Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unawajua wasanii wa bongo uzuriKunguru hafugiki. Kama ni ndoa kweli na sio kiki basi ni swala la muda tu tutasikia kalala na baba mkwe wake au mama yake kamtunuku tunda mume wa mwanae
Hako katoto ni kakahaba by genetics.
uzuri bila ya akili adhabu inapata kikojoleo. Nyuchi za haka katoto na mama yake zitafika mbinguni zikiwa right off.
MkuuSiku ya jumanne tarehe 28 Paula mtoto wa Pfunky na Kajala ameachana na ukapera rasmi baada ya kufunga Ndoa na raia wa Nigeria ambae anaishi Dubai anayeitwa Ally.
Mungu amtangulie maana shule ilimshinda mapema kabisaa mwanetu nadhani kwenye Ndoa atatulia Sasa na Bora ameachana na drama za wasanii za wabongo.
Namuombea akawe mke mwema na mama Bora wa familia yake Huko aendako,akawe mjenzi wa nyumba sio mmbomozi wa familia.
Akitaka Ndoa yake idumu aige mfano wa wasanii wa zamani kama Caty na Nina wameolewa wametulia hatuskiaa drama Wala kuachwa au yule belina mgeni.
Ndoa haihitaji umaarufu mume mi kiongozi wake akamsikilize na wakasilizane
Nimefurahi mnoo miye ni jambo la kheri sana
Wema nae katolewa barua na bwana whozuu(huu ni umbea ndani ya umbea)
NB:Nyie wakataa Ndoa endeleeni kunyonya Kwa mama zenu wenzenu wanaoaaa dailyyy
Tupe heshima wapenda kongolo usifananishe na vitu vya kijinga.wema ameshakuwa kongolo.
Lol lakin si umeona ni kiki ya movie? Paula wa kuolewa mapema hii?Shoga nsamehe bureee kipenzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jongwe anajiita mtu mgumu ambaye yupo real sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kajala na Paula watakufa wako hoi khaaaaah.Wako kwenye kiki tu hao drama queens aolewe afu kudanga je
Nimeona shoga angu ngoja tuendelee kuchangamsha genge,Lol lakin si umeona ni kiki ya movie? Paula wa kuolewa mapema hii?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimeona shoga angu ngoja tuendelee kuchangamsha genge,
Hahahaha kuolewa sio vuzi mpk mwehu analo!!!kwanza km mama na mwana wanaunganishiana mabwana Kuna Nini hapo
Enzi Yuko tussiime Kuna kijana tajiri alikuja anammega na anatoka kama kawa hapo pale ni hostel alikua anahonga walinzi
Yule dogo amerithi tabia za wazazi wake kupenda chini
whozu anachezea shavu tu pale hakuna kitachojiriAnaolewa na whozu
Mtoto anapenda ladha tofauti, tofauti ataipataje akiwa kwenye ndoa. Hakuna ndoa.Jaman nimepata ubuyuu kumbe ni Series inakuja, hapo ndo wako kwenye scene.
Sasa sijui ukweli ni upi, ndoa halali au Hiyo series lol.
Mali safi 🤣🤣🤣🤣 jichanganye uoneMdangaji mpya mjini daslam maali safi kabisaaaa
PrivateEnhe nambie shoga