Mkuu Waangari, kwetu ni Usukumani kijiji cha Gambosh, huko sio mchezo!.🤣🤣🤣🤣🤣leo nimeamini Paskali kuna kitu unatumia sio bure...
Sijui ni mm tu nasomaga nyuzi zako huku macho yana machozi?? Yaani very funny jamani! Dah 🤣🤣🤣🤣🤣
Huu utafiti ni wako au umeutoa mahali? hebu weka chanzo cha huu utafiti.Orodha ya Maraisi wa JMTZ kwa ubora;
1.Mzee Mwinyi
1.Raisi Magufuli
2.Mwalimu Nyerere
3.Mzee Kikwete
4.Mzee Mkapa ( Mkapa ameshuka kuwa wa mwisho sababu ya ubinafsishwaji wa mashirika yetu, kuuza nyumba zetu, Mikataba mibovu ya Madini, Mke wake ktk KLM, mauaji ya Mwembechai na Pemba, ... vinginevyo angeweza kupanda)
Nini kinakufanya uone hivyo?Ama kwa hakika Ikulu yetu imependeza kuliko.
ndio na mawe yapo waliyatoa mwanzaHivi na Ikulu Dodoma wapo wanyama kama vivutio??!
Duuh mbona mkuu unauliza maswali marahisi namna hii?? I thought you were a great thinker??Nini kinakufanya uone hivyo?
Umeingia au ni ushabiki tu?
Wanabodi,
Leo kuna video clip ya Ikulu yetu ya Magogoni imepandisha humu, kiukweli nimekuwa very impressed na ile zoo ya Ikulu na jinsi wanyama walivyopendezea.
Kwenye mazuri wajameni tupongeze: Wanyama pori waipamba Ikulu, Hongera sana Rais Magufuli
Nimesema kwa upande wa wanyama Magufuli ameipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, kwasababu wanyama Ikulu walikuwepo tangu enzi za Nyerere, kufuatia Ikulu kuwa na a limited surface area na wild animals natural habitat yao ni wilderness, ikaamuliwa wawepo wanyama wachache tuu for leisure kwa rais na wageni wake wakiwemo ndege tausi ambao sasa Ikulu ndio natural habitat yao.
Wilde animals bila kuwa na mazingira ya natural habitat hawawezi ku breed, hivyo kuweka idadi kubwa hivyo ya wanyama kwenye kieneo kidogo kile ni furaha peneza macho na mateso kwa baadhi yao, kumbe domestication of wild animals sasa sio just for leisure, sasa ni kuonyeshea!, hivyo na kwa vile serikali imehamia Dodoma, napendekeza Ikulu iwe Magogoni Zoo, na kwa heshima ya Magufuli, napendekeza Rais Magufuli akae Ikulu muda kama wa Nyerere au zaidi hadi pale Mungu atakapoamua!.
Tena unaweza kukuta uamuzi wa kufuga wanyama wengi hivyo kwenye eneo dogo lile, umefanyika bila EIA, kama tulivyoamua kununua ndege kwa cash huku hatuna business plan!. Sasa tuifanye Ikulu yetu kuwa kivutio cha utalii, vile vizuizi viondolewe, waweke nominal fee watalii hadi wa ndani tutafurika.
Ni muhimu sana rais Magufuli afanye safari muhimu za nje ili kupata exposure, akaone Ikulu ya South inavyofurika, pia aende Ikulu ya White House tena akiandamana na Makonda ili kumkomoa beberu Pompeo!, akaone jinsi wageni wanavyo jivinjari kwenye Ikulu ya White houseya Marekani. Hao wanyama na all the beauty ni bure kama watu hawatembelea na kuchangia upkeep cost.
Na kama hoja ya restrictions ni usalama wa rais, maana naona ulizi wake unakaribia wa Mu7, then Ikulu Zoo iwe open to public zile siku rais yuko Dodoma ambapo pia I hope kutakuwa na Chamwino Zoo. Kiukweli ita-make hata kuliko Chato!
Hongera sana Rais Magufuli kwa kuendelea kumuishi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa maneno na matendo, pia tunakuombea utawale kwa muda kama wa Nyerere au kwa kukaribiana tu japo vipindi viwili vya miaka 10/10.
P
Picha plizi
Mkuu unaenda mbali, nafikiri atakuelewa. upuuzi.JPM humuoni huyu mtu tu anayeitwa Mayalla umpe hata ukuu wa mkoa kwa jinsi anavyoleta kipele kwako mara kwa mara ukikune?
Kipele kinawasha sana!
Mkuu Britanicca, acha uchokozi na uchochezi, tausi ni ndege tuu kama ndege wengine wote na wanapatikana mahali pengi.Ugawaji wa Tausi huu Ugawaji wa Tausi, kabla ya Raisi Hajagawa tausi kwa wastaafu, kuna hotel inaitwa JS imeshapatiwa hao Tausi kitambo,
Ni mmiliki nani na nani hasa aliruhusu wato Ikulu?
Britannica
Chato kuna ikulu ? au ni 'ikulu'?Mkuu Britanicca, acha uchokozi na uchochezi, tausi ni ndege tuu kama ndege wengine wote na wanapatikana mahali pengi.
Kwa bandiko hili, ikiamuliwa kufunguliwa kesi ya uchochezi, jee utaweza kuthibitisha kuwa hao tausi wa JS Hotel pale Chato ni tausi kutoka Ikulu yetu?, unamaanisha kuna mwizi kaingia Ikulu yetu, akawaiba wale tausi wa Nyerere pale Ikulu ambao ni nyara za taifa, akawapeleka huko JS hotel?.
Au anamaanisha miongoni mwa watu wenye access na Ikulu yetu, kuna mtu ni mwizi kaiba tausi wetu ambao ni nyara za serikali, na kuwauza kwa JS hotel ya Chato?.
This is criminal liability, hivyo kama kuna tausi wa nyara za serikali pale JS Hotel, Chato, na police wetu wanasoma JF, waanzishe uchunguzi hapo JS kuchunguza yafuatayo
NB. Angalizo: Kufuatia JS hotel kuwa karibu na Ikulu ya Chato, usikute tausi ambao Mkuu Britanicca amewaona ni tausi wa Ikulu ya Chato wakiranda randa mitaani kama wale Tausi wa Ikulu ya Magogoni wanavyo randa randa maeneo mengi, and this being the case, hakuna kesi wala hakuna issue!
- Jee ni kweli JS hotel ya Chato kuna tausi?.
- Waliwapata wapi hao tausi?
- Wana vibali vya kumiliki nyara za serikali?
- Kama ni tausi kutoka Ikulu yetu, nani aliruhusu nyara hizo za serikali kuchukuliwa na kupelekwa hotel binafsi?.
- Kama ni kweli tausi hao wa JS hotel ni kutoka Ikulu yetu, then huu nao ni ufisadi tuu kama ufisadi mwingine wowote!.
P
Mkuu Britanicca, acha uchokozi na uchochezi, tausi ni ndege tuu kama ndege wengine wote na wanapatikana mahali pengi.
Kwa bandiko hili, ikiamuliwa kufunguliwa kesi ya uchochezi, jee utaweza kuthibitisha kuwa hao tausi wa JS Hotel pale Chato ni tausi kutoka Ikulu yetu?, unamaanisha kuna mwizi kaingia Ikulu yetu, akawaiba wale tausi wa Nyerere pale Ikulu ambao ni nyara za taifa, akawapeleka huko JS hotel?.
Au anamaanisha miongoni mwa watu wenye access na Ikulu yetu, kuna mtu ni mwizi kaiba tausi wetu ambao ni nyara za serikali, na kuwauza kwa JS hotel ya Chato?.
This is criminal liability, hivyo kama kuna tausi wa nyara za serikali pale JS Hotel, Chato, na police wetu wanasoma JF, waanzishe uchunguzi hapo JS kuchunguza yafuatayo
NB. Angalizo: Kufuatia JS hotel kuwa karibu na Ikulu ya Chato, usikute tausi ambao Mkuu Britanicca amewaona ni tausi wa Ikulu ya Chato wakiranda randa mitaani kama wale Tausi wa Ikulu ya Magogoni wanavyo randa randa maeneo mengi, and this being the case, hakuna kesi wala hakuna issue!
- Jee ni kweli JS hotel ya Chato kuna tausi?.
- Waliwapata wapi hao tausi?
- Wana vibali vya kumiliki nyara za serikali?
- Kama ni tausi kutoka Ikulu yetu, nani aliruhusu nyara hizo za serikali kuchukuliwa na kupelekwa hotel binafsi?.
- Kama ni kweli tausi hao wa JS hotel ni kutoka Ikulu yetu, then huu nao ni ufisadi tuu kama ufisadi mwingine wowote!.
P
Si kwa kujipendekeza hv.mayala unajua kupambaSamahani Kaka yngu naomba Radhi sna nakuheshim sna ila kwa ili hpn acha kufikiria kupitia tumbo lako wakt ukifika utapata tu teuzi ila sio kwa kujitoa Akili uku tna kwa msomi km ww tna wa sheria...
Nimependa angalizo mkuu. Ni bonge la angalizoMkuu Britanicca, acha uchokozi na uchochezi, tausi ni ndege tuu kama ndege wengine wote na wanapatikana mahali pengi.
Kwa bandiko hili, ikiamuliwa kufunguliwa kesi ya uchochezi, jee utaweza kuthibitisha kuwa hao tausi wa JS Hotel pale Chato ni tausi kutoka Ikulu yetu?, unamaanisha kuna mwizi kaingia Ikulu yetu, akawaiba wale tausi wa Nyerere pale Ikulu ambao ni nyara za taifa, akawapeleka huko JS hotel?.
Au anamaanisha miongoni mwa watu wenye access na Ikulu yetu, kuna mtu ni mwizi kaiba tausi wetu ambao ni nyara za serikali, na kuwauza kwa JS hotel ya Chato?.
This is criminal liability, hivyo kama kuna tausi wa nyara za serikali pale JS Hotel, Chato, na police wetu wanasoma JF, waanzishe uchunguzi hapo JS kuchunguza yafuatayo
NB. Angalizo: Kufuatia JS hotel kuwa karibu na Ikulu ya Chato, usikute tausi ambao Mkuu Britanicca amewaona ni tausi wa Ikulu ya Chato wakiranda randa mitaani kama wale Tausi wa Ikulu ya Magogoni wanavyo randa randa maeneo mengi, and this being the case, hakuna kesi wala hakuna issue!
- Jee ni kweli JS hotel ya Chato kuna tausi?.
- Waliwapata wapi hao tausi?
- Wana vibali vya kumiliki nyara za serikali?
- Kama ni tausi kutoka Ikulu yetu, nani aliruhusu nyara hizo za serikali kuchukuliwa na kupelekwa hotel binafsi?.
- Kama ni kweli tausi hao wa JS hotel ni kutoka Ikulu yetu, then huu nao ni ufisadi tuu kama ufisadi mwingine wowote!.
P
Leo ni siku ya maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Nyerere Day, tuiadhimishe kwa kuwapongeze viongozi wetu wote wanao muenzi Nyerere kwa kumuishi kwa maneno na matendo, Rais Magufuli ni mmoja wao. Miradi ya Umeme wa Stigler Gorge na kuhamia Dodoma ni kutimiza ndoto za Nyerere.Hongera sana Rais Magufuli kwa kuendelea kumuishi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa maneno na matendo, pia tunakuombea utawale kwa muda kama wa Nyerere au kwa kukaribiana tu japo vipindi viwili vya miaka 10/10.
P