Hongera RC Chalamila Kwa utumishi uliotukuka Kwa Kupambana na biashara haramu ya ukahaba, LAKINI.....

Hii biashara ihalalishwe watu walipe kodi. Ulaya wanalipa kodi na hizo kodi ndiyo misaada tunayopewa.

Ulaya ukienda naye malaya anakupa na risiti.
Acha basi,

Yaani mvua zinanyesha, watu waache kulima wakakodishe miili?

Laanatul!!
 
Hii biashara ihalalishwe watu walipe kodi. Ulaya wanalipa kodi na hizo kodi ndiyo misaada tunayopewa.

Ulaya ukienda naye malaya anakupa na risiti.
Kweli kabisa amsterdam na brussel wamejenga km hivyo sema wenzetu wameeka vioo tu😂😂
 
Tofauti yako na Lucas Mwasambwanda nikutochomeka nambari ya simu mwishoni ila ulefu na kila kitu same size.
 
Tofauti yako na Lucas Mwasambwanda nikutochomeka nambari ya simu mwishoni ila ulefu na kila kitu same size.
Vp nawe ni mteja wa hao walofukuzwa?

Penye Kweli lazima usemwe UKWELI ulivyo, pa kukosoa tunakosoa.
 
Mm kwa mtazamo wangu hakuna mkuu wa mkoa alie iweza dar kama Makonda yule jamaa acha kabisa alikua na vibe sana .Huyo jamaa aliepo anatakiwa awe huko polini hana vibe.Dar inataka watu wababe wajanja janja km walivo watani zangu wazaramo.
 
Mm kwa mtazamo wangu hakuna mkuu wa mkoa alie iweza dar kama Makonda yule jamaa acha kabisa alikua na vibe sana .Huyo jamaa aliepo anatakiwa awe huko polini hana vibe.Dar inataka watu wababe wajanja janja km walivo watani zangu wazaramo.
Hivi vibe na mihemko, ni kitu kile kile au tofauti?
 
Hii vita ikisimamiwa na mwanamke inaweza kufanikiwa. Wanaume wote hushindwa vita hii maana wengi wao pia huwa ni wateja wa biashara hii haramu!
 
Hii vita ikisimamiwa na mwanamke inaweza kufanikiwa. Wanaume wote hushindwa vita hii maana wengi wao pia huwa ni wateja wa biashara hii haramu!
Doroth Gwajima ni Waziri tena mwanamke,

Amesaidia kiasi Gani KUTOKOMEZA tatizo hili nchini?
 
Afadhali wadhibitiwe, wamezidi sana UOVU!!
Uovu huko palepale sema walikokuwa wanafanyia huo uovu wao ni pachafu sana, kwa sasa watakuwa wanapatikana fb kwa wingi na zitakuwepo guest house maalum na mambo yataendelea kama kawaida, kilichozuiwa ni nyumba binafsi kugeuzwa kuwa danguro, hii ni sawa na kuwafungia mama ntilie unadhani watu kweli watashinda na kulala njaa, kwa hali yoyote ile watakula tu hata kwa gharama.
 
Serikali haipaswi kudhibiti au kupambana na ukahaba, haya ni mambo yo dini kupambana nayo.
 
Mm kwa mtazamo wangu hakuna mkuu wa mkoa alie iweza dar kama Makonda yule jamaa acha kabisa alikua na vibe sana .Huyo jamaa aliepo anatakiwa awe huko polini hana vibe.Dar inataka watu wababe wajanja janja km walivo watani zangu wazaramo.
Makonda alifanya nini kama alama ?
 
Kuna madanguro ya ukahaba kwa gia ya Massage!! Asilimia 99 ya sehemu wanakodai kufanya massage ni ukahaba mtupu!! Hasa Sinza ndo kumejaa madanguro hayo yafanyayo ukahaba kwa gia ya massage!!
 
Na makanisa yaliyojengwa hovyo na hayana vibali ni lazima yabomolewe.
KANISA na danguro ni vitu viwili tofauti.

KANISA linapeleka watu Mbinguni, Madanguro yanapeleka watu Kuzimu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…