Hongera Paula Majani ukawe na Ndoa ya kheri

Hongera Paula Majani ukawe na Ndoa ya kheri

Siku ya jumanne tarehe 28 Paula mtoto wa Pfunky na Kajala ameachana na ukapera rasmi baada ya kufunga Ndoa na raia wa Nigeria ambae anaishi Dubai anayeitwa Ally.

Mungu amtangulie maana shule ilimshinda mapema kabisaa mwanetu nadhani kwenye Ndoa atatulia Sasa na Bora ameachana na drama za wasanii za wabongo.

Namuombea akawe mke mwema na mama Bora wa familia yake Huko aendako,akawe mjenzi wa nyumba sio mmbomozi wa familia.

Akitaka Ndoa yake idumu aige mfano wa wasanii wa zamani kama Caty na Nina wameolewa wametulia hatuskiaa drama Wala kuachwa au yule belina mgeni.

Ndoa haihitaji umaarufu mume mi kiongozi wake akamsikilize na wakasilizane

Nimefurahi mnoo miye ni jambo la kheri sana

Wema nae katolewa barua na bwana whozuu(huu ni umbea ndani ya umbea)

NB:Nyie wakataa Ndoa endeleeni kunyonya Kwa mama zenu wenzenu wanaoaaa dailyyy
Kapata mama mkwe kah ba
 
Siku ya jumanne tarehe 28 Paula mtoto wa Pfunky na Kajala ameachana na ukapera rasmi baada ya kufunga Ndoa na raia wa Nigeria ambae anaishi Dubai anayeitwa Ally.

Mungu amtangulie maana shule ilimshinda mapema kabisaa mwanetu nadhani kwenye Ndoa atatulia Sasa na Bora ameachana na drama za wasanii za wabongo.

Namuombea akawe mke mwema na mama Bora wa familia yake Huko aendako,akawe mjenzi wa nyumba sio mmbomozi wa familia.

Akitaka Ndoa yake idumu aige mfano wa wasanii wa zamani kama Caty na Nina wameolewa wametulia hatuskiaa drama Wala kuachwa au yule belina mgeni.

Ndoa haihitaji umaarufu mume mi kiongozi wake akamsikilize na wakasilizane

Nimefurahi mnoo miye ni jambo la kheri sana

Wema nae katolewa barua na bwana whozuu(huu ni umbea ndani ya umbea)

NB:Nyie wakataa Ndoa endeleeni kunyonya Kwa mama zenu wenzenu wanaoaaa dailyyy
Hakuna ndoa hapo,
 
Siku ya jumanne tarehe 28 Paula mtoto wa Pfunky na Kajala ameachana na ukapera rasmi baada ya kufunga Ndoa na raia wa Nigeria ambae anaishi Dubai anayeitwa Ally.

Mungu amtangulie maana shule ilimshinda mapema kabisaa mwanetu nadhani kwenye Ndoa atatulia Sasa na Bora ameachana na drama za wasanii za wabongo.

Namuombea akawe mke mwema na mama Bora wa familia yake Huko aendako,akawe mjenzi wa nyumba sio mmbomozi wa familia.

Akitaka Ndoa yake idumu aige mfano wa wasanii wa zamani kama Caty na Nina wameolewa wametulia hatuskiaa drama Wala kuachwa au yule belina mgeni.

Ndoa haihitaji umaarufu mume mi kiongozi wake akamsikilize na wakasilizane

Nimefurahi mnoo miye ni jambo la kheri sana

Wema nae katolewa barua na bwana whozuu(huu ni umbea ndani ya umbea)

NB:Nyie wakataa Ndoa endeleeni kunyonya Kwa mama zenu wenzenu wanaoaaa dailyyy
Maji hufuata mkondo na mtoto wa nyoka ni nyoka, hakuna mke hapo.
 
Back
Top Bottom