Jana nimepita moroco na Kigamboni magorofa ya hifadhi ya jamii yaliyokuwa yametelekezwa yote yameanza kuendelezwa kwa Kigamboni nimeona wanafyeka majani maana kule hata nyoka walishaanza kufanya makazi kwa msitu wa majani uliokuwa umeanza kuota.
Na kwa Morocco ilikuwa ni suala la aibu kutelekeza mradi mkubwa kama ule hata kama watu walikuwa wamepiga pesa wangetumbuliwa na mradi umaliziwe maana yote ilikuwa zaidi ya asilimia 80 ya ujenzi na faida yake ilikuwa ishakaribia kuanza kupatikana. Sema mawazo ya mtu mmoja ndo yakasimamisha na hatukuwa na cha kumwambia kwa sababu ya propaganda za wakati huo.
Hongera mama kwa kuendeleza miradi muhimu
Na kwa Morocco ilikuwa ni suala la aibu kutelekeza mradi mkubwa kama ule hata kama watu walikuwa wamepiga pesa wangetumbuliwa na mradi umaliziwe maana yote ilikuwa zaidi ya asilimia 80 ya ujenzi na faida yake ilikuwa ishakaribia kuanza kupatikana. Sema mawazo ya mtu mmoja ndo yakasimamisha na hatukuwa na cha kumwambia kwa sababu ya propaganda za wakati huo.
Hongera mama kwa kuendeleza miradi muhimu