Hongera Rais Samia kwa mabadiliko uliyofanya

Hongera Rais Samia kwa mabadiliko uliyofanya

Oppomall

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2017
Posts
3,683
Reaction score
3,966
Salaam!

Kipekee sijawahi kuandika kuhusu Mhe. Rais ila kwa leo naona nimpongeze kwa teuzi na tenguzi alizofanya kipindi hiki.

Haya ni moja ya maamuzi bora sana na ya heshima ameyafanya, katika makosa makubwa ambayo yalikuwa yamefanyika ni kuwaweka jikoni watu wenye tamaa ya madaraka hiyo ni hatari kubwa mno!

Hapo kuna mtandao ulikuwa unasukwa wa 2025 na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

Pia nichelee kusema hivi, "Mama umebakisha mtu mmoja". Ukimalizana na huyo mtu basi ni shwari kuu!

Mtoe huyo nyoka ndani ya blanketi ulilojifunika, atakumalizia mayai ya kuku wako wanaotaga kwaajili ya kuandaa kesho yake.

Nawasilisha!

Pia soma=> News Alert: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
 
Salaam!

Kipekee sijawahi kuandika kuhusu Mhe. Rais ila kwa leo naona nimpongeze kwa teuzi na tenguzi alizofanya kipindi hiki.

Haya ni moja ya maamuzi bora sana na ya heshima ameyafanya, katika makosa makubwa ambayo yalikuwa yamefanyika ni kuwaweka jikoni watu wenye tamaa ya madaraka hiyo ni hatari kubwa mno!

Hapo kuna mtandao ulikuwa unasukwa wa 2025 na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

Pia nichelee kusema hivi, "Mama umebakisha mtu mmoja". Ukimalizana na huyo mtu basi ni shwari kuu!

Mtoe huyo nyoka ndani ya blanketi ulilojifunika, atakumalizia mayai ya kuku wako wanaotaga kwaajili ya kuandaa kesho yake.

Nawasilisha!

Pia soma=> News Alert: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na in 6th
Salaam!

Kipekee sijawahi kuandika kuhusu Mhe. Rais ila kwa leo naona nimpongeze kwa teuzi na tenguzi alizofanya kipindi hiki.

Haya ni moja ya maamuzi bora sana na ya heshima ameyafanya, katika makosa makubwa ambayo yalikuwa yamefanyika ni kuwaweka jikoni watu wenye tamaa ya madaraka hiyo ni hatari kubwa mno!

Hapo kuna mtandao ulikuwa unasukwa wa 2025 na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

Pia nichelee kusema hivi, "Mama umebakisha mtu mmoja". Ukimalizana na huyo mtu basi ni shwari kuu!

Mtoe huyo nyoka ndani ya blanketi ulilojifunika, atakumalizia mayai ya kuku wako wanaotaga kwaajili ya kuandaa kesho yake.

Nawasilisha!

Pia soma=> News Alert: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
NAUNGA MKONO HOJA 💯✅,SIJAWAHI KUKUSIFIA MAMA ILA KWA HILI ULILOFANYA UNASITAILI PONGEZI,BADO TAPELI,Mwizi,NA MWENYE MAJIVUNO MMOJA,,maliza kazi mama tafadhali "" TAPELI madelu
 
Hapo kabaki waziri wa fedha na mkuu wa mkoa wa dar es salaam
 
Naona Mkeka unaofiata Mwigulu anakula mweleka,Nehemia mchechu msajili wa Hazina amewekwa pale kusoma mambo yanavyoenda.
 
Watanzania wengi ni majuha! sasa hapo kinachofurahiwa ni nini? kwamba huo utenguzi una maslahi gani kwa taifa nje ya personal benefits za kushindania madaraka!
 
Nchi hii kweli wajinga wengi sana!

Eti mtandao unasukwa kwa ajili ya 2025.

Na wanasiasa wanavyowaona mnajadili vitu vya kijinga ndo mana hawafanyi mambo ya msingi na kila siku mnaishia kuwa hoehae tu!

Hakuna! Nasema tena hakuna nchi hii anayeweza kumzuia Rais aliyepo madarakani kugombea term yake ya Pili.

Kwa Katiba yetu hii, Rais ana nguvu kubwa sana na madaraka makubwa sana. Hizo tension mnazotengenezeana huko ili kupeana ulaji msizilete kwenye jukwaa la watu wenye akili humu.
 
Watanzania wengi ni majuha! sasa hapo kinachofurahiwa ni nini? kwamba huo utenguzi una maslahi gani kwa taifa nje ya personal benefits za kushindania madaraka!
Tunafanyiwa mazingaombwe watu wanafurahi na kuanza kutoapongezi.
 
Back
Top Bottom