The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Nawasalimu kwa jina la JMT..
Nitoe pongezi zangu za dhati kwa Mh.Samia SS na Serikali yake kupitia TRA kwa kuweza kukusanya mapato kwa Asilimia 99%..
Kiwango hiki kimeiwezesha Serikali kutekeleza ajeti yake ya mwaka 2021/2022 kwa zaidi ya asilimia 95%..
Bila shaka Rais Samia anazidi kuonesha uongozi wenye matokeo na sio maneno ya kujigamba na vitisho..
Nitoe wito kwa TRA kuendelea kukaza zaidi maana bajeti mpya ni kubwa zaidi ya iloyoisha hivyo mapato ni lazima yapatikane Ili kutimiza kiu ya mh.Rais ya kuwaletea maendeleo Watanzania.
Mwisho niwapongeze walipakodi nikiwemo mwenyewe kwa uzalendo huu, tuendelee kuchapa Kazi Ili Kazi iendelee.👇
Nitoe pongezi zangu za dhati kwa Mh.Samia SS na Serikali yake kupitia TRA kwa kuweza kukusanya mapato kwa Asilimia 99%..
Kiwango hiki kimeiwezesha Serikali kutekeleza ajeti yake ya mwaka 2021/2022 kwa zaidi ya asilimia 95%..
Bila shaka Rais Samia anazidi kuonesha uongozi wenye matokeo na sio maneno ya kujigamba na vitisho..
Nitoe wito kwa TRA kuendelea kukaza zaidi maana bajeti mpya ni kubwa zaidi ya iloyoisha hivyo mapato ni lazima yapatikane Ili kutimiza kiu ya mh.Rais ya kuwaletea maendeleo Watanzania.
Mwisho niwapongeze walipakodi nikiwemo mwenyewe kwa uzalendo huu, tuendelee kuchapa Kazi Ili Kazi iendelee.👇