Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si alinyonyolewa Bingen mkuu au umesahauKitambo saana, ingawa mayala wa kipindi kile ni tofauti na huyu wa sasa.
Hapana aisee, pasco kazidi hd kajishushia heshima kwa wanabodi...analamba viatu vya watawala hadi ulimi unaishiwa mate... duuuh hapana aiseeeSIKU HIZI UKIWA UPANDE TOFAUTI NA WENGINE UNAONEKANA HAMNAZO? ILA TUNASAHAU KUPANGA NI KUCHAGUA
The guy was so smart, alikua anajiita "Pasco" ila alpoanza kujiita "Pasco Mayalla" ndio dishi likayumba.
Magufuli hawezi mpa cheo Pasco. Pasco ni team Lowassa kipindi kileMchumia tumbo aliyekuwa team lowassa na kula pesa zake nyingi na kumtukana magufuli sasa maisha yamekuwa magumu anataka cheo atapata ila kwa kusugua bench sana.
Tunaangalia awali na sasa, hata wewe kama unafwatilia basi kuna kitu utaona. Sio mtu wa hoja kama zamani.SIKU HIZI UKIWA UPANDE TOFAUTI NA WENGINE UNAONEKANA HAMNAZO? ILA TUNASAHAU KUPANGA NI KUCHAGUA
Amechelewa kupata uteuzi labda msimu ujao wa usajiri.Tunaangalia awali na sasa, hata wewe kama unafwatilia basi kuna kitu utaona. Sio mtu wa hoja kama zamani.
Kwa hiyo pasco wa sasa hana tofauti na akina lijuakali na silinde
Pasco Amestrugle sana awamu hii kujitoa akili kutukuna Wapinzani lakini bado. Labda mwakaniMagufuli hawezi mpa cheo Pasco. Pasco ni team Lowassa kipindi kile