Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,652
Kuweni na subira kidogo wapendwa, narudi baadae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mfariji na Gwa.....ma hahahahahaahahahhahaha huyu bwana naye ni wa kolomije? i mean huyu mpya ngoja nimsake imma nimfariji
Kwa wenye hela inawezekana.Hivi taratibu za dini ya kikristo zikoje juu ya hili???..Unaweza kumuacha mke wako wa ndoa na kuoa mwanamke mwingine?
Kama una ushahidi wa uzinzi unaruhusiwaHivi taratibu za dini ya kikristo zikoje juu ya hili???..Unaweza kumuacha mke wako wa ndoa na kuoa mwanamke mwingine?
From hero to zero...!!!! They used to mentor others and encouraged other people's marriages; inside and outside the church but today...very sad Ng'wanapagi!!!Nimelazimika kukupongeza mdogo wangu (kijana mwezangu) kupitia jukwaa hili baada ya kujulishwa na wife kupokea kadi ya mwaliko wa harusi yako. Baadae leo nimeona EATV wameposti habari inayomhusu ex husband wa mke wako mtarajiwa na hapo hapo watu wakaanza hukumu zao zisizo na mashiko, mbele wala nyuma.
Hakika umechukua hatua zuri ya kuoa mtu maarufu. Naamini utakumbana na kila aina ya maneno, misukosuko na kukatishwa tamaa. Mdogo wangu Kumbuka binadamu huwezi kuwazuia kuongea na kueleza hisia zao lkn unachotakiwa kufanya na mkeo mtarajiwa ni kumtanguliza mungu mbele kuliko binadamu anayesubiri hukumu mbiguni. Nakuahidi tashiriki harusi yako na kama sitakuja mama Pagi ataniwakilisha kikamilifu. Mungu akwinhe Lobhago![]()
![]()
![]()
Kumbe ndo hivyo..Kama una ushahidi wa uzinzi unaruhusiwa
unaweza ila kwa kosa mmoja tu nalo ni uzinzi kama umemkuta mwenzako ila kiukweli Mungu anachukia sana kuachana kwa wanandoaHivi taratibu za dini ya kikristo zikoje juu ya hili???..Unaweza kumuacha mke wako wa ndoa na kuoa mwanamke mwingine?
Roho ya uzinzi na uasherati at work. Pathetic.Nimelazimika kukupongeza mdogo wangu (kijana mwezangu) kupitia jukwaa hili baada ya kujulishwa na wife kupokea kadi ya mwaliko wa harusi yako. Baadae leo nimeona EATV wameposti habari inayomhusu ex husband wa mke wako mtarajiwa na hapo hapo watu wakaanza hukumu zao zisizo na mashiko, mbele wala nyuma.
Hakika umechukua hatua zuri ya kuoa mtu maarufu. Naamini utakumbana na kila aina ya maneno, misukosuko na kukatishwa tamaa. Mdogo wangu Kumbuka binadamu huwezi kuwazuia kuongea na kueleza hisia zao lkn unachotakiwa kufanya na mkeo mtarajiwa ni kumtanguliza mungu mbele kuliko binadamu anayesubiri hukumu mbiguni. Nakuahidi tashiriki harusi yako na kama sitakuja mama Pagi ataniwakilisha kikamilifu. Mungu akwinhe Lobhago![]()
![]()
![]()