MADIBA MANDELA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 503
- 398
ngoja jopo la wachungaji waje na majibuHivi taratibu za dini ya kikristo zikoje juu ya hili???..Unaweza kumuacha mke wako wa ndoa na kuoa mwanamke mwingine?
Flora hajielewiFrom hero to zero...!!!! They used to mentor others and encouraged other people's marriages; inside and outside the church but today...very sad Ng'wanapagi!!!
Ili kanisa la AIC si ndio liko magomeni pale? Hili ni kanisa la watu wa Mwanza watu wengi wanalitumia kutakatisha ndoa batili.Alafu wewe ulofuta futa kadi unatuharibia kadi, kwnai ulitumwa kuileta huku? na kwa taarifa yako sasa arusi itakua Mwanza kama sikosei kanisa la AIC Makongoro ndani ya weekend mojawapo ya mwezi April, we unafuta futaaaaaaaa mpyuuuuuuuu
Huyu dada ana sauti tamu sana!
Mke ukimuacha kwa kosa la uzinzi hata akiolewa tena yeye azini na muowaji anazini pia.unazungumziaje talaka? ukimfumania mkeo utaendelea nae?
Marko 10-12ngoja jopo la wachungaji waje na majibu
Nafkri n mtu kutojitambua na
Kutoheshim kiapo ulichoapa
Pale kanisan mbele ya mungu wako
Unatumia nguvu nyingi sana kwenye hii post. Kaweke pingamizi mkuuWatu wana mioyo migumu unaanzaje kumuoa mke wa mwenzako ilihali bado yuko hai
.
.
Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
Kwa Walokole inawezekana..Nope
hiyo ni kweliKuna wadau wamesema kwa kosa la uzinzi biblia inaruhusu kuachana
Hii itakuwa ndoa ambayo itafungishwa na mkuu wa wilaya/mkoa au ni yake kimila, ndoa ya kanisani ni mara moja tu ktk maisha ya mkristo. Kwa uelewa wangu,sijui km mke/mme akifariki sheria za dini ya kikristo huwa zinasemaje.
Ngoja wataalamu waje watudadavulie... Anyway, hongereni kwa hatua nzuri mliyofikia maharusi watarajiwa.
Nadhani hata Flora kuna kitu pia alimfanyia mumewe maana kuna kipindi walisamehana lakini ilikuwa trick ya mwanamume ili lile suala liondolewe mahakamani na kweli liliondolewa kilichofuata mwanamume nae akang'atuka kiaina. Wakati mwingine inaweza ikawa kutokana na haya maisha ya mwanamume unaishi kwa kipaji cha mwanamke alafu unashindwa kujiongeza kwa kuonyesha ubaba maana inaonekana mshikaji alikuwa kama supporter wa kazi ya mkewe na inapotekea changamoto kwenye ndoa alafu mwanamke ndo kama anakubeba huwa wanapata motoHivi kweli mbasha alimfanyia nini huyu mwanamke mpaka hakutaka kumsamehe?
Ama kweli ndoa zina mambo kweli!
Hakuna kifungu hicho mkuuKuna wadau wamesema kwa kosa la uzinzi biblia inaruhusu kuachana
That bravoo RogerNdiyo maana biblia inasema usimpe talaka mkeo kwa kosa lolote isipokuwa kwa uashelati sasa hapa, sasa hapa kuna ile ishu ya kubaka, na pia IMA anamtuhu mkewe kutembea na gwajima, so kibiblia kama kuna ushahid wa kusalitiana wana achana, kwa mujibu wa yesu mwenyewe