Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Mkuu denooJ, kwanza asante kukumbushia hili swali, kiukweli kabisa, zaidi ya uandishi wa habari, nimeongea face to face with Nyerere, Mkapa, JK, JPM na Samia, pia nawafahamu kwa karibu top brass wote wa CCM kuanzia M/Kiti, KM, N/KM, Mwiny, Mwenezi, wale viongozi wa UV CCM, UWT na Wazazi, kila nikiomba kugombea, nakatwa kwasababu kunakuwa na watu wengi zaidi, wazuri zaidi yangu, hivyo huwa nakatwa kihalali kabisa!.

Lakini kama hili swali kuna yoyote anayeliona ni doa!, huyo ni mtu goigoi!. Swali hili ni very valid!, viongozi wetu tunawachagua kwa mujibu wa katiba na kuwaapisha kuilinda katiba, haiwezekani mtu aliyeapa kuilinda katiba, halafu aje aikanyage katiba!. Nilichouliza ni alitumia mamlaka gani?.

Kwa vile hakuna anayefahamu ni kwa nini JPM alitwaliwa mapema, ikitokea hii ni moja ya hizo sababu, tuna wajibu wa kumsaidia Mama kwa kumuelimisha kitu kinachoitwa karma, kwa msisitiza afanye the right thing before it's too late!, aruhusu tuu mikutano ya vyama vya siasa ASAP, vinginevyo....

Kwanza mimi ni miongoni mwa watu wanaomuunga mkono Mama kwa 2025 Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! ila sasa kuna vitu akina sisi tumeisha anza kuelezwa kuhusu hiyo 2025 Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Hivyo japo sio vitu vya kuvitilia maanani, lakini sii vitu vya kuvipuuzia!.
P
Ulianza vizuri lakini umekuja kuharibu sababu ya njaa, kwa hiyo tunachagua mtu sababu ya jinsia yake na siyo uwezo wake?
 
Huyu alikuwa Paschal Mayalla na siyo huyu Paschal Njaa
Bahati nzuri mimi namjua kiasi fulani maana tunafahamiana nje ya JF. Kuna Pascal Mayala wawili, kuna Pascal wa kwanza ni yule ambaye utampata ukizungumza naye ana kwa ana huku anajua sisitimu na wewe hamna uswahiba wowote na huyu ndiye yule tulikuwa tunampata katika maandiko yake 2016 kwenda nyuma.
Yupo wa pili ndio huyu ambaye aliamua kwenda Kawe na maandishi yake au mahojiano akiyajua kuwa yako public basi anaangukia kuwa huyu Pascal wa pili.
Ila out of JF ni mtu poa sana
 
Bahati nzuri mimi namjua kiasi fulani maana tunafahamiana nje ya JF. Kuna Pascal Mayala wawili, kuna Pascal wa kwanza ni yule ambaye utampata ukizungumza naye ana kwa ana huku anajua sisitimu na wewe hamna uswahiba wowote na huyu ndiye yule tulikuwa tunampata katika maandiko yake 2016 kwenda nyuma.
Yupo wa pili ndio huyu ambaye aliamua kwenda Kawe na maandishi yake au mahojiano akiyajua kuwa yako public basi anaangukia kuwa huyu Pascal wa pili.
Ila out of JF ni mtu poa sana
Tatizo la wasomi wengi ni kukosa uzalendo
 
Paschal Mayala,wewe ni mtu wa idara ya usalama wa Taifa na ccm wamekupandikiza kwa makusudi humu mitandaoni kwaajili ya kuvuruga movements za Watanzania za kuing'oa ccm na kudai katiba mpya
Mkuu monde arabe, du...!.
Naheshimu freedom of thinking and freedom of expression yako,
Hivyo inawezekana hata siku ile pale Ikulu ni Idara ndiyo ilinituma kumuuliza swali hili Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli bosi wangu?.

Na katika kuisafisha Idara, huyu ni ofisa wa Idara amekuja humu kuisaidia kuisafisha idara TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Na ili kulisafisha Bunge letu, itakuwa ofisa kipenyo huyu alishauriwa kuandika kuhusu Bunge kujipendekeza kwa serukali kisha ikamtuma dodoma Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge

Na kulipotokea tishio la usalama kwa taifa letu, afisa kipenyo huyu ali copy and paste ripoti ya ofisini na kuimwaga humu jf Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Then kiukweli tutakuwa na TISS ya ajabu sana!.
Kama kila watoto wanaozaliwa na wazazi wote baba na mama ambao ni Tiss na watoto wao ni Tiss then TISS itakuwa na watu wengi sana!, sisi tumezaliwa 8!.
P
 
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji. Natafuta clip au mwenye nayo aiweke.

View attachment 429403

Kwanza kaanza kwa kuitaja JamiiForums kwa kusema ni mwanachama mwandamizi wa JamiiForums.

Hana ubora wowote.

Tangu alipopigwa mkwala na utawala dhalimu wa Magufuli.

Mbona hakutoka front wakati huo kudai hii haki muhimu wakati ule wa kutawaliwa gizani?
Mkuu Mazagazaga, jee unamjua aliyezungumzwa hapa ni nani?. Iangalie tuu ni tarehe ngapi?.
P
 
Kamuuliza kuwa kapata wapi mamlaka ya kuzuia safari za watumishi nje wakati kuna mihimili mitatu na yote inajiongoza yenyewe?

Pia kwanini mikusanyiko ya kisiasa inatambulika na katiba lakini yeye kaizuia wakati aliapa kutumikia nchi kwa mujibu wa katiba?

Kama wangekuwepo hata watano tuu wenye mwelekeo wa Pasco hakika angependa hayo masaa mawili yaishe aondoke, lakini kwa vile waliopo wengi ni makanjanja basi kawaambia waulize mpaka wachoke wenyewe.
Tunahitaji waandishi wa habari kama Pascal Mayalla wa enzi hiyo.
 
Paschal Nayala Katika Ubora Wako... Tunatamani Mama Na Yeye Afanye Press Za Hivi
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji. Natafuta clip au mwenye nayo aiweke.

View attachment 429403

Kwanza kaanza kwa kuitaja JamiiForums kwa kusema ni mwanachama mwandamizi wa JamiiForums.

Paschal Mayala Katika Unora Wako Enzi Hizo. NA huu Uwe Utamaduni Kwa Marais wote
 
Back
Top Bottom