- Thread starter
- #21
Pengine havienda kwa kasi unayoitaka wewe, labda ndo tatizoKuna mambo mengine yanakela basi tu,
Hizo sifa unazotoa umefikilia kabla ya kuazisha uzi?
Waziri yupo tu kabaki anaiaga kerere wateule wanamuangalia tu wala hawshituki,
Twambie mabasi ya mwendo kasi nini kiliendelea, bank kuu, na baadhi ya sehemu anazo pita na kuacha maelekezo.?