Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Pascal njoo huku uwashukuru wadau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alialikwa na MsigwaMayala alianza na mbwembwe za enzi ya "kiti-moto-akiwa na masai studio" kipindi kilikuwa kizuri DTV sijui ikawaje akakipeleka ITV na kukiulia pale, cha ajabu akauliza vitu km mwanahabari aliyebobea kwamba hajui Rais anachofanya.
Rais kamjibu vizuri tu hasa alipomrekebisha kuwa alitegemea angemuuliza kwa nini hotuba ya ubanaji matumizi aliitoa humo ndiyo Rais akatambaa hivi "katika eneo pia llinalopoteza pesa za masikini ni Bunge na kuwaomba wajipange maana yake ni nini, huko nyuma Ofisi ya Bunge ilishakuwa na desturi kuandaa hata safari za nje ambazo hazikuwa na maslahi ili mradi tu kuna watu watafaidika kwa bajeti hiyo.. ufafanuzi Mayala akaambiwa kwa kufanya hivyo hakuliingilia Bunge ni kweli Mihimili ni mi-3 ila Mihimili mmoja ndiyo unaotafuta hizo pesa alizoomba Bunge wajipange hapa ali-deal na Ofisi siyo Mamlaka ya Bunge kwa maana ya Maamuzi ya Bunge WABUNGE AT ALL nini hoja hapo wanaopokea pesa kutoka "Mhimili Serikali" ni "Ofisi ya Bunge" ambao hasa ni waajiriwa wa "Mhimili Serikali" ndiyo maana Bunge walijiongeza karudisha chenji ya Bunge la 10 na ile pesa ya "kujichana" amabayo Ofisi iliomba "Mhimili Serikali" yy akaikata bajeti ya ile sherehe kwa maana ya kuwa ni mtafutaji wa pesa hizo.
Na kikubwa alipomjibu juu ya "Mhimili Mahakama" kuwa wao walikuwa na shida kuwa kesi haziishi hawana pesa na kumweka sawa Mayala kuwa kwa "Mhimili Serikali" kuupa pesa fasta "Mhimili Mahakama" haikuonekana kuwa anaingilia huo Mhimili? Jibu liko clear yeye ha-deal na maamuzi ya "Mhimili Mahakama" kwa maana ya Maamuzi.ya kesi.
Rais hakuishia hapo bali alijitahidi kuufafanua kifalsafa kuwa "Mhimili mmoja umejichimbia chini sana"
Juu ya mikutano ya Vyama aliweka wazi kuwa Katiba isisomwe kwa kuchagua kifungu bali isomwe yote kwa tuliokuwa timamu tuliona ni jinsi gani Mawala alivyokuwa anaingizwa darasani licha ya kujifafanua kuwa ni MWANASHERIA pia,na kuongeza yeye asipokuwa na pesa kuwapa '' Wabunge - bila kubagua "ndiyo maneno yatakuwa mengi mno" but wao (Bunge na Mahakama) mishahara wanalipwa pesa yatoka wapi?" "MHIMILI SERIKALI"
Kiukweli Rais kaonyesha UMAHIRI MKUBWA kuulizwa maswali na Wahariri japo Mayala siyo mhariri.
Ila humu naona anasifiwa MAYALA vipi wale wa kutoka gazeti lile ambalo lilitolewa vyombo nje kwa KUKWEPA KULIPIA PANGO?
Wahariri wakweli leo hawakutaka kuumbuka kwa kuuliza uliza vitu ambavyo RAIS anavitolea ufafanuzi wa kina kila linapotokea jambo tata.
Shida ilikuwa mtandaoni ambako watu WAMELISHWA upupu wa kuaminishwa kuwa kila jambo la MTANDAONI NI SAHIHI.
MAYALA PASCHAL, Mzee wa Shariff Shamba kitambo a.k a. Mzee wa Kiti-Moto LEO KAJIUMBUA..eti "freelance broadcaster(mtangazaji wa kujitegemea).
SIKU NYINGINE MKISIKIA wanatakiwa WAHARIRI(EDITORS),muwe mnaelewa.
VIVA MAGUFULI, LONG LIVE MAGUFULI, ADUMU MAGUFULI.
This for Adults(bakulutu) kids(bamoke) don't touch this. [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Naona umemsifia sana Pascal Mayalla kuliko uhalisia wenyewe.
Kuweka kumbukumbu sawa hapa JF kuhusu Pascal Mayalla.
1/Alikuwa Mtangaziji wa DTV kipindi hicho Kipindi cha Kitimoto kikiwepo.
Kipindi hicho TVT ilikuwa haijaanzishwa. TVT ilianza kwa majaribio kuwa hewani 1999 wakati wa kifo cha Nyerere.
2/Ni kweli Pascal Mayalla ni mwandishi mzoefu sana lakini pia ni mwandishi mwenye njaa pia. Njaa huwa haiangalii uzoefu. Ukimpa chochote kizuri, Pascal anaweza kukupamba mpaka basi.
3/Mbali na taaluma ya mambo ya habari, Pascal Mayalla ni msomi wa sheria. Ni mjuvi sana wa mambo ya katoliki(Huenda alikuwa na mipango ya Upadri) na pia inazaniwa ni mtu wa usalama kwa siri.
Kwa hiyo tunaweza kusikia kuwa katika kesi zinazopelekwa mahakama ya mafisadi inaweza kutokea kesi yenye maslahi makubwa kwa nchi akaamua kuwa yeye atakuwa Jaji kwa vile yeye ni kila kitu?Acha upuuzi huo mbumbu wa sheria ya katiba. 1.There is no absolute separation of power. 2. Rais wa TZ ana powers tatu: i.Head of state, ii.Head of the Government, iii. Head of th Armed forces. Huwezi ukamlinganisha Rais na spika au jaji mkuu. Raisi kikatiba ana mamlaka makubwa zaidi. Ktk mfumo wa Tz kikatiba mhimili wa serikali una mamlaka makubwa zaidi kuliko mihimili mingine. Kikatiba,Raisi ni sehemu ya Bunge. Kkatiba raisi huteua majaji wote. Unapoongelea separation of powers, you must also consider limitations of th same, depending on what is in our constitution which os binding.
kwa tulioenda shule ukifungua tu mdomo kujibu tunapata feedback nyingi sana ,kwanza jamaa anadhani nchi inaenda kwa utashi wake na sio katiba ,pili inaonyesha anashauriwa ila hawasikilizi watu ndo maana ali panic sana aliposikia swali in short ni irrelevant answersSafiiii jamaa kauliza bila uwoga kuhoji anatumia mamlaka yapi cha ajabu anajibu kwa vijembe
Christine Amanpour na wa aina hiyo, hao ni wa kimataifa sana. leo walikuwa wa kitaifa,,Umesema ukweli!!
Hivi kweli kwa majibu hayo anaweza kumudu vyombo vya habari vya kimataifa? Naimagine Magufuli against Christine Amanpour ... hata kama atajibu kwa Kiswahili bado kijasho chembamba kitamtoka!!
Kwa ukweli maswali hayajajibiwa sawsawa zaidi ya mipasho, kejeri na vichekesho!!
Anyway, anatamba uwanja wa nyumbani ..... ajaribu ugenini tuone!! Hivi Kenya, waandishi walipewa muda kumuuliza maswali!!?
Hivi mkuu BAK, kama DU kashindwa kujibu maswali ya mtu kama Paskal anayeuliza kwa nidhamu na ka woga kidogo ataweza kweli kukabiliana na waandishi makini kama wa CNN au BBC ambao huwa hawana woga wala unafiki kama alivyokuwa anajibishana nao Ben? Naanza kujisikia aibu kabla hajaendaHizi ni akili uchwara kamwambie basi huyo kwanza aanze kuwanyoosha wachochezi Wastaafu akina Warioba, Mwinyi na Butiku.
KUMBE RAISI ANALIDHIBITI HATA BUNGE, SASA LINAISIMAMIAJE SERIKALI WAKATI LIKO CHINI YA RAISI.Nimemsikia Pasco Mayalla akiuliza swali kwamba Rais amepata wapi mamlaka ya kuwaambia Wabunge (legislature) na Mahakama (Judiciary) waombe ruhusa kwake watakapo kusafiri?
Hoja ya Pasco ni kwamba kuna separation of powers yaani Executive, Judiciary na Legislature ambazo zinatakiwa zifanye kazi bila kuingiliana. Hilo ni sawa ila Pasco kweli hafahamu kwamba Rais wa Jamhuri ni mkuu wa dola na chini ya dola ndio unapata executive arm, judiciary arm na legisleture?
Hajui kwamba Rais wa Jamhuri ni Head of Government na wakati huohuo ni Head of the State?
Umesema ukweli!!
Hivi kweli kwa majibu hayo anaweza kumudu vyombo vya habari vya kimataifa? Naimagine Magufuli against Christine Amanpour ... hata kama atajibu kwa Kiswahili bado kijasho chembamba kitamtoka!!
Kwa ukweli maswali hayajajibiwa sawsawa zaidi ya mipasho, kejeri na vichekesho!!
Anyway, anatamba uwanja wa nyumbani ..... ajaribu ugenini tuone!! Hivi Kenya, waandishi walipewa muda kumuuliza maswali!!?