Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anaewaza wote kuwa upande mmoja Ila kuna vitu mtu unaongea watu wanakuona mPumbavuSIKU HIZI UKIWA UPANDE TOFAUTI NA WENGINE UNAONEKANA HAMNAZO? ILA TUNASAHAU KUPANGA NI KUCHAGUA
You are weak
Una gubu
Chuki
Fault finder
Paskal ni mwanafamilia humu, awe kabadilika au la kwa unavyoona, ni mwanafamilia wa JF
JF sio ya chama fulani au opinion moja tu, utofauti wetu ndio unalifanya jukwaa kuwa hai, moving na gripping
Unapomuanzishia thread member mwenzako wewe ndio unakuwa weak
Tufanye kweli labda paskal hajafanya unavyotaka, kweli Pasko ndio obstacle ya CDM kuingia ikulu? Ndio chanzo cha kutopata huduma safi? Ndio kabana hela?
Kwa nini usi focus kwenyewe yaani huko CCM top?
Wewe ni wale wakigombana na mke hasira unazipeleka kwa watoto... You can not from no where unamkumbuka paskal na kumuanzishia thread, your life must be fckd somewhere
Sasa hivi anatamani awe na cheo. Tenda anajua haiwezi kurudi.Pasco haihitaji cheo ila anatamani arudishiwe zile tenda za serikali alizopoteza kupitia kampuni yake ya utangazaji.
Group la Gwajima linafanya kazi washaungana koo zote
Sasa hivi anashauri FB, twitter, JF zifungwe!
KweliJapo mi sioni baya anachoandika.
Pale kwenye kusifia anaandika, pale kwenye kukosoa anakosoa na kutoa maoni yake.
Sasa watu walitaka asifie upinzani pekee which is wrong to me.... wapinzani yapo mengi wanafanya madudu hatuwezi wasifia tu na yapo mengi serikali inafanya vizuri hatuwezi kuponda tu.
Nadhani Pascal Mayalla hata yeye anajimiss, kwa maoni yangu...kwenye ule mkutano ni miongoni mwa watu walihoji maswali ya msingi na very challenging kwa meko.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mayala kwa kisukuma maana yake njaa
I hope atakuja kutoa ufafanuzi, make miaka ya zamani mda huu tungekua tunamwona kwenye PPR na 77.Mayala ilikua haijampanda kichwani.
Na kwa taarifa yako hilo swali ndiyo limemcost Pasco hadi mayala ikampanda kichwani.
Hii ni mipasho, naiignore
Paschal mwenyewe kaipa like hii mada, wewe ni nani hadi uje kimbelembele kutema povu?
Dharau ya mtu yeyote hainisumbui kabisaMbavu zangu
So ulianzisha maada ukitegemea likes? Seriously?
Kakudharau ujue
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji. Natafuta clip au mwenye nayo aiweke.
View attachment 429403
Mkuu elvischirwa , karibu pande hizi.Mayalla haujawahi kulalamika kitendo cha wanaccm kufanya mikutano kila siku na kila mahali nchini,
Mtu akitumia akili nyingi mjibu kirahisiHakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji. Natafuta clip au mwenye nayo aiweke.
View attachment 429403
Kwanza kaanza kwa kuitaja JamiiForums kwa kusema ni mwanachama mwandamizi wa JamiiForums.