Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
Hongera sana Mh Mbowe kwa msimamo wa kiume wa kubaki CHADEMA, tambua kua mpango wa kukuondoa wewe ilikuwa kuua chama nashkuru umegundua hilo.
Mh Mbowe hongera sana ufahamu wako umefunguka kama nilivyokuombea.
Mh Mbowe mpango wa kukuondoa CHADEMA ilikua kuua chama kwasababu Lissu ni mharibifu
Amekuwa akiharibu Serikali ya CCM kwa muda mrefu bahati nzuri wakafanikiwa kumdhibiti sasa akaona arudi kwako.
Lissu ni mwanasiasa mzuri lakini tatizo lake ni mdomo mrefu pia ana asili ya kuharibu.
Hakuna maendeleo yeyote Lissu aliyopelekea watu wake wa Singida tangu apate ubunge zaidi ya kubwabwaja.
CCM wamechoka nae zigo limetupwa CHADEMA ifike mahali na ninyi mumchoke.
Mh Mbowe hongera sana ufahamu wako umefunguka kama nilivyokuombea.
Mh Mbowe mpango wa kukuondoa CHADEMA ilikua kuua chama kwasababu Lissu ni mharibifu
Amekuwa akiharibu Serikali ya CCM kwa muda mrefu bahati nzuri wakafanikiwa kumdhibiti sasa akaona arudi kwako.
Lissu ni mwanasiasa mzuri lakini tatizo lake ni mdomo mrefu pia ana asili ya kuharibu.
Hakuna maendeleo yeyote Lissu aliyopelekea watu wake wa Singida tangu apate ubunge zaidi ya kubwabwaja.
CCM wamechoka nae zigo limetupwa CHADEMA ifike mahali na ninyi mumchoke.