kama hili ni tukio la furaha. Tusimamishe vita zetu, tumkaribishe mtanzania mpya na tuwape hongera wazazi wake. Keshokutwa tunaweza kurudi vitani. Hongera Paul na Mama.
 
Ndio maana alikua hasikiki muda
Kumbe alienda tena China kumpandikiza uchungu huyo patna wake
 
Mbegu za watu anazipa jina lake
Watu wake wa karibu mshaurini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…