johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Swali ni hilohilo Pascal alitafsiri tu ndomana mkuu hakujishughulisha na hiyo part b ya pascal kwa kuwa alishajibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa naweza kukubaliana na wewe mkuuPascal ni ka vile aliyepiga penati au kipa aliyedaka penati ya mwishi ivo watu kumsifu badala ya kusifu na wale wa 5 waliopiga.
Alitaka kutumia lugha mbili kisw na Eng, kwa kuwa anatoka BBC ila mh. Alimkatisha alipotaka kuuliza kiinglish, alisema amekwishaelewa swali.Tatizo lake anambwembwe sana,kwanini atumie lugha ya kingereza!
Kabisa mkuu, ila sasa doubt ya wadau inakuja eti Mh. Kashindwa kujibu swali la pili na kumpa credit zote Mayalla.Swali ni hilohilo Pascal alitafsiri tu ndomana mkuu hakujishughulisha na hiyo part b ya pascal kwa kuwa alishajibu
Kwani swali la pili la Pasco ambalo halikujibiwa ni lipi ??Kumekuwa na dhana kuwa mtu pekee aliyeuliza swali la msingi kwa Mh. Rais ni Mayalla pekee. Ni kweli anastahili pongezi kwa swali lake bora kabisa.
Lakini pia kuna mtu mmoja aliuliza swali ambalo ukikaa na kufikiri zaidi ni suala ambalo ndilo lililo hot kwa sasa, na wapinzani pamoja na wanaharakati wamekuwa wakilipigia kelele. Swali liliulizwa na mwandishi wa BBC "SAMI AWAMI" Lilikuwa liki dai "INAONEKANA RAIS ANATUMIA KUKANDAMIZA DEMORASIA KWA EXCUSE YA MAENDELEO, HASA BAADA YA KUZUIA MIKUTANO YA WAZI YA VYAMA VYA SIASA"
Leo hii tumesahau na huku tulikolalamika kila kukicha kuwa rais anakandamiza uhuru na haki ya kufanya siasa, uhuru wa kujieleza, Uhuru wa kutoa maoni.
Mimi kwa upande wangu nilimuelewa sana huyu mtu. Nadhani Pasco amekuwa popular kwa kuwa tu alijinasabisha kuwa ni member wa JF, ndio maana leo tumesahau watu wengine makini kama hawa kuwapa credit na kutoa airtime zaidi kujadili hoja zao.
Nawasilisha.
Lengo ni kutafsiri fullstop hayo mengine ni mawazo yako binafsi!Wana jamii forum nimejaribu kutafakari mantiki ya RAIS kuelezea maana ya neno "MAYALA" kwa mba ni "NJAA" badala ya kujikita kwenye kujibu swali ,lengo lilikua ni kulipunguza nguvu swali au nn??
Duh, ile ya 4:1 inathibitika kila kukicha.Wana jamii forum nimejaribu kutafakari mantiki ya RAIS kuelezea maana ya neno "MAYALA" kwa mba ni "NJAA" badala ya kujikita kwenye kujibu swali ,lengo lilikua ni kulipunguza nguvu swali au nn??
Kama anawafahamu na yeye ndio mkuu wa nchi kwann asiwaagize takukuru wawashughulikie?. Maana hiyo ni rushwa,akili za kumbiwa ..........?Uko sahihi kabisa kwamba Pasco (Paschal Mayala) amekuwa popular kwa kuwa alieleza kuwa ni mwana JF...sasa baadhi ya wanaJF wanamuona kuwa eti yeye ndiye aliyeuliza swali zuri kuliko wote...na hii pia ni kwa sababu wako baadhi ya wana JF wanaoona kuwa JPM anakiuka katiba na 'kuiburuza' mihimili mingine....Lakini kwa maoni yangu waandishi wa habari wote waliuliza maswali mazuri kabisa...Dk. Rioba kwa mfano na hata Tido maswali yao yalikuwa mazuri kabisa. Lile la Dk. Rioba la kumtaka/kumuomba JPM ajipime mwenyewe kuhusu utendaji wake katika kipindi cha mwaka mmoja na pia jambo.mambo gani yanamuumiza kichwa yalikuwa mazuri kabisa...hata yule dada aliyekuwa amekaa karibu na Suzan Mungy/Mongi??? naye aliuliza maswali mazuri kabisa moja likiwa la human interest linalomtaka/linalomuomba Rais aeleze jambo gani anapendelea (baada ya saa za kazi?)....maswali kuhusu nchi ya viwanda nayo yalikuwa mazuri kama la Joseph Kulangwa...na maswali yote ya Tido Mhando yalikuwa mazuri likiwemo lile la kinachoitwa tendency ya udikteta ya Rais...kwa ujumla maswali yalikuwa mazuri kwa wote na hata la comrade Muhanika wa MOAT...
Isipokuwa binafsi nimekuwa disappointed namna magazeti 'yalivyopotezea' maelezo ya Rais kuhusu swali la Muhanika....kimsingi katika swali la Muhanika maelezo ya Rais yalikuwa kama ifuatavyo: Tuache Bunge wajadili muswada huo yeye hawezi kuingilia; Muswada huo ukipitishwa yeye ataupitisha/kusaini siku hiyo hiyo kuwa sheria (Rais hakuonyesha unafiki kabisa katika hili); wadau wamekuwa nao suala la muswada huu since 2011 lakini bado tu wanataka miezi mingine mitatu; wako watu wakiwemo wamiliki wa vyombo vya habari wanaoshinikiza kukataliwa kwa muswada huu na baadhi yao wanafahamika na wanatumia fedha na tunawafahamu, waandishi wa habari waache kutumika; muswada huu ni kwa maslahi yao waandishi wa habari....
Kwani Pascal Mayalla anasifiwa humu tu JF??
Hujaona kwenye vijiwe vya kahawa, FB, Twitter kote huko akisifiwa??
Au nako alijinasabaisha kua anafanya kazi huko??
Paschal anasifiwa kwa kuwa aliuliza swali kwa kiswahili bali Awami kwa kiingereza! Paschal alieleweka vizuri bali Awami hakueleweka kwakuwa wabongo wengi kiingereza chaliiiiii! Ngumbaru irudishwe!
Sami alisema inaonekana au kusemekana. Kuanza na lugha yoyote hapo ni uoga tayari. Pasco Mayalla hakuchepusha lugha, aliuliza moja kwa moja kuwa ulipata wapi na kwa sheria ipi ambayo aliapa kuilinda ilimwambie azuie mikutano ya siasa na kuwazuia wabunge wasisafiri.Kumekuwa na dhana kuwa mtu pekee aliyeuliza swali la msingi kwa Mh. Rais ni Mayalla pekee. Ni kweli anastahili pongezi kwa swali lake bora kabisa.
Lakini pia kuna mtu mmoja aliuliza swali ambalo ukikaa na kufikiri zaidi ni suala ambalo ndilo lililo hot kwa sasa, na wapinzani pamoja na wanaharakati wamekuwa wakilipigia kelele. Swali liliulizwa na mwandishi wa BBC "SAMI AWAMI" Lilikuwa liki dai "INAONEKANA RAIS ANATUMIA KUKANDAMIZA DEMORASIA KWA EXCUSE YA MAENDELEO, HASA BAADA YA KUZUIA MIKUTANO YA WAZI YA VYAMA VYA SIASA"
Leo hii tumesahau na huku tulikolalamika kila kukicha kuwa rais anakandamiza uhuru na haki ya kufanya siasa, uhuru wa kujieleza, Uhuru wa kutoa maoni.
Mimi kwa upande wangu nilimuelewa sana huyu mtu. Nadhani Pasco amekuwa popular kwa kuwa tu alijinasabisha kuwa ni member wa JF, ndio maana leo tumesahau watu wengine makini kama hawa kuwapa credit na kutoa airtime zaidi kujadili hoja zao.
Nawasilisha.
Rais anaweza vunja Bunge lakini Bunge ni lazima lipitie kura na akidi 2/3 kutokuwa na imani na rais. Kwa Tanzania hii haiwezi kutokea ikiwa tumepigania Katiba mpya ili kupunguza nguv za rais halafu bado mnataka kufananisha bado nguvu za serikali na Bunge. Kiongozi wa chama ndiye kiongozi wa serikali. rais ndiye mkuu wa majeshi, ndiye humchagua Jaji mkuu na kifupi kwa njia za nyuma ndiye hata humchagua Spika kwani yeye ndiye mwenyekiti wa chama tawala. Ana kinga ya uongozi wake hata baada ya.Mbona katiba inaipa bunge nguvu ya kumwajibisha rais endapo atakiuka maadili au kuvunja katiba? Ndio maana Mzee Butiku alisema hatuhitaji rais TEMBO!
sawa kabisa.....Ni kujitia uhamnazo kupunguza uzito wa swali lenyewe
kukamatwa tena...Hakuwa na majibu na lile swali lakini pia lile swali lilimuudhi sana.
Kifupi swali lilimvua nguo hadharani.
Kumbukeni rais wetu ni mtukufu huwa hapendaji maswali ya kuudhi.
Na tukiendelea kuuliza uliza tusishangae Pascal Mayalla akikamatwa kwa uchochezi.