Hongera Rais Samia kwa kutimiza miaka mitatu tangu uape kuwa Rais

Hongera Rais Samia kwa kutimiza miaka mitatu tangu uape kuwa Rais

Vitambulisho ni Kwa watu wazima sio Watoto.

Wewe ni mbumbumbu hujui hata population patterns ya Tanzania.Rudi darasani kasome zile pyramids uje kufuta ujinga ulioandika.
Unataka kuniambia kuwa Watanzania million 10 tu ndio wako over 18?

Je serikali haiwatambui walio chini ya 18 kama raia?

Kwanini kitambulisho cha utaifa kisitolewe kwa kila mtu hata mtoto anapozaliwa?

Huna akili mbuziii.
 
Unataka kuniambia kuwa Watanzania million 10 tu ndio wako over 18?

Je serikali haiwatambui walio chini ya 18 kama raia?

Kwanini kitambulisho cha utaifa kisitolewe kwa kila mtu hata mtoto anapozaliwa?

Huna akili mbuziii.
Wapi ambapo vitambulisho viko mil.10? Unajua kusoma au umefunga ujinga wako? 👇👇
20240319_102022.jpg


Mwisho unajua ratio ya Watoto vs watu wazima Kwa mujibu wa matokeo ya sensa ya 2022? Kamahuna takwimu usiwe unaropoka utaaibika.
 
Unajua maana ya CSR? Je ni hiari au lazima? Huna ulijualo 😀😀
CSR? Unaniuliza kwamba sijui Corporae Social Responsibility? Nachouliza bila Barrick serikali inashinndwa miaka yote kujenga hiyo lami ya km 130?
 
Wapi ambapo vitambulisho viko mil.10? Unajua kusoma au umefunga ujinga wako? 👇👇View attachment 2938846

Mwisho unajua ratio ya Watoto vs watu wazima Kwa mujibu wa matokeo ya sensa ya 2022? Kamahuna takwimu usiwe unaropoka utaaibika.
12m ndio idadi ya watu wazima Tz? Nimekuuliza kwanini kila mtoto asipewe kama raia kwa kuzaliwa?
 
Leo imetimia miaka 3 Tangu Rais Samia aape kuwa Rais wa Tanzania.

Kwa miaka hii 3, Nchi imepata mafanikio makubwa kwenye nyanja zote za Uchumi na kijamii Kwa mda mfupi kushinda wakati mwingine wowote kwenye historia ya Tanzania.

Ni wazi amesimama na kuonesha Wanawake Wana weza zaidi ya kuweza tofauti na kasumba ambayo ilikuwepo Kwa miaka Mingi.

Mojawapo ya mambo ambayo amefanikiwa na kuonesha Uongozi unaoacha alama kubwa ni haya hapa 👇👇

-Kutekeleza na kukamilisha Miradi Mikubwa Iliyoanzishwa awamu ya 5
-Demokrasia na Uhuru wa Maoni/Habari
-Kero ya NIDA
-Maji
-Afya
-Elimu
-Miundombinu hasa Vijijini
-Utalii
-Diplomasia ya Uchumi.
-Kilimo
-Micheso na Sanaa

My Take
Tanzania inasherekea na kufurahia mafanikio ya Uongozi wako Kwenye nyanja zote za Uchumi.

View: https://www.instagram.com/p/C4r_rCjq1vm/?igsh=NHpjdDBicjEzajBt

View: https://www.instagram.com/reel/C4rwaSiKUFB/?igsh=MXM2Z3Z5aDI0c2dxaA==

Let us celebrate Samia 's Day Mama's Day 🔥🔥🔥🔥🔥

Hii ndio utajua zuhura yunusi hakukaa pale kwa bahati ila mama alijua yule si mwana ccm!
 
Hapo kwenye elimu bado ni shida walimu wanahamishwa hawalipwi,wanakaa kwenye cheo kimoja miaka 12 daraja moja,mwalimu kanyimwa nyongeza ya mshahara zaidi ya miaka tisa Sasa.Halafu mnasema elimu imeboreka?!
 
Hapo kwenye elimu bado ni shida walimu wanahamishwa hawalipwi,wanakaa kwenye cheo kimoja miaka 12 daraja moja,mwalimu kanyimwa nyongeza ya mshahara zaidi ya miaka tisa Sasa.Halafu mnasema elimu imeboreka?!
Tunazungumzia kupanua na kuboresha miundombinu ya Elimu Nchini kuanzia shule za awali Hadi Vyuo Vikuu.

Kuboresha vitendea kazi Hadi maslahi ya walimu ikiwemo posho za madaraka,mishahara na madaraja.

Hilo la kutolipwa malimbikizo lipo sehemu zote na sio kulipwa Bali kucheleweshewa.Hope Serikali itaendelea kulifangia kazi.
 
Leo imetimia miaka 3 Tangu Rais Samia aape kuwa Rais wa Tanzania.

Kwa miaka hii 3, Nchi imepata mafanikio makubwa kwenye nyanja zote za Uchumi na kijamii Kwa mda mfupi kushinda wakati mwingine wowote kwenye historia ya Tanzania.

Ni wazi amesimama na kuonesha Wanawake Wana weza zaidi ya kuweza tofauti na kasumba ambayo ilikuwepo Kwa miaka Mingi.

Mojawapo ya mambo ambayo amefanikiwa na kuonesha Uongozi unaoacha alama kubwa ni haya hapa 👇👇

-Kutekeleza na kukamilisha Miradi Mikubwa Iliyoanzishwa awamu ya 5
-Demokrasia na Uhuru wa Maoni/Habari
-Kero ya NIDA
-Maji
-Afya
-Elimu
-Miundombinu hasa Vijijini
-Utalii
-Diplomasia ya Uchumi.
-Kilimo
-Micheso na Sanaa

My Take
Tanzania inasherekea na kufurahia mafanikio ya Uongozi wako Kwenye nyanja zote za Uchumi.

View: https://www.instagram.com/p/C4r_rCjq1vm/?igsh=NHpjdDBicjEzajBt

View: https://www.instagram.com/reel/C4rwaSiKUFB/?igsh=MXM2Z3Z5aDI0c2dxaA==

Let us celebrate Samia 's Day Mama's Day 🔥🔥🔥🔥🔥


View: https://www.instagram.com/p/C4sbciLKn4d/?igsh=MWFuNm43ZXV0a2ZuZw==
20240319_101511.jpg
 

View: https://www.instagram.com/p/C4s_VIwNruz/?igsh=MzQ5Z295dHJuZXUw
.....,............
Leo imetimia miaka 3 Tangu Rais Samia aape kuwa Rais wa Tanzania.

Kwa miaka hii 3, Nchi imepata mafanikio makubwa kwenye nyanja zote za Uchumi na kijamii Kwa mda mfupi kushinda wakati mwingine wowote kwenye historia ya Tanzania.

Ni wazi amesimama na kuonesha Wanawake Wana weza zaidi ya kuweza tofauti na kasumba ambayo ilikuwepo Kwa miaka Mingi.

Mojawapo ya mambo ambayo amefanikiwa na kuonesha Uongozi unaoacha alama kubwa ni haya hapa 👇👇

-Kutekeleza na kukamilisha Miradi Mikubwa Iliyoanzishwa awamu ya 5
-Demokrasia na Uhuru wa Maoni/Habari
-Kero ya NIDA
-Maji
-Afya
-Elimu
-Miundombinu hasa Vijijini
-Utalii
-Diplomasia ya Uchumi.
-Kilimo
-Micheso na Sanaa

My Take
Tanzania inasherekea na kufurahia mafanikio ya Uongozi wako Kwenye nyanja zote za Uchumi.

View: https://www.instagram.com/p/C4r_rCjq1vm/?igsh=NHpjdDBicjEzajBt

View: https://www.instagram.com/reel/C4rwaSiKUFB/?igsh=MXM2Z3Z5aDI0c2dxaA==

Let us celebrate Samia 's Day Mama's Day 🔥🔥🔥🔥🔥

View: https://www.instagram.com/p/C4svgZ0Mkgi/?igsh=MWsyNWJjbGkyY2p4YQ==


View: https://www.instagram.com/reel/C4tEMP0P8MY/?igsh=MWVwd3Nkd2x0YmNvcQ==
 
Yoyote anayefahamu jinsi ambavyo nchi ilikuwa inaendeshwa awamu iliyopita anajua kuwa kulikuwa na decider-in-chief mmoja tu

Dhana ya collective responsibility na participatory leadership haikuwepo, kwani mamlaka ilikuwa centralized kwa mtu mmoja tu

Taasisi hazikufanya kazi. Mihimili haikufanya kazi, ni mtu mmoja tu ndiyo alikuwa anaamua kila kitu

Kwa hiyo mafanikio/kasoro za utawala uliopita ni mtu mmoja tu ndiyo alikuwa anaamua direction ya nchi na nini kinafanyika na inategemea ameamkaje siku hiyo

* Miradi ya miundombinu uliyotaja ni kweli ilianzishwa na Awamu ya 5, lakini Awamu ya 6 imeiendeleza na imeongeza kasi ya utekelezaji. Hii siyo kazi ndogo

Awamu ya 6 ilikuta SGR, JNHPP, Kigongo-Busisi na miradi mingine inasuasua kwa kukosa pesa, ikaimarisha uhusiano wa Tanzania na taasisi za kifedha na nchi wafadhili, ikaimarisha sekta binafsi na ukusanyaji wa kodii, pesa zikapatikana miradi ikaenda kwa spidi zaidi

SGR kipande cha Dar-Moro kilitakiwa kikamilike mwaka 2019. Kwa hiyo Rais wa Awamu ya 6 alipoingia madarakani Machi 2021 alikuta mradi huu tayari umechelewa.

Awamu ya 6 ikaongeza kasi ya utekelezaji wa.SGR na sasa unaona trial runs zimeanza Dar-Moro na treni na mabehewa ya umeme yameingia nchini.

Awamu ya 6 ilikuta ujenzi wa JNHPP unasuasua uko 30%, mradi unajengwa bila usimamizi mzuri, bila updated feasibility study (rejea ripoti ya CAG), ikaimarisha usimamizi wa mradi na upatikanaji wa pesa na sasa mradi umeanza kuzalisha umeme na umefikia 97%, unaenda kukamilika

* Awamu ya 6 imeingia wakati nchi iko katikati ya Covid-19 na uchumi wa dunia umedorora, lakini ikahakikisha kuwa miradi yote mikubwa iliyoikuta haisimami na ikaongeza kasi ya utekelezaji wake.

Awamu ya 6 iliikuta sekta binafsi nchini iko taabani kutokana na Covid na sera mbovu za serikali, ikarekebisha sera na mapambano dhidi ya Covid, sekta binafsi sasa imesimama na iko imara

Awamu ya 6 ilikuta wawekezaji wa nje wamekimbia nchi kutokana na sera, sheria na maamuzi yasiyotabirika ya serikali, ikaweka mambo sawa wawekezaji wa nje wakarejea

Awamu ya 6 ilikura kodi inakusanywa kwa mtutu wa bunduki na task force na biashara zinafungwa ajira zinapotea (the economy was shedding jobs), ikaagiza TRA watumie njia za kirafiki zaidi na matokeo yake makusanyo ya kodi yameongezeka kwa kiwango kikubwa

* Awamu ya 6 ilikuta elimu bure hadi Form 4, ikaongeza na kuweka elimu bure hadi Form 6. Imeongeza pia mikopo ya elimu ya juu kwa kiwango kikubwa

Ilikuta elimu, afya, maji, miradi ya elimu, barabara inasuasua, serikali ikapeleka pesa kwenye maeneo hayo kwa viwango ambavyo havijawahi kuonekana tangu tupate uhuru

* Awamu ya 6 ilikuta kilimo, sekta inayobeba sehemu kubwa ya wananchi na uti wa mgongo wa taifa, ina bajeti finyu, ikaongeza bajeti yake kwa zaidi ya mara 4

* Ilikuta nchi imefungwa, baadhi ya viongozi wa upinzani wamekimbia nchi, mikutano ya siasa na maandamano marufuku, baadhi ya magazeti yamefungiwa, wastaafu, wasomi, NGOs na wananchi hawana uhuru wa kuongea, ikafungua nchi. Waliokimbia nchi wamerejea sasa wanaishi kwa amani na kuendelea na siasa wakiwa huru

Ilikuta mjadala wa katiba mpya umefungwa, ukaanzisha tena majadiliano ya katiba

Awamu iliyopita watu wakivaa t-shirt tu za Katiba Mpya walikuwa wanakamatwa na wengine kusakwa hata ndani ya nyumba za ibada

* Awamu ya 6 ilikuta nchi inatumia miti shamba kukabiliana na Covid-19 badala ya sayansi, haitaki barakoa wala chanjo, inaficha takwimu, ikaipeleka nchi kwenye njia ya sayansi ya kukabiliana na Covid-19 na kuruhusu chanjo, utoaji wa takwimu na kuokoa maisha ya mamilioni ya Watanzania

* Awamu ya 6 iliikuta nchi imejitenga na dunia imekuwa kama kisiwa kisichoeleweka na imepoteza mwelekeo, ikaiunganisha tena Tanzania na jumuiya ya kimataifa na sasa Tanzania imechukua tena nafasi yake miongoni mwa nchi za kistaarabu duniani na kama kinara wa diplomasia kwenye ukanda huu

* Awamu ya 6 ilikuta wananchi wanaishi kwa hofu kutokana na siasa za uhasama na watu wasiojulikana na kesi za money laundering. Ikaiunganisha nchi na kuondoa hofu. Wasiojulikana hawapo tena. Wananchi hawakamatwi tena na kuwekwa indefinite detention kwa kesi za money laundering na kesi nyingine za kubambikiza

* Awamu ya 6 ilikuta maelfu ya wananchi wako jela kwa kesi za money laundering na ujambazi, ikaagiza kesi za kubambikiza zifutwe, maelfu ya watu wakaachiwa. Imeunda tume ya haki jinai ambayo unaendelea kufanya kazi kuweka utawala wa haki nchini

Bado kuna mambo mengi ya kurekebisha, lakini tumetoka mbali kama taifa ndani ya miaka hii mitatu

- Mkazi mmoja wa Dar alisema
 
Back
Top Bottom