Hongera Rishi Sunak, Waziri Mkuu mteule wa Uingereza

Hamtaki uraia pacha ila mnakua wet mkiona mtu yeyote mwenye kaharufu tu ka utanzania anatoboa.
 
Kumbe Tanzania hatukufanya makosa ya kiufundi ya kuwa na wabunge na pia hata Naibu Spika ambao ni wenye asili ya watu wa Asia. Na tena kumbe siku moja inaweza ikatokea uwezekano wa kumpata kiongozi wa juu wa muhimili mmoja wa mchi ambaye atakuwa na asili ya watu wa Asia.

Hali ikizidi kuwa ngumu kiuchumi, kisiasa na kijamii, na Watanzania weusi wakizidi kuboronga katika mambo ya menejimenti na utawala, basi ifike wakati sasa tuzidi kuwaamini watu hawa. Kama Watanzania wenzetu hawa wenye asili ya Asia wametuzidi maarifa katika mikakati thabiti ya kuendesha taasisi binafsi zilizo imara na makampuni makubwa kwa mafanikio makubwa, basi tusisite kuwaamini kuongoza nafasi mbalimbali za juu zilizopo katika mihimili mitatu ya dola.
 
heeeeee ni kasheshe
 
Hawa ni kati ya WaAsia waliokimbia Tanzania ya Nyerere na Uganda ya Idi Amin. Sidhani kama wana hamu ya kuisaidia Tanzania nchi iliyowanyanyasa wazazi wao.
 
Hongera Mhe. Rishi Sunak, Waziri Mkuu mteule wa Uingereza na karibu tena Afrika Mashariki.

View attachment 2399808
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ #africa #tanztrust #tanzania #eastafrica​
Naunga mkono hoja.
Kuchaguliwa kwake ndio uthibisho wa a mature democracy, unamchagua mtu for who s/he is and not what s/he is, na hiki ndicho kimefanyika kwa Obama na sasa kwa jirani zetu Kenya. Sisi bado tunachagua for what one is and not for who one is!
Hongera zake sana Rishi Sunaki
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ