Hongera Rais wa JMT. Nimeona nyumba wanazojengewa wakazi wa Ngorongoro huku Handeni. Kusema kweli unastahili kuwa Rais wa JMT

Yaaani serikali imjengee nyumba mtu aliyekuwa anaishi kwenye nyumba ya matope alafu impe na hati ya umiliki mimi nije kuhoji?
 
Yaaani serikali imjengee nyumba mtu aliyekuwa anaishi kwenye nyumba ya matope alafu impe na hati ya umiliki mimi nije kuhoji?
Mkuu hii nchi ngumu sana, na bado tunaona sababu ni kupunguza utalii
 
Sina tatizo na hawa watu kujengewa huko Handeni na Kilindi.
Elimu..Elimu..Elimu itolewe kwanza kwani hofu yangu kubwa kusijezuka mapigano kati ya wakulima na wafugaji.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Gosh!!! What the hell is all this about ?!! !!?? ( fasta fasta ) !!
 
Basi Kama ni hivyo serikali ihakikishe waweke mambo sawa huko watakapohamia,maana handeni na kilindi wanalima Sana isije ikatokea vurugu kubwa baina ya ndugu zetu waliotoka ngorongoro na wenyeji wakulima wa maeneo tajwa...hatutaki migogoro ya wakulima na wafugaji,serikali iliangalie hili pia...
 
Kweli kabisa !
 
Fedha zilitoka kwenye mapato ya Ngorongoro Crater na sio chakula tuu wanasomeshwa mpaka chuo kikuu bure ingawa haiwasaidii kupenda mabadiliko wala maendeleo
Eti tunadumisha mila, mila gani ya kuja kuangaliwa na wazungu sawa na wanyama?
 
Kweli kabisa !
Ndio habari yenyewe hiyo, bado kigamboni watu walishakula posa siku nyingi
Sio kila lisemwalo lipo ! Tusubiri tuone !!
 
Kumbe makazi yalianza kuandaliwa mapema kisha ndo mazungumzo na wahusika yakafwata.Ngumu kuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…