Hongera Sana FaizaFoxy, Mshindi wa U-miss JF 2023/2024

Nisameh sana, sijaona. Siyo kawaida yangu kutokujibu.

Msaada upi unahitaji uliandika wapi?

Siwezi kabisa kuikataa pepo.
Acha mbambamba
Kesho nitafue posta mpya jirani na kwa msajili tuyajengee๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Yaani hizo comeemnyts zingine imebaki nicheke tu.

Maana mshindi halafu nikasirike tena?

Bado "hamjasema".
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Nilipiga kampeni pm kwa pm ili uchukue, kimyakimya ๐Ÿ™watajua hawajui๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sikua, na taarifa kuhusu hili shindano, hata mimi ningelipigia kura hilo ligaidi la HAMAS ili lifundishwe upendo maana lina roho nyeusi iliyokubuhu.
FaizaFoxy
Nasubiri uingie kwenye Nuru ya Allah.

Nafahamu ukweli unaujuwa lakini shetani kakushika.
 
Safi sana,Mungu awabariki wote wana jf na mwanzilishi wake,na Bi Faizafoxy
 
This was strategic.

Ili kuzidi kupaisha umaarufu wa Kigalula. Na kuendeleza porojo za wavaa makobazi na Hamas.
Wavaa Kobazi wanamfuata Yesu kwa vitendo,mavazi ya Yesu ni kanzu,kitambaa shingoni,ndevu kidevuni,na kobazi miguuni.Yesu hakuwahi kuvaa suti,suruali,shati wala but.Na hakunyoa ndevu.
This was strategic.

Ili kuzidi kupaisha umaarufu wa Kigalula. Na kuendeleza porojo za wavaa makobazi na Hamas.
 
Sema huyu bibi ni bonge la entertainer ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„.... kuna saa unamkuta kwenye uzi wa mbea Nifah anakaribia kabisa kuharibu uzi wa watu kwa comments zake za kiwaki.
 
Sema huyu bibi ni bonge la entertainer ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„.... kuna saa unamkuta kwenye uzi wa mbea Nifah anakaribia kabisa kuharibu uzi wa watu kwa comments zake za kiwaki.
Nifah nilikuwa nampiga tau uzi wake bila yeye wala mimi kuelewa.

Alimtaja mtu ninaemfahamu toka akiwa mdogo, tena Nifah unaelewa kuwa Salma Mtambo mdogo sana kwangu? Tangu utotoni ananitaa mimi "Da..."

Dada'ke huyo anaitwa Mboni nnahisi hata Alama Mohamed Said anaweza kumfaham, Mboni wa Air Tanzania na East African Airways.
 

hivi huwa mnakua mmerogwa au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ