Hongera Samatha Mbwana kwa kujenga nyumba

Hongera Samatha Mbwana kwa kujenga nyumba

Futa vzr hilo rinda lililotatuka nije nipige bao la 3,kama ky imeisha ntaendelea kutumia kohozi kama jana.
Ma'mdogo mbona unatukana wakati unajua kabisa JF inaheshika.
 
Kila mtu ana uhuru wa kuchagua anachotaka na kila mtu ana haki kuwa-proud na mafanikio yake.

Kutangaza au kutotangaza mali zako ni uamuzi wa mtu binafsi.

By the way ukiwa public figure/celebrity lazima ufanye vitu kutu-impress na sisi ili kesho mimi au mwanangu nitamani awe kama samata, diamond au king kiba. Hapa tunakuza pia mziki au soka letu.

Kama sioni maendeleo yeyote kwa kiba, samata au diamond unadhani nitamsapoti mwanangu apende mziki au mpira?

Nadhani nitamsukuma zaidi apende vitu vingine kama biashara nk kwasababu tunaona mafanikio ya kina mo, ssb, mengi
 
Acha wivu mkuu na maswali ya ki.jinga..?
Mbali na wapi..?
Mbali na Kwako, Kwa Hadhi ya Samatha alitakiwa ajenge Ununio,JKT Mbweni,Bahari Beach au labda amejenga ya familia .
 
Gharama zoote alizotumia ndio nusu ya hela ya kiwanja cha Mondi South Africa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Miaka yote anasakata,football, hyo ndo faida mhhhh
 
Nampenda sana samatha ni mtu ambaye hataki kiki
 
Hana lolote huyo kiba kazi yake kuvuta shisha nakufuata makombo
Hana lolote? Ttz king hapend skendo afu Unasema kiba anafata makombo domo na kiba yupi mwny makombo afu huyo joket kbl hashim kumbandua kiba ndio alianza akaacha ndio amerud mond mke watoto wanne unasema nn ww tumia akili kujib hoja sio kalio
 
Back
Top Bottom