Kwenye UBORA waoHawa Ndo Watanzania naowajua sasa
Inasikitisha sanaMnapenda sana kutanguliza ushirikina kwenye kila kitu
Siku hizi hamtaki hata kuamini kwenue bidii za watu kila out come ambayo hukuitegemea unaita uchawi.
Hahahahahahaha...tena wanavyojadili utadhani ni wahusika wakuuSema HAWA NDO WAPUMBAVU ninaowajua. Mijitu mizima kkutwa kujadili ushirikina utadhani miganga ya kienyeji!!
Kuna mada ukiskia tu unajua hawa ni watanzaniaKwenye UBORA wao
Bongo vyote vinafanyika bidii na uchawi kwa pamojaMnapenda sana kutanguliza ushirikina kwenye kila kitu
Siku hizi hamtaki hata kuamini kwenue bidii za watu kila out come ambayo hukuitegemea unaita uchawi.