Hongera Paula Majani ukawe na Ndoa ya kheri

Hongera Paula Majani ukawe na Ndoa ya kheri

Kunguru hafugiki. Kama ni ndoa kweli na sio kiki basi ni swala la muda tu tutasikia kalala na baba mkwe wake au mama yake kamtunuku tunda mume wa mwanae

Hako katoto ni kakahaba by genetics.

uzuri bila ya akili adhabu inapata kikojoleo. Nyuchi za haka katoto na mama yake zitafika mbinguni zikiwa right off.
We unawajua wasanii wa bongo uzuri
 
Siku ya jumanne tarehe 28 Paula mtoto wa Pfunky na Kajala ameachana na ukapera rasmi baada ya kufunga Ndoa na raia wa Nigeria ambae anaishi Dubai anayeitwa Ally.

Mungu amtangulie maana shule ilimshinda mapema kabisaa mwanetu nadhani kwenye Ndoa atatulia Sasa na Bora ameachana na drama za wasanii za wabongo.

Namuombea akawe mke mwema na mama Bora wa familia yake Huko aendako,akawe mjenzi wa nyumba sio mmbomozi wa familia.

Akitaka Ndoa yake idumu aige mfano wa wasanii wa zamani kama Caty na Nina wameolewa wametulia hatuskiaa drama Wala kuachwa au yule belina mgeni.

Ndoa haihitaji umaarufu mume mi kiongozi wake akamsikilize na wakasilizane

Nimefurahi mnoo miye ni jambo la kheri sana

Wema nae katolewa barua na bwana whozuu(huu ni umbea ndani ya umbea)

NB:Nyie wakataa Ndoa endeleeni kunyonya Kwa mama zenu wenzenu wanaoaaa dailyyy
Mkuu

Kwa heshima na taadhima tafadhali tupia video na picha ili uzi upate Nyota 5/5 maana unastahili.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kajala na Paula watakufa wako hoi khaaaaah.
Hoi balaaa yaani mama na mwana ni pipa na mfuniko daahh[emoji3][emoji3]Wana heka heka na mji mnooo!!!
 
Lol lakin si umeona ni kiki ya movie? Paula wa kuolewa mapema hii?
Nimeona shoga angu ngoja tuendelee kuchangamsha genge,
Hahahaha kuolewa sio vuzi mpk mwehu analo!!!kwanza km mama na mwana wanaunganishiana mabwana Kuna Nini hapo
Enzi Yuko tussiime Kuna kijana tajiri alikuja anammega na anatoka kama kawa hapo pale ni hostel alikua anahonga walinzi
Yule dogo amerithi tabia za wazazi wake kupenda chini
 
Nimeona shoga angu ngoja tuendelee kuchangamsha genge,
Hahahaha kuolewa sio vuzi mpk mwehu analo!!!kwanza km mama na mwana wanaunganishiana mabwana Kuna Nini hapo
Enzi Yuko tussiime Kuna kijana tajiri alikuja anammega na anatoka kama kawa hapo pale ni hostel alikua anahonga walinzi
Yule dogo amerithi tabia za wazazi wake kupenda chini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nacheka kama mazuri
Ila mwenzio nna shida nisililize basii
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nacheka kama mazuri
Ila mwenzio nna shida nisililize basii
Enhe nambie shoga
 
Back
Top Bottom