Bora BoraMaelezo marefuuuuuuuuuu hata telefoni Namba hujaweka
Bora umemkumbusha kama kasahau telefoni namba 🤔Maelezo marefuuuuuuuuuu hata telefoni Namba hujaweka
Kuna nini ambacho nimepinga? 🤣 Nmegundua umeandika kitu ambacho hata wewe hukiamini. Ndo maana unaamini kuna wanaopinga...its so simple. Ulisoma mambo ya kutafuta logic au reasoning in philosophy? Umejiweka wazi sana....😁We
Weka Yako wewe mpingaji unayejikubali tukufahamu mkuu😁😁
Unampongeza kiongozi kwa kutekeleza majukumu yake! inabidi tuamke aiseeee.....siku hizi maandiko ya kongole imekuwa ni trend!Salaam wanajukwaa na watanzania wote.
Kwanza, nimshukuru Mungu muumba kwa uzima na afya tele NAMI nimeiona siku ya leo.
Pili, Nimshukuru Rais wetu Mpendwa Mama msikivu, mnyenyekevu, mpole, mchapakazi, na mwenye mapenzi mema na nchi yetu, Mama SAMIA kwa kuendelea kuiongoza nchi yetu kwa weledi wa Hali ya juu kabisa.
Kama Amir JESHI MKUU, watanzania tuko salama salimini, kama mfariji mkuu hujaacha kutufariji, kama kiongozi mkuu unatuongoza katika njia yenye mafanikio kabisa, kama mwakilishi wetu kimataifa umeirudisha heshima ya Tanzania kimataifa na kama Mama unatulea katika maadili mema ya kiutu,kistaarabu na kwa upendo wa agape.
Tatu, ninakupongeza mama kwa juhudi na maarifa kuundaa,kuuratibu,na kuusimamia huu mchakato/ zoezi la SENSA YA WATU NA MAKAZI, watanzania wenye akili tunafahamu halikua jambo rahisi, haukulala.
Na wasaidizi wako wameifanya kazi usiku na mchana kwa mioyo Yao yote na kwa mapenzi kwa nchi Yao na kwako pia kama Mama na kiongozi wetu, hakika mpaka mchakato kufikia hapa hawajakuangusha maana sisi raia na wananchi wa kawaida tunaona juhudi zao na namna wanavyoifanya kazi uliyowatuma kwa nguvu na akili zao ZOTE.
Nne, Ninatambua kwamba zoezi Bado linaendelea lkn dalili ya mvua ni mawingu makarani wengi wamemaliza kuchukua taarifa Tena kwa usahihi kabisa hivyo tukutoe wasiwasi zoezi litakuwa na ufanisi sana maana limeratibiwa kitaalamu na wataalamu wako field kukamilisha machache sana yaliyobakia.
Tano, Eeee Mama baadhi ya wanao ni wakorofi, wachonganishi, wakosoaji wasio na adabu, wavivu kufikiri na wapingaji wa Kila jema ulifanyalo wewe na hata sisi wadogo zao kwenye Yale utuagizayo kuyafanya kwa ajili ya familia yetu TANZANIA.
Zoezi hili watalipinga, hawatayaona mafanikio na juhudi zako, na Mbaya zaidi watatukana Na kututukana sisi wadogo zao, watatunga uongo yaani Kila njia Mbaya ili tu kuonyesha haujafanya lolote la maana, tunakuomba uendelee kuwavumilia ni ndugu zetu hatuna namna tutaishi nao, tutawaelimisha kwa upendo mpaka wataelewa tu.
SITA, hivi mama kazi hili ikifikia ukomo hivi vishkwambi hauwezi kuwaachia wanao wa mwisho (MAKARANI) maana vinawapendezea kwelikweli😁😄😁😄😁😄😁
Mwisho, HONGERA HONGERA HONGERA SANA MAMA WEWE NI JEMBE HASWAA
###2020-2025 unatosha ### 2025-2030 ni wewe tu.
Salaam wanajukwaa na watanzania wote.
Kwanza, nimshukuru Mungu muumba kwa uzima na afya tele NAMI nimeiona siku ya leo.
Pili, Nimshukuru Rais wetu Mpendwa Mama msikivu, mnyenyekevu, mpole, mchapakazi, na mwenye mapenzi mema na nchi yetu, Mama SAMIA kwa kuendelea kuiongoza nchi yetu kwa weledi wa Hali ya juu kabisa.
Kama Amir JESHI MKUU, watanzania tuko salama salimini, kama mfariji mkuu hujaacha kutufariji, kama kiongozi mkuu unatuongoza katika njia yenye mafanikio kabisa, kama mwakilishi wetu kimataifa umeirudisha heshima ya Tanzania kimataifa na kama Mama unatulea katika maadili mema ya kiutu,kistaarabu na kwa upendo wa agape.
Tatu, ninakupongeza mama kwa juhudi na maarifa kuundaa,kuuratibu,na kuusimamia huu mchakato/ zoezi la SENSA YA WATU NA MAKAZI, watanzania wenye akili tunafahamu halikua jambo rahisi, haukulala.
Na wasaidizi wako wameifanya kazi usiku na mchana kwa mioyo Yao yote na kwa mapenzi kwa nchi Yao na kwako pia kama Mama na kiongozi wetu, hakika mpaka mchakato kufikia hapa hawajakuangusha maana sisi raia na wananchi wa kawaida tunaona juhudi zao na namna wanavyoifanya kazi uliyowatuma kwa nguvu na akili zao ZOTE.
Nne, Ninatambua kwamba zoezi Bado linaendelea lkn dalili ya mvua ni mawingu makarani wengi wamemaliza kuchukua taarifa Tena kwa usahihi kabisa hivyo tukutoe wasiwasi zoezi litakuwa na ufanisi sana maana limeratibiwa kitaalamu na wataalamu wako field kukamilisha machache sana yaliyobakia.
Tano, Eeee Mama baadhi ya wanao ni wakorofi, wachonganishi, wakosoaji wasio na adabu, wavivu kufikiri na wapingaji wa Kila jema ulifanyalo wewe na hata sisi wadogo zao kwenye Yale utuagizayo kuyafanya kwa ajili ya familia yetu TANZANIA.
Zoezi hili watalipinga, hawatayaona mafanikio na juhudi zako, na Mbaya zaidi watatukana Na kututukana sisi wadogo zao, watatunga uongo yaani Kila njia Mbaya ili tu kuonyesha haujafanya lolote la maana, tunakuomba uendelee kuwavumilia ni ndugu zetu hatuna namna tutaishi nao, tutawaelimisha kwa upendo mpaka wataelewa tu.
SITA, hivi mama kazi hili ikifikia ukomo hivi vishkwambi hauwezi kuwaachia wanao wa mwisho (MAKARANI) maana vinawapendezea kwelikweli😁😄😁😄😁😄😁
Mwisho, HONGERA HONGERA HONGERA SANA MAMA WEWE NI JEMBE HASWAA
###2020-2025 unatosha ### 2025-2030 ni wewe tu.
Umenena vyema Kupitia sensa tutaona maendeleo mengi sana wale wazee wa kupinga kila kitu wataziba midomo kama walivyoziba kwenye royal tour baada ya kuona watalii wanaongezeka kila siku Tanzania ni salama na Samia hatuna wasiwasiSalaam wanajukwaa na watanzania wote.
Kwanza, nimshukuru Mungu muumba kwa uzima na afya tele NAMI nimeiona siku ya leo.
Pili, Nimshukuru Rais wetu Mpendwa Mama msikivu, mnyenyekevu, mpole, mchapakazi, na mwenye mapenzi mema na nchi yetu, Mama SAMIA kwa kuendelea kuiongoza nchi yetu kwa weledi wa Hali ya juu kabisa.
Kama Amir JESHI MKUU, watanzania tuko salama salimini, kama mfariji mkuu hujaacha kutufariji, kama kiongozi mkuu unatuongoza katika njia yenye mafanikio kabisa, kama mwakilishi wetu kimataifa umeirudisha heshima ya Tanzania kimataifa na kama Mama unatulea katika maadili mema ya kiutu,kistaarabu na kwa upendo wa agape.
Tatu, ninakupongeza mama kwa juhudi na maarifa kuundaa,kuuratibu,na kuusimamia huu mchakato/ zoezi la SENSA YA WATU NA MAKAZI, watanzania wenye akili tunafahamu halikua jambo rahisi, haukulala.
Na wasaidizi wako wameifanya kazi usiku na mchana kwa mioyo Yao yote na kwa mapenzi kwa nchi Yao na kwako pia kama Mama na kiongozi wetu, hakika mpaka mchakato kufikia hapa hawajakuangusha maana sisi raia na wananchi wa kawaida tunaona juhudi zao na namna wanavyoifanya kazi uliyowatuma kwa nguvu na akili zao ZOTE.
Nne, Ninatambua kwamba zoezi Bado linaendelea lkn dalili ya mvua ni mawingu makarani wengi wamemaliza kuchukua taarifa Tena kwa usahihi kabisa hivyo tukutoe wasiwasi zoezi litakuwa na ufanisi sana maana limeratibiwa kitaalamu na wataalamu wako field kukamilisha machache sana yaliyobakia.
Tano, Eeee Mama baadhi ya wanao ni wakorofi, wachonganishi, wakosoaji wasio na adabu, wavivu kufikiri na wapingaji wa Kila jema ulifanyalo wewe na hata sisi wadogo zao kwenye Yale utuagizayo kuyafanya kwa ajili ya familia yetu TANZANIA.
Zoezi hili watalipinga, hawatayaona mafanikio na juhudi zako, na Mbaya zaidi watatukana Na kututukana sisi wadogo zao, watatunga uongo yaani Kila njia Mbaya ili tu kuonyesha haujafanya lolote la maana, tunakuomba uendelee kuwavumilia ni ndugu zetu hatuna namna tutaishi nao, tutawaelimisha kwa upendo mpaka wataelewa tu.
SITA, hivi mama kazi hili ikifikia ukomo hivi vishkwambi hauwezi kuwaachia wanao wa mwisho (MAKARANI) maana vinawapendezea kwelikweli😁😄😁😄😁😄😁
Mwisho, HONGERA HONGERA HONGERA SANA MAMA WEWE NI JEMBE HASWAA
###2020-2025 unatosha ### 2025-2030 ni wewe tu.
Nachompendea Rais Samia Suluhu hajari kabisa maneno ya watu yeye anafanya kazi yake na kipaumbele chake ni maendeleo kwaiyo hata watu wakisema nini yeye anafocus mpaka akamilishe lengo lake 2025 mama hana mpinzaniMama ni mvumilivu na mkomavu wa siasa hatawajali
Kuandika ambacho sikiamini hapana na kujiweka wazi ni sahihi kwamba naikubali serikali na Rais wake japo si kama ulivyomaanisha. Pia kwa asili ya mwanadamu Kila jambo, Hoja au neno ni lazima likosolewe au kupingwa hivyo Kila nikiandikacho ninaamini wapo watakao Pinga au kukosoa hayo mambo ya logic au reasoning in philosophy usikariri mkuuKuna nini ambacho nimepinga? 🤣 Nmegundua umeandika kitu ambacho hata wewe hukiamini. Ndo maana unaamini kuna wanaopinga...its so simple. Ulisoma mambo ya kutafuta logic au reasoning in philosophy? Umejiweka wazi sana....😁
Hata kutekeleza majukumu si jambo rahisi mkuu majukumu mengine ni magumu sana Sasa pale kiongozi anapotekeleza majukumu magumu kwa ukamilifu mm nitampongeza. Kama ambavyo mzazi jukumu ni kumlea, na kumsomesha mtoto na n.k lkn akatekeleza jukumu Hilo kwa shida na ugumu mwingi kwa mtoto mwenye akili na utashi atampongeza mzazi wake. Ina maana hata leo huwezi kumpongeza mama Yako hata kwa kukuzaa?Unampongeza kiongozi kwa kutekeleza majukumu yake! inabidi tuamke aiseeee.....siku hizi maandiko ya kongole imekuwa ni trend!
Sijajua hapo ambacho kimekaririwa nini. Maana pia umeji expose kumbe hata kwenye uzi wako huna logic na huja reason. Ndo maana unawayawaya...unaamini hayo ya ku reason na kuwa na logic ni ya kukariri.🤣 Unatakiwa uwe smart unapotafuta teuzi jipange mimi kwenye ile ID yangu nyingine kabla sijasifia najenga hoja kiasi nami naanza kuonekana onekana chamani. Ukija vibaya wanakudharau tu wakati wenzio tunalamba asali wewe unalamba viatu ...🤣Kuandika ambacho sikiamini hapana na kujiweka wazi ni sahihi kwamba naikubali serikali na Rais wake japo si kama ulivyomaanisha. Pia kwa asili ya mwanadamu Kila jambo, Hoja au neno ni lazima likosolewe au kupingwa hivyo Kila nikiandikacho ninaamini wapo watakao Pinga au kukosoa hayo mambo ya logic au reasoning in philosophy usikariri mkuu
Sijakuelewa mkuu ulitaka kusema Nini?
Mkuu naona upo kujionyesha kwamba wewe unaelimu na unajua sana, kuniattack personally badala ya Hoja ni ushamba kwamba Sina logic na reasoning kwenye Uzi wangu kivip hebu toa logic Yako pia sitafuti teuzi nduguSijajua hapo ambacho kimekaririwa nini. Maana pia umeji expose kumbe hata kwenye uzi wako huna logic na huja reason. Ndo maana unawayawaya...unaamini hayo ya ku reason na kuwa na logic ni ya kukariri.🤣 Unatakiwa uwe smart unapotafuta teuzi jipange mimi kwenye ile ID yangu nyingine kabla sijasifia najenga hoja kiasi nami naanza kuonekana onekana chamani. Ukija vibaya wanakudharau tu wakati wenzio tunalamba asali wewe unalamba viatu ...🤣
Mkuu teuzi nyingine yaja mkuu ,Sasa sijui twapishana wapi mkuu, Kama nimekukwaza nisamehe mkuu,ila Ndo ujumbe nakupa mkuuNi kwamba sijawahi kuteuliwa na siandiki ili kupata uteuzi ndio maana sikukuelewa pia kwa Nini Kila anayepongeza juhudi za serikali mnaishia kumvalisha kofia ya msaka teuzi?