Hongera Rais Samia Kwa Ukusanyaji wa Mapato kwa Asilimia 99% kupitia TRA

Hongera Rais Samia Kwa Ukusanyaji wa Mapato kwa Asilimia 99% kupitia TRA

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
19,582
Reaction score
14,167
Nawasalimu kwa jina la JMT..

Nitoe pongezi zangu za dhati kwa Mh.Samia SS na Serikali yake kupitia TRA kwa kuweza kukusanya mapato kwa Asilimia 99%..

Kiwango hiki kimeiwezesha Serikali kutekeleza ajeti yake ya mwaka 2021/2022 kwa zaidi ya asilimia 95%..

Bila shaka Rais Samia anazidi kuonesha uongozi wenye matokeo na sio maneno ya kujigamba na vitisho..

Nitoe wito kwa TRA kuendelea kukaza zaidi maana bajeti mpya ni kubwa zaidi ya iloyoisha hivyo mapato ni lazima yapatikane Ili kutimiza kiu ya mh.Rais ya kuwaletea maendeleo Watanzania.

Mwisho niwapongeze walipakodi nikiwemo mwenyewe kwa uzalendo huu, tuendelee kuchapa Kazi Ili Kazi iendelee.👇

20220702_104205.jpg
20220702_104212.jpg
 
Haters wa mama njooni huku mpinge na hili..

Mnaweza anzisha chorus mpya baada ya hii ya kusema hakusanyi Kodi ,watu wanajipigia kubuma.
 
Sijasoma vielelezo ulivyoweka mkuu, ila malengo ilikuwa ni kukusanya kiasi gani kwa mwezi au mwaka?

CAG anasema mmekusanya 17t, sawa na 1.4t kwa mwezi. TRA walisema wanakusanya 1.3t kwa mwezi.

Miezi 18 nyuma, walisema wanakusanya 1.3t kwa mwezi, miaka 7 nyuma walikusanya 900m kwa mwezi.

Kuna mwaka hamjaipongeza serikali yenu kwa ukusanyaji na kutekeleza miradi kwa asilimia muziandikazo mtakavyo?
 
Ni vyema pia ukusanyaji huu, ukajumlishwa na Yale mapato ya mikopo Kutoka kwa mabeberu, ili kuonesha mapato yetu kwa mwezi ni Tsh ngapi na baada ya hapo, tuangalie matumizi ya hayo mapato!

Na jambo lingine ambalo serikali haijatoa ufafanuzi mzuri, ni Yale mapato yatokanayo na tozo za Luku na mitandao,

Wangeibainisha kuonesha wanakusanya sh ngapi na wapi zimeelekezwa

Walijitahidi kutoa tarifa hizo Mara moja tuu, kwa nini haiwi mwendelezo...?
 
Sijasoma vielelezo ulivyoweka mkuu, ila malengo ilikuwa ni kukusanya kiasi gani kwa mwezi au mwaka?

CAG anasema mmekusanya 17t, sawa na 1.4t kwa mwezi. TRA walisema wanakusanya 1.3t kwa mwezi.

Miezi 18 nyuma, walisema wanakusanya 1.3t kwa mwezi, miaka 7 nyuma walikusanya 900m kwa mwezi.

Kuna mwaka hamjaipongeza serikali yenu kwa ukusanyaji na kutekeleza miradi kwa asilimia muziandikazo mtakavyo?
Ungesoma ungejua hayo malengo
 
Ni vyema pia ukusanyaji huu, ukajumlishwa na Yale mapato ya mikopo Kutoka kwa mabeberu, ili kuonesha mapato yetu kwa mwezi ni Tsh ngapi na baada ya hapo, tuangalie matumizi ya hayo mapato!

Na jambo lingine ambalo serikali haijatoa ufafanuzi mzuri, ni Yale mapato yatokanayo na tozo za Luku na mitandao,

Wangeibainisha kuonesha wanakusanya sh ngapi na wapi zimeelekezwa

Walijitahidi kutoa tarifa hizo Mara moja tuu, kwa nini haiwi mwendelezo...?
Hayo hayahusiani Bali haya makusanyo sehemu yake inatumika kulipa mikopo kutoka Huko Kwa mabeberu wako.
 
Hayo hayahusiani Bali haya makusanyo sehemu yake inatumika kulipa mikopo kutoka Huko Kwa mabeberu wako.
Kodi zote zilizoanzishwa zisizo na tija kwa taifa zimechangia kiasi gani kwenye makusanyo hayo?

Zile tozo za simu zilizotangazwa mara mmoja, zilisitishwa au zinaendelea na matumizi yake ni kwa WALAMBA ASALI?
 
Kodi zote zilizoanzishwa zisizo na tija kwa taifa zimechangia kiasi gani kwenye makusanyo hayo?

Zile tozo za simu zilizotangazwa mara mmoja, zilisitishwa au zinaendelea na matumizi yake ni kwa WALAMBA ASALI?
Una udumavu wa akili.Tozo sio Kodi na humo haipo..

Ukitaka kujua zimefanya nini rejea mipango ya Serikali Kwa kila Wizara utaona matumizi yake na matokeo yake..

Ukiwa unashinda kutazama porno mda wote huwezi kujua zimefanya nini.. Yaani hata jambo la ajira zaidi ya 30,000 hujaliona.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT..

Nitoe pongezi zangu za dhati kwa Mh.Samia SS na Serikali yake kupitia TRA kwa kuweza kukusanya mapato kwa Asilimia 99%..

Kiwango hiki kimeiwezesha Serikali kutekeleza ajeti yake ya mwaka 2021/2022 kwa zaidi ya asilimia 95%..

Bila shaka Rais Samia anazidi kuonesha uongozi wenye matokeo na sio maneno ya kujigamba na vitisho..

Nitoe wito kwa TRA kuendelea kukaza zaidi maana bajeti mpya ni kubwa zaidi ya iloyoisha hivyo mapato ni lazima yapatikane Ili kutimiza kiu ya mh.Rais ya kuwaletea maendeleo Watanzania.

Mwisho niwapongeze walipakodi nikiwemo mwenyewe kwa uzalendo huu, tuendelee kuchapa Kazi Ili Kazi iendelee.[emoji116]
Kumbe kodi anakusanya samia anapoenda kutembea kwa majirani nani anakusanya harafu bado za ombaomba country kumbe inji hii ni tajiri sana
 
Kuna tetesi kwamba masoko ya madini (mf. Soko la dhahabu Geita) mauzo yameshuka hawauzi tena dhahabu zao pale na kuuza kinyemela ili kukwepa kodi.

Sina ushahidi na hili ila maneno ya kukatisha tamaaa kwa serikali hii ni mengi sana hasa kwa ukandaa huu nilipo (Kanda ya ziwa).

Ni muhimu serikali kuwa inatoa takwimu ili kujenga imani kwa wananchi.
 
Kuna tetesi kwamba masoko ya madini (mf. Soko la dhahabu Geita) mauzo yameshuka hawauzi tena dhahabu zao pale na kuuza kinyemela ili kukwepa kodi.

Sina ushahidi na hili ila maneno ya kukatisha tamaaa kwa serikali hii ni mengi sana hasa kwa ukandaa huu nilipo (Kanda ya ziwa).

Ni muhimu serikali kuwa inatoa takwimu ili kujenga imani kwa wananchi.
Aliyekupantaarifa mwambie akupe uongo mpya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220630-201324.jpg
    Screenshot_20220630-201324.jpg
    49.4 KB · Views: 6
Ni vyema pia ukusanyaji huu, ukajumlishwa na Yale mapato ya mikopo Kutoka kwa mabeberu, ili kuonesha mapato yetu kwa mwezi ni Tsh ngapi na baada ya hapo, tuangalie matumizi ya hayo mapato!

Na jambo lingine ambalo serikali haijatoa ufafanuzi mzuri, ni Yale mapato yatokanayo na tozo za Luku na mitandao,

Wangeibainisha kuonesha wanakusanya sh ngapi na wapi zimeelekezwa

Walijitahidi kutoa tarifa hizo Mara moja tuu, kwa nini haiwi mwendelezo...?
Mwigulu alisema tozo zote zielekezwa kwenye zahanati na shule lkn cha ajabu shule za makuti bado tunaziona.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT..

Nitoe pongezi zangu za dhati kwa Mh.Samia SS na Serikali yake kupitia TRA kwa kuweza kukusanya mapato kwa Asilimia 99%..

Kiwango hiki kimeiwezesha Serikali kutekeleza ajeti yake ya mwaka 2021/2022 kwa zaidi ya asilimia 95%..

Bila shaka Rais Samia anazidi kuonesha uongozi wenye matokeo na sio maneno ya kujigamba na vitisho..

Nitoe wito kwa TRA kuendelea kukaza zaidi maana bajeti mpya ni kubwa zaidi ya iloyoisha hivyo mapato ni lazima yapatikane Ili kutimiza kiu ya mh.Rais ya kuwaletea maendeleo Watanzania.

Mwisho niwapongeze walipakodi nikiwemo mwenyewe kwa uzalendo huu, tuendelee kuchapa Kazi Ili Kazi iendelee.[emoji116]
Chawa katika ubora wako
images%20(32).jpg
 
Nawasalimu kwa jina la JMT..

Nitoe pongezi zangu za dhati kwa Mh.Samia SS na Serikali yake kupitia TRA kwa kuweza kukusanya mapato kwa Asilimia 99%..

Kiwango hiki kimeiwezesha Serikali kutekeleza ajeti yake ya mwaka 2021/2022 kwa zaidi ya asilimia 95%..

Bila shaka Rais Samia anazidi kuonesha uongozi wenye matokeo na sio maneno ya kujigamba na vitisho..

Nitoe wito kwa TRA kuendelea kukaza zaidi maana bajeti mpya ni kubwa zaidi ya iloyoisha hivyo mapato ni lazima yapatikane Ili kutimiza kiu ya mh.Rais ya kuwaletea maendeleo Watanzania.

Mwisho niwapongeze walipakodi nikiwemo mwenyewe kwa uzalendo huu, tuendelee kuchapa Kazi Ili Kazi iendelee.👇
Kinachoongelewa na hali ilivyo mtaani vinapishana tunadanganya kumfurahisha nani sasa?Watu wakisema mseme wanapinga kila kitu?
 
Back
Top Bottom