F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 34,181 Reaction score 41,563 Jul 22, 2024 #21 M2WAWA2 said: Shida ya tanzania ni system/taasisi/mfumo. Kwamba kumuondoa mtu mmoja kwenye nafasi yake sio matokeo makubwa. Click to expand... Kweli maana mfumo wa wizi wa kura upo ndani ya CCM tangu 1995 na hakuna mtanzania asiye litambua hilo, kosa la Nape ni kukiri hadharani.kwamba CCM huiba chaguzi. Hata ningekuwa mimi ningemtengua tu, huwezi kutoa siri za kambi afu ukabakia salama.
M2WAWA2 said: Shida ya tanzania ni system/taasisi/mfumo. Kwamba kumuondoa mtu mmoja kwenye nafasi yake sio matokeo makubwa. Click to expand... Kweli maana mfumo wa wizi wa kura upo ndani ya CCM tangu 1995 na hakuna mtanzania asiye litambua hilo, kosa la Nape ni kukiri hadharani.kwamba CCM huiba chaguzi. Hata ningekuwa mimi ningemtengua tu, huwezi kutoa siri za kambi afu ukabakia salama.
baro JF-Expert Member Joined May 12, 2014 Posts 3,129 Reaction score 4,028 Jul 22, 2024 #23 Bado Bashe na Mwigulu hawa ndio wanaichafua serikali yake
Mfikirishi JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 8,939 Reaction score 10,403 Jul 22, 2024 #24 ephen_ said: Huyu mtu mmoja akitolewa nitamuona mama Kizimkazi ni mtu wa maana☺️ Click to expand... Hakuna utofauti wowote... Wawepo au waondolewe! Wananchi should mobilize to take back their powers! Haiwezekani kila wiki ni tenguzi na teuzi...
ephen_ said: Huyu mtu mmoja akitolewa nitamuona mama Kizimkazi ni mtu wa maana☺️ Click to expand... Hakuna utofauti wowote... Wawepo au waondolewe! Wananchi should mobilize to take back their powers! Haiwezekani kila wiki ni tenguzi na teuzi...
Mfikirishi JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 8,939 Reaction score 10,403 Jul 22, 2024 #25 baro said: Bado Bashe na Mwigulu hawa ndio wanaichafua serikali yake Click to expand... Serikali anaichafua mwenyewe kwa kukosa kauli ya mwisho kama kiongozi! Yupo yupo kama mcheza rede
baro said: Bado Bashe na Mwigulu hawa ndio wanaichafua serikali yake Click to expand... Serikali anaichafua mwenyewe kwa kukosa kauli ya mwisho kama kiongozi! Yupo yupo kama mcheza rede