Hongera Samia Kum-Endorse Dr Ndugulile; Mtangulizi Wako Aliwazuia Membe, Likwelile na Mulamula Wasiende AU

Ndio maana na mimi nimekuambia Dr. Mwele ni CV yake ilimbeba/ ni kama kuwa appointed hakuhitaji kugombea wala

kuwa indorsed ndio kitu kilicho muudhi Magufuli kwa sababu yeye angemzuia.
 
Nani aliibuka bingwa kati ya yule bwana wa Butimba na Magufuli? Ni yule askari unless hukufuatilia vizuri. Magufuli alidhani yule askari atatetemeka!! Wala alibaki imara na akamuambia "umeniinua"
Alinyonyolewa nyota
 
 
Magufuli has is pros and his cons, moja ya his cons ndio hizo, and list ni ndefu sio hao tu, he has problem with watu waliokuwa appointed kwneye hizo nafasi.
Although alikuwa mwana maendeleo ya kweli, upande mwingine alikwamisha wengine, haikuwa rafiki
 
A
Hacha unafki,,Mr President JPM hakuwa na upuuzi,,alikuwa serious kulijenga Taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…