swali la jamaa wa bbc kuhusu demokrasia na la tido kuhusu udikteta kidogo yamtoe kwenye reli....alimeza mate kwanza,jasho likatoka na moyo ukadundaTruth JPM can't take constructive criticism without getting angry. Huo ndio ukweli.
Siamini kama watu walihoji suala la Rais kuipa hela mahakama watu walihoji kauli ya Rais kuhusu kuiahidi mahakama kiasi fulani cha pesa ambacho kingetokana na hukumu za mahakama. Hiyo ndio ilikuwa hoja ambayo nami naikubali. Maswali yangu ya mwisho hapo ni kutaka kuonyesha kwamba Rais anaweza kuingilia kwa njia hizo ambazo zipo kikatiba. Katika nadharia ilikuwa kwamba mihimili ifanye kazi bila kuingilia hata kidogo lakini hiyo haiwezekani ndio wakaja na kitu inaitwa checks and balances. Ukisoma sheria za katiba utaligundua hilo.Mkuu Kimbunga, utakuwa ama hufuatilii au umeamua tu kujenga hoja kwa kusimamia kile alichojibu rais. Si kweli kwamba watu hawakuhoji au kuuliza mheshimiwa Rais alipoipa hela mahakama. Kulikuwa na mjadala mkali sana uliojielekeza katika hofu ya Rais kuingilia uendeshaji wa kesi. Suala la kubana matumizi halia tatizo, na wananchi wanaunga mkono, wanachohoji wananchi, na bila shaka Mayala alisaidia wananchi kuhoji kiko wazi. Maswali yako ya mwisho sioni mantiki yake katika hoja ya msingi!
Asante mkuu kwa kunielewesha,nilidhani kwa kuwa ana mamlaka ya kuwateuaHilo mkuu ni tatizo la kikatiba. Katiba ndiyo inampa mamlaka rais kuteua majaji badala ya kufanyiwa vetting. Lakini rais hana mamlaka ya kumfuta jaji kazi, hilo nalo liko kikatiba. Wanaunda tume yao wenyewe ya kuwajibishana.
Mkuu waliokuwa wanaitetea hiyo katiba mpyaWatu wanapolilia katiba mpya mnawaambia katiba haina maana yoyote
Mkuu hata mimi sielewi uwoga wao unatoka wapi! Ni kweli baadhi ya mambo hufanywa kwa kumpendeza aliyewateua. Lakini ukweli ni huo hawezi kuwafuta kazi. Unakumbuka scandal ya escrow, wale majaji waliopewa mgawo na Ruge JK alisema wazi kwamba hao wana utaratibu wao wa kuwajibishana, hata kwenye tume ya maadili hawakuitwa.Asante mkuu kwa kunielewesha,nilidhani kwa kuwa ana mamlaka ya kuwateua
ana mamlaka ya kuwafuta kazi.Lakini kudhani kwangu kunatokana
na matendo ya baadhi ya majaji kuisigida taaluma kwa matakwa
ya waliowateua,kama wako huru kiasi hicho,mbona haya yanatokea?
🙂🙂🙂 Mkuu huyu aliyepita si tunasema iliharibu!!!Mkuu hata mimi sielewi uwoga wao unatoka wapi! Ni kweli baadhi ya mambo hufanywa kwa kumpendeza aliyewateua. Lakini ukweli ni huo hawezi kuwafuta kazi. Unakumbuka scandal ya escrow, wale majaji waliopewa mgawo na Ruge JK alisema wazi kwamba hao wana utaratibu wao wa kuwajibishana, hata kwenye tume ya maadili hawakuitwa.
Mmh! Navyomjua rais wetu hakika huyu jamaa teyar kashakalia kuti bovu hivyo muda wowote utaskia kapigwa chini/Katumbuliwa JIPU!Kamuuliza kuwa kapata wapi mamlaka ya kuzuia safari za watumishi nje wakati kuna mihimili mitatu na yote inajiongoza yenyewe?
Pia kwanini mikusanyiko ya kisiasa inatambulika na katiba lakini yeye kaizuia wakati aliapa kutumikia nchi kwa mujibu wa katiba?
Kama wangekuwepo hata watano tuu wenye mwelekeo wa Pasco hakika angependa hayo masaa mawili yaishe aondoke, lakini kwa vile waliopo wengi ni makanjanja basi kawaambia waulize mpaka wachoke wenyewe.
Mafisadi ni kina nani mpaka wanatengeneza miswaada feki ya habari ili wasifichuliweKujipendekeza kwa mafisadi na wapiga deal sio kazi ndogo, inabidi ujitoe UFAHAMU.
Queen Esther