Hongera Paula Majani ukawe na Ndoa ya kheri

Hongera Paula Majani ukawe na Ndoa ya kheri

Wanaleta Usanii kwenye jumba la sanaa.

1 , 2 ,3 Action.

Same script different cast.
 
Jaman nimepata ubuyuu kumbe ni Series inakuja, hapo ndo wako kwenye scene.

Sasa sijui ukweli ni upi, ndoa halali au Hiyo series lol.
 
Kunguru hafugiki. Kama ni ndoa kweli na sio kiki basi ni swala la muda tu tutasikia kalala na baba mkwe wake au mama yake kamtunuku tunda mume wa mwanae

Hako katoto ni kakahaba by genetics.

uzuri bila ya akili adhabu inapata kikojoleo. Nyuchi za haka katoto na mama yake zitafika mbinguni zikiwa right off.

Yeuwiiiiiiiiii
 
Kunguru hafugiki. Kama ni ndoa kweli na sio kiki basi ni swala la muda tu tutasikia kalala na baba mkwe wake au mama yake kamtunuku tunda mume wa mwanae

Hako katoto ni kakahaba by genetics.

uzuri bila ya akili adhabu inapata kikojoleo. Nyuchi za haka katoto na mama yake zitafika mbinguni zikiwa right off.
Mmh,kaka
 
Kunguru hafugiki. Kama ni ndoa kweli na sio kiki basi ni swala la muda tu tutasikia kalala na baba mkwe wake au mama yake kamtunuku tunda mume wa mwanae

Hako katoto ni kakahaba by genetics.

uzuri bila ya akili adhabu inapata kikojoleo. Nyuchi za haka katoto na mama yake zitafika mbinguni zikiwa right off.
[emoji23][emoji23][emoji23] Duuuh
 
Jaman nimepata ubuyuu kumbe ni Series inakuja, hapo ndo wako kwenye scene.

Sasa sijui ukweli ni upi, ndoa halali au Hiyo series lol.
Wako kwenye kiki tu hao drama queens aolewe afu kudanga je
 
Back
Top Bottom