Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Ndio maana na mimi nimekuambia Dr. Mwele ni CV yake ilimbeba/ ni kama kuwa appointed hakuhitaji kugombea walaMimi najuwa kuliko wewe MBURURA. Nafasi ya Dr Mwele haikuhitaji endorsement yake. Level aliyoingilia Mwele inahitaji CV yako na refrees tu. Na kama ungekuwa na akili nzuri ungekumbuka kuwa hata Dr Mwele Malecela alipokuwa WHO bado DIKTETA alimpiga vijembe kuwa "sisi tumemtoa huku, nashangaa watu wengine wamempa kazi".
kuwa indorsed ndio kitu kilicho muudhi Magufuli kwa sababu yeye angemzuia.