Kenya 2022 Hongera Rais wetu mpya, Dkt. William Ruto

Kenya 2022 General Election
Kenya wanadharau Watanzania?? bro calm down na upate glass moja ya maji baridii akili itulie. Naona na wewe inaleta mipasho ya TickTok na Twitter humu!
 
Ikifika ni projects na utendakazi sioni kama Ruto atawahi fikia Uhuru. Jamaa amezungukwa na Ufisadi tupu. We probably won't be able to post mile stone development projects here again. Kila kitu itasimama.

Let's be positive and hope for the best, make it easier for him because every decision he will make will impact each one of us in every possible way. I didn't want him, I considered him the most corrupt leader among them all, but he is now at the helm, our president....let's just go through it all, help him where possible for our posterity.
 
Muacheni mkalenjini aweke empire yake, uhuru ni beneficiary wakwanza kwa ruto kuwa president, mbaya sana so called baba "odinga" ameuzwa kirahisi hivo, naweza sema uhuru amecheza karata zake vizuri mno
Wakikuyu na Wakelenjin watapokezana vijiti kwa miaka mingi ijayo.
 
Hongera zake Rais wetu mpya Dkt. William Samoei Arap Ruto. Ingawa sikutoa ushirikiano wowote, kwenye azma yake ya kuwa rais wa taifa letu tukufu la Kenya. Wala sikuunga mkono wapinzani wake RAO, Wajackoyah na Mwaure ila mwisho wa siku aliibuka kidedea na jambo hilo linastahili pongezi.

Wakati wa kampeni za uchaguzi nilisikiza hoja za pande zote kwa umakini mkubwa. Nikafuatilia mienendo ya wagombea wote wa kiti cha urais na maamuzi niliyoyafikia ni kwamba wote walikuwa ni matope tu. Hakuna ambaye alinishawishi kwamba alistahili kupata kura yangu na sikutia mguu wangu ndani ya kituo cha kupigia kura.

All in all, the whole exercise was a great illustration that true democracy has come of age in Kenya.
 
Ujumbe wako kwake Mh Ruto ni mzuri sana Mkuu..
HONGERA.
 
Mk 254 naomba unijuze hawa cabinet secretaries wanapatikaje. Je ni lazima wawe wabunge au rais anachagua tu
 
Mk 254 naomba unijuze hawa cabinet secretaries wanapatikaje. Je ni lazima wawe wabunge au rais anachagua tu
kikatiba hawatakiwi kuwa wabunge,...... kule mawaziri sio sehemu ya bunge wala hawatakiwi kuwa wabunge
 
Hongereni sana Wakenya, mnaonyesha njia katika ukanda huu.
 
Wewe naye unaandika upupu mtupu, Watanzania waombe msamha kwa Ruto kwa sababu zipi hasa??
Tanzania ndio inalisha Kenya, Rwanda na Burundi kwa asilimia zaidi ya 70%.
 
Wewe naye unaandika upupu mtupu, Watanzania waombe msamha kwa Ruto kwa sababu zipi hasa??
Tanzania ndio inalisha Kenya, Rwanda na Burundi kwa asilimia zaidi ya 70%.

Kwani Uhuru Kenyata aliombwa msamaha ndani ya Ikulu ya Tanzania kwa sababu zipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…