Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo letu wabongo ''uswahili" sijui utaisha lini!Gharama zoote alizotumia ndio nusu ya hela ya kiwanja cha Mondi South Africa
Siku akinunua hyo gari anafilisika kabisaaaaaDomo ye alikuaga anaosha na v8 ya chief kiumbe baadae akanyang'anywa bfr hapo alikua anatumia bmw x6 ya demu wake wema siku manzi amenyang'anywa na mkongo Domo akarudi kwenyd prado yake model ya 2004 hahah.Ila sa hivi anatuzuga eti atanunua royce rolls.
Kama Cruiser la Polisi hivi.!Hiyo Gari yako ni aina gani?
We jamaa kumbe kiporiAtapenda kiki kivipi wakati anaendesha baiskeli,waache wanaoendesha piki piki wapende kiki
Ma'mdogo acha kutuchanganyia madawa,hapa tunamzungumzia Samatta, sasa huyo bwana'ko aliyekuacha hapa unamleta wa nini .........??Domo ye alikuaga anaosha na v8 ya chief kiumbe baadae akanyang'anywa bfr hapo alikua anatumia bmw x6 ya demu wake wema siku manzi amenyang'anywa na mkongo Domo akarudi kwenyd prado yake model ya 2004 hahah.Ila sa hivi anatuzuga eti atanunua royce rolls.
Sasa Shangazi wewe badala ya kumwambia shoga'ko asituchanganyie mada,wewe nawe unampa bichwa kwa kumuunga mkono .......??Siku akinunua hyo gari anafilisika kabisaaaaa
Mbona Naskia anaishi kwa shemeji yake?Ali Kiba sio mtu wakupenda kiki Tu, lakini mjengo wake Samatta atasubiri sana
haha kabisa mkuu mbali na waap?, iyo kauli siipendi kweliAcha wivu mkuu na maswali ya ki.jinga..?
Mbali na wapi..?
Yule ni mtoto wa temeke lazima ajenge kwanza kwaoMbona ameenda kujenga mbali? Ameshindwa kumkata mtama mtu bahari beach,ununio?
Futa vzr hilo rinda lililotatuka nije nipige bao la 3,kama ky imeisha ntaendelea kutumia kohozi kama jana.Ma'mdogo acha kutuchanganyia madawa,hapa tunamzungumzia Samatta, sasa huyo bwana'ko aliyekuacha hapa unamleta wa nini .........??