kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
Njaa mbaya sana... pasco njaa imepita kipimo cha ufikiriPasco Amestrugle sana awamu hii kujitoa akili kutukuna wapinzani lakini bado. Labda mwakani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa mbaya sana... pasco njaa imepita kipimo cha ufikiriPasco Amestrugle sana awamu hii kujitoa akili kutukuna wapinzani lakini bado. Labda mwakani
Kuna kujipendekeza kama anavyofanya paskali mayalaSIKU HIZI UKIWA UPANDE TOFAUTI NA WENGINE UNAONEKANA HAMNAZO? ILA TUNASAHAU KUPANGA NI KUCHAGUA
Hiyo crip ya p.mayala mgeiacha tukasikia jibu la mh. Rais, mbona mmekatisha ? Na mkaanza kumhukum mayala?Kuna kujipendekeza kama anavyofanya paskali mayala
Duh...!.Daaah
For this...!!! P will never be forgiven... Simply because he got guts....!!!
Wakati huo alikuwa Pasco sasa amekuwa Mayalla.
Kumbe huyu mwamba alikuwa na akili hv maswali Kama haya hua tunayasikia kwenye kipindi flan sikumbuki vizuri kati ya CNN au BBC Kuna mzungu flani hua anawahoji watu maarufu wanasiasa ,Marais nk,Sasa nini kimempata huyu mwamba anataka kufanana na wakina kessy,msukuma,kibajaji& coy
Kajishushia kwakoHapana aisee, pasco kazidi hd kajishushia heshima kwa wanabodi...analamba viatu vya watawala hadi ulimi unaishiwa mate... duuuh hapana aiseee
Pasco haihitaji cheo ila anatamani arudishiwe zile tenda za serikali alizopoteza kupitia kampuni yake ya utangazaji.Magufuli hawezi mpa cheo Pasco. Pasco ni team Lowassa kipindi kile
Alikuwa bado ana akili kichwani. That was a question of the year! A high level of intellectuality question! Juzi anasema Twitter ifungiwe! Anaona bila kujikomba (kama wenzake) ataambilia patupu! bila cheo na kuganga njaa!
Pasco Hana njaa hizo mnazofikiri.
Pasco anachofanya ni survival tricks Tu Kwa sasa...
Akiwa pure kama zamani njia ni moja Tu
Ben Saanane,Azory n.k
Huwezi risks hadi well being ya watoto kisa
Kutetea mijitu isiyo jielewa kama watz wengi walivyo...