samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,965
Ma'mdogo mbona unatukana wakati unajua kabisa JF inaheshika.Futa vzr hilo rinda lililotatuka nije nipige bao la 3,kama ky imeisha ntaendelea kutumia kohozi kama jana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma'mdogo mbona unatukana wakati unajua kabisa JF inaheshika.Futa vzr hilo rinda lililotatuka nije nipige bao la 3,kama ky imeisha ntaendelea kutumia kohozi kama jana.
Diamond mbana pua na samatta mcheza mpira wapi na wapi hapo labda ungesema msuva au mkude sawa.Hongera zake tusubiri Diamond atamjibu nini.
Diamond anapenda kuonekana anazo kuliko super star yoyote hapa nchini.Kwani ni mashindano mkuu??
Hongera kwake
HahahahaMa'mdogo acha kutuchanganyia madawa,hapa tunamzungumzia Samatta, sasa huyo bwana'ko aliyekuacha hapa unamleta wa nini .........??
Chora 7 fasta mchuchu.Ma'mdogo mbona unatukana wakati unajua kabisa JF inaheshika.
Huko kakuachia wewe ukakate watu mitama.Mbona ameenda kujenga mbali? Ameshindwa kumkata mtama mtu bahari beach,ununio?
Mbali na Kwako, Kwa Hadhi ya Samatha alitakiwa ajenge Ununio,JKT Mbweni,Bahari Beach au labda amejenga ya familia .Acha wivu mkuu na maswali ya ki.jinga..?
Mbali na wapi..?
Mond anakiwanja south?Gharama zoote alizotumia ndio nusu ya hela ya kiwanja cha Mondi South Africa
Sio kiwanja tu...ni kiwanja chenye nyumba kubwaMond anakiwanja south?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Gharama zoote alizotumia ndio nusu ya hela ya kiwanja cha Mondi South Africa
Ma'mdogo mbona unamatusi,zamani wakati bado Ba'mdogo hajakuacha hukua hivo.Chora 7 fasta mchuchu.
Chora 7 fasta hapo ,acha maneno watu wapizi.Ma'mdogo mbona unamatusi,zamani wakati bado Ba'mdogo hajakuacha hukua hivo.
Nilitaka nishangaeSio kiwanja tu...ni kiwanja chenye nyumba kubwa
HAHAAAA ITAKUWA MENDE ISEE,HUYU JAMAA INAONEKANA HATAKI UJINGA UJINGAHiyo Gari yako ni aina gani?
Hana lolote? Ttz king hapend skendo afu Unasema kiba anafata makombo domo na kiba yupi mwny makombo afu huyo joket kbl hashim kumbandua kiba ndio alianza akaacha ndio amerud mond mke watoto wanne unasema nn ww tumia akili kujib hoja sio kalioHana lolote huyo kiba kazi yake kuvuta shisha nakufuata makombo