Hongera Rais kwa kusimamia 4R kwa vitendo,Watendaji wa chini msomeni Bosi anataka nini,acheni kufanya kazi kwa mazoea

Hongera Rais kwa kusimamia 4R kwa vitendo,Watendaji wa chini msomeni Bosi anataka nini,acheni kufanya kazi kwa mazoea

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Mimi binafsi nimekuwa nikikerwa na utendaji kazi wa Nape,Makamba,Makonda na Slaa kwa kushindwa kuzielewa 4R za Rais kwa vitendo. Rais anataka utendaji kama ifuatavyo:
1. utendaji wenye kuzingatia sheria,kanuni,taratibu na miongozo.Mara nyingi hawa vijana wameonekana kukiuka hizi taratibu wakati wa uendeshaji wa majukumu yao na hivyo kuleta usumbufu kwa Rais
2. Uongozi uliojaa makeke,mbwembwe,fitna,dharau na kufanya kazi kwa mazoea na kwa kujisahau kuwa wana mamlaka ya Rais juu yao, hali ambayo hupelekea kumdhalilisha na kumfitisha na 4R zake
3. Kuleta utoto na uongozi usio na utulivu baina yao, ukomavu wa mambo kwao ni bidhaa adimu
na
4.Kuamini kuwa wao ndiyo CCM na Nchi na kwamba ni watoto wa mama anawaogopa na pengine hawezi kuwachukulia hatua zozote
5. Baadhi yao Rushwa na ujanja ujanja kwenye uendeshaji wa mambo ya kiuwajibikaji,kwa kutanguliza hadaa kutoa kauli potofu zisizo na kipimo au mipaka
6.Tamaa ya madaraka makubwa na kujiona nyinyi pekee ndiyo mnafaa kuwa marais wa nchi hii. na kuwa mna sifa na uwezo kuliko hata Rais aliyepo.

Rais simamia hapo hapo watendaji wakuelewe kivitendo vinginevyo wakati tukielekea kwenye uchaguzi watendaji,vyombo vya ulinzi na usalama nk vitapaswa visaidie uchaguzi kufanyika kwa haki,utulivu na uhuru ili kupata viongozi bora, ninaamini upande wako kwa haya unayopambana nayo kupitia 4R kura yangu utapata, shida ma changamoto ni Wabunge,Madiwani na wenyeviti wa mitaa tunaomba uviagize vyombo vitende haki ili tupate viongozi bora. Tumejifunza kitu kwa uchafuzi wa uchaguzi wa mwaka 2019/2020,tumeumia sana wananchi hatujasahau. ndiyo maana kauli ya Nape ilizomewa mno. Tutoke huko sasa. Tunatakaka siada ya kistaarabu iwe CCM iwe Upinzani. Mhesh Pinda waziri Mkuu Mstaafu amenena kwa uhakika kukwepa matumizi ya fedha kwenye uchaguzi ujao ili tuonje raha ya kupata viongozi safi. Mama rudisha nchi kwenye mstari.Mungu akubariki sana

Mzalendo wa kweli
 
Mimi binafsi nimekuwa nikikerwa na itendaji kazi wa Nape,Makamba,Makonda na Slaa kwa kushindwa kuzielewa 4R za Rais kwa vitendo. Rais anataka utendaji kama ifuatavyo:
1. utendaji wenye kuzingatia sheria,kanuni,taratibu na miongozo.Mara nyingi hawa vijana wameonekana kukiuka hizi taratibu wakati wa uendeshaji wa majukumu yao na hivyo kuleta usumbufu kwa Rais
2. Uongozi uliojaa makeke,mbwembwe,fitna,dharau na kufanya kazi kwa mazoea na kwa kujisahau kuwa wana mamlaka ya Rais juu yao, hali ambayo hupelekea kumdhalilisha na kumfitisha na 4R zake
3. Kuleta utoto na uongozi usio na utulivu baina yao, ukomavu wa mambo kwao ni adimu
4Kuamini kuwa wao ndiyo CCM na Nchi na kwamba ni watoto wa mama anawaogopa na pengine hawezi kuwachukulia hatua
5. Baadhi yao Rushwa na ujanja kwenye iendeshaji wa mambo
Rais simamia hapo hapo watendaji wakuelewe kivitendo vinginevyo wakati tukielekea kwenye uchaguzi eatendaji,vyombo vya ulinzi na usalama navyo visaidie uchaguzi kufanyika kwa haki na uhuru ili kupata viongozi bora, ninaamini upande wako kwa haya unayopambana nayo kura yangu unayo shida ma changamoto ni Wabunge,Madiwani na wenyeviti wa mitaa viase vyombo vitende haki kuanzia ndani ya vyama mpaka nje ili tupate viongozi bora. Tumejifunza kitu kwa uchafuzi wa 2019/2020,tumeumia sana kama nchi. Tutoke huko sasa. Mama akubariki

Mzalendo wa kweli
Hakika........

Angalau tumeanza kuona hizo 4R"s zake zimeanza kufanya kazi😀
 
Kama kweli kabisa rais anania nzuri na Nchi yetu basi ajiuzulu yeye mwenyewe.maana utawala wake ndiyo imekuwa wa hovyo kabisa
 
Mimi binafsi nimekuwa nikikerwa na itendaji kazi wa Nape,Makamba,Makonda na Slaa kwa kushindwa kuzielewa 4R za Rais kwa vitendo. Rais anataka utendaji kama ifuatavyo:
1. utendaji wenye kuzingatia sheria,kanuni,taratibu na miongozo.Mara nyingi hawa vijana wameonekana kukiuka hizi taratibu wakati wa uendeshaji wa majukumu yao na hivyo kuleta usumbufu kwa Rais
2. Uongozi uliojaa makeke,mbwembwe,fitna,dharau na kufanya kazi kwa mazoea na kwa kujisahau kuwa wana mamlaka ya Rais juu yao, hali ambayo hupelekea kumdhalilisha na kumfitisha na 4R zake
3. Kuleta utoto na uongozi usio na utulivu baina yao, ukomavu wa mambo kwao ni adimu
4Kuamini kuwa wao ndiyo CCM na Nchi na kwamba ni watoto wa mama anawaogopa na pengine hawezi kuwachukulia hatua
5. Baadhi yao Rushwa na ujanja kwenye iendeshaji wa mambo
Rais simamia hapo hapo watendaji wakuelewe kivitendo vinginevyo wakati tukielekea kwenye uchaguzi eatendaji,vyombo vya ulinzi na usalama navyo visaidie uchaguzi kufanyika kwa haki na uhuru ili kupata viongozi bora, ninaamini upande wako kwa haya unayopambana nayo kura yangu unayo shida ma changamoto ni Wabunge,Madiwani na wenyeviti wa mitaa viase vyombo vitende haki kuanzia ndani ya vyama mpaka nje ili tupate viongozi bora. Tumejifunza kitu kwa uchafuzi wa 2019/2020,tumeumia sana kama nchi. Tutoke huko sasa. Mama akubariki

Mzalendo wa kweli
4R ni nini? Hebu weka nyama kidogo
 
Resilience- kuvumiliana
Reform -mageuzi-transfomation
Rebuilding -ujenzi upya wataifa Rencociliation maridhiano. zisome kwa mpangilio
 
Resilience- kuvumiliana
Reform -mageuzi-transfomation
Rebuilding -ujenzi upya wataifa Rencociliation maridhiano. zisome kwa mpangilio
Sikujua wewe ni sehemu ya takataka za Abdul!
 
Back
Top Bottom