Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Ngoja tumalize kuweka data vizuri!! Watanzania watamjua Paskali ni nani. Huyu ni Mr. NJAA Kama maana ya Jina lake ktk lugha ya kisukuma. Na NJAA NI LAAANAAA!!

Queen Esther
Mama unatoka kwenye familia ya kifalme au ni ulimbukeni tu kujiita queen?
 
Majina ya kibongo huwa nayapenda sana. Hata ukienda ulaya unaweza kuwa ww tu unayetumia jina hilo.
Mfano. Pombe, magufuli, mayala, mwamvua, yabu, jumanne, mkandawile
Ndiyo raha ya majina haya. Sasa mtu anaitwa queen esther anajua maana ya queen au anajiita uli mradi tu. Je, anatoka kwenye familia ya kifalme au ni ulimbukeni tu
pray.png
 
Ivi kuna nafasi ya DC ambao bado haujakamilika?
Paschal mayala ni Moja ya great thinkers wakubwa sana na siyo type ya akili yako hyo ya kushikiwa
 
VIHIYO utawafahamu kwa kauli na matendo yao..ona sasa hiki nacho ni miongon mwa VIHIYO..
1:wew ni msemaji/mrekebishaji wa majibu ya jpm?
2:wewe ni mwongozaji wa jinsi ya kuuliza maswal mbele ya jpm?
3:swali la PM,ww limekukera vip had kuja nalo hapa?
 
Kwa pesa alizopewa afanye anayofanya??? No plz!!! Uandishi wa habari una miiko yake!!

Queen Esther

Upo buy leo kumuharibia kama vile na wewe ulipitiwa nae kiaina ukatemwa au unatamani kuwa alivyo.

Oops nilitaka kusahau, weka proof ya madai yako.
 
Habari za jioni wana JF wenzangu!

Naomba nichukue fursa hii adimu kujadili upande wa pili wa swali linaloonekana na baadhi ya watu kuwa NI swali bora kuliko maswali yote ya wahariri walipokutana na Mhe. Rais wa JMT Dr. Magufuli.

Kwanza naomba kusema kuwa halikuwa swali bora hata kidogo bali lilijaa mihemuko na wanaolishabikia wamejaa mihemuko. Sio analytical question hata kidogo kwa sababu zifuatazo:-

1. Halikuwa na background information ya nini kimefanyika ili uweze kukipinga vizuri
2. Halikuwa na any kind ya data kulipa backup ya mtu aliyeenda shule
3. Halikutoa madhara yoyote ya hatua za kubana safari za nje! Hivyo kukosa uhalali wa kuzitetea
4. Pascal Mayall ni kati ya watu waliomtukana Rais Kikwete kuwa ni VASCO DAGAMA kwa masafari lukuku
5. Ameshindwa kuelewa nafasi ya Mhe. Rais ktk mihimili mitatu
6. Ameonesha kuwa ni "MSEMAJI WA WAPIGA DILI"

Kwa muktadha huu, naomba sasa nije kwenye majibu ya Mhe. Rais

Rais ni kiongozi katika mihimili yote mitatu (BUNGE, MAHAKAMA, SERIKALI) kwasababu zifuatazo:-
- Kitendo cha kwenda kuhutubia Bunge na kutoa direction ya nchi
- Kitendo cha Mahakama kuomba pesa za kuendeshea kesi kinaonesha wanamtegemea kama kiongozi wao
- Yeye ni Pay Master General (PMG)
- Yeye ndie anayeteua majaji nk

Hivyo basi kitendo cha Paskali Mayalla kujinasifu kuwa ndie aliyeuliza swali bora kuliko wahariri wote ni dharau kubwa kwa waandishi wenzie wa habari.

Unafiki mkubwa wa huyu bwana unajitokeza anapowaambia wenzake hawakutakiwa kumuona kama Rais. Hivi huyu Paskali anapokaa na baba yake mzazi kuna saa anamuona kama house boy au shamba boy??????

Hivi angeuliza lile swali kwa tone ya kawaida angepungukiwa nini?? Kweni ukiongea kwa kufoka ndio vyombo vya habari vya nje vitakuona na kukupa kazi?? Huko nje wenzake wanaheshimu Ma Rais wao!!!

Huyu Ndugu ni wakupuuzaaaa!!! Jina lake ni Njaa na Njaa imepanda kichwani!! APUUZWEE NA KUSAMEHEWA!!!

Jioni Njema.

Mimi Ndugu yenu.

Queen Esther
Acha kushikiwa akili juha wee
 
Kweli kwahiyo Queen na wewe ni mhariri wa habari au unatania tu.. Kwahiyo kama rais ni ni PGM wa majaji na bunge inamanisha vyote viko chini yake... Basi majaji hawawezi kkutoa haki kama wanafanyakazi chini ya kumfuata mtu na sio kanuni ila tumshauri tu somo la katiba lipo ata form two civics
 
nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiria...

nahisi kwa kuwa kichwa kimejaa hewa,basi hata swali hukulielewa bali lilipita hewa...

sidhani kama unafahamu hata maana ya QUEEN ESTHER..bali nahisi maana ya neno hilo umekariri tu pasipo kujua maana yake
 
Jamani muacheni huyu mama ina maana mlio humu hamjui cv/proffesional ya UDC na URC [emoji28] na sasa umeongezeka na URAS na UDAS na UDED na kadhalika na kadhalika[emoji87]
 
Lile lilikuwa swali zuri. We mwenyewe si unaona unavyohangaika hapa JF kushawishi wajumbe walione lilikuwa swali jepesi lakini ukweli utabakia kuwa ukweli pasco aliuliza swali zito.

Siku nyingine unapo shindwa kuwashawishi watu jaribu kuwachanganya. Labda uje na details nyingine kumuhusu pasco lakini swali lilikuwa poa
 
Habari za jioni wana JF wenzangu!

Naomba nichukue fursa hii adimu kujadili upande wa pili wa swali linaloonekana na baadhi ya watu kuwa NI swali bora kuliko maswali yote ya wahariri walipokutana na Mhe. Rais wa JMT Dr. Magufuli.

Kwanza naomba kusema kuwa halikuwa swali bora hata kidogo bali lilijaa mihemuko na wanaolishabikia wamejaa mihemuko. Sio analytical question hata kidogo kwa sababu zifuatazo:-

1. Halikuwa na background information ya nini kimefanyika ili uweze kukipinga vizuri
2. Halikuwa na any kind ya data kulipa backup ya mtu aliyeenda shule
3. Halikutoa madhara yoyote ya hatua za kubana safari za nje! Hivyo kukosa uhalali wa kuzitetea
4. Pascal Mayall ni kati ya watu waliomtukana Rais Kikwete kuwa ni VASCO DAGAMA kwa masafari lukuku
5. Ameshindwa kuelewa nafasi ya Mhe. Rais ktk mihimili mitatu
6. Ameonesha kuwa ni "MSEMAJI WA WAPIGA DILI"

Kwa muktadha huu, naomba sasa nije kwenye majibu ya Mhe. Rais

Rais ni kiongozi katika mihimili yote mitatu (BUNGE, MAHAKAMA, SERIKALI) kwasababu zifuatazo:-
- Kitendo cha kwenda kuhutubia Bunge na kutoa direction ya nchi
- Kitendo cha Mahakama kuomba pesa za kuendeshea kesi kinaonesha wanamtegemea kama kiongozi wao
- Yeye ni Pay Master General (PMG)
- Yeye ndie anayeteua majaji nk

Hivyo basi kitendo cha Paskali Mayalla kujinasifu kuwa ndie aliyeuliza swali bora kuliko wahariri wote ni dharau kubwa kwa waandishi wenzie wa habari.

Unafiki mkubwa wa huyu bwana unajitokeza anapowaambia wenzake hawakutakiwa kumuona kama Rais. Hivi huyu Paskali anapokaa na baba yake mzazi kuna saa anamuona kama house boy au shamba boy??????

Hivi angeuliza lile swali kwa tone ya kawaida angepungukiwa nini?? Kweni ukiongea kwa kufoka ndio vyombo vya habari vya nje vitakuona na kukupa kazi?? Huko nje wenzake wanaheshimu Ma Rais wao!!!

Huyu Ndugu ni wakupuuzaaaa!!! Jina lake ni Njaa na Njaa imepanda kichwani!! APUUZWEE NA KUSAMEHEWA!!!

Jioni Njema.

Mimi Ndugu yenu.

Queen Esther
1. Kwani wewe ndiyo nani?
2. Wewe uliuliza swali lipi au lile la hobbies za Rais?
3. Paskal Mayala simkubali tangu arushe kipindi cha kupika cha Tume ya uchaguzi kwenye maadhimisho ya nane, lakini swali la jana lilitulia.
4. Yeye kujitambulisha mwana JF isikuume, tafuta gia nyingine, hapa umeleta kichefuchefu.
 
Habari za jioni wana JF wenzangu!

Naomba nichukue fursa hii adimu kujadili upande wa pili wa swali linaloonekana na baadhi ya watu kuwa NI swali bora kuliko maswali yote ya wahariri walipokutana na Mhe. Rais wa JMT Dr. Magufuli.

Kwanza naomba kusema kuwa halikuwa swali bora hata kidogo bali lilijaa mihemuko na wanaolishabikia wamejaa mihemuko. Sio analytical question hata kidogo kwa sababu zifuatazo:-

1. Halikuwa na background information ya nini kimefanyika ili uweze kukipinga vizuri
2. Halikuwa na any kind ya data kulipa backup ya mtu aliyeenda shule
3. Halikutoa madhara yoyote ya hatua za kubana safari za nje! Hivyo kukosa uhalali wa kuzitetea
4. Pascal Mayall ni kati ya watu waliomtukana Rais Kikwete kuwa ni VASCO DAGAMA kwa masafari lukuku
5. Ameshindwa kuelewa nafasi ya Mhe. Rais ktk mihimili mitatu
6. Ameonesha kuwa ni "MSEMAJI WA WAPIGA DILI"

Kwa muktadha huu, naomba sasa nije kwenye majibu ya Mhe. Rais

Rais ni kiongozi katika mihimili yote mitatu (BUNGE, MAHAKAMA, SERIKALI) kwasababu zifuatazo:-
- Kitendo cha kwenda kuhutubia Bunge na kutoa direction ya nchi
- Kitendo cha Mahakama kuomba pesa za kuendeshea kesi kinaonesha wanamtegemea kama kiongozi wao
- Yeye ni Pay Master General (PMG)
- Yeye ndie anayeteua majaji nk

Hivyo basi kitendo cha Paskali Mayalla kujinasifu kuwa ndie aliyeuliza swali bora kuliko wahariri wote ni dharau kubwa kwa waandishi wenzie wa habari.

Unafiki mkubwa wa huyu bwana unajitokeza anapowaambia wenzake hawakutakiwa kumuona kama Rais. Hivi huyu Paskali anapokaa na baba yake mzazi kuna saa anamuona kama house boy au shamba boy??????

Hivi angeuliza lile swali kwa tone ya kawaida angepungukiwa nini?? Kweni ukiongea kwa kufoka ndio vyombo vya habari vya nje vitakuona na kukupa kazi?? Huko nje wenzake wanaheshimu Ma Rais wao!!!

Huyu Ndugu ni wakupuuzaaaa!!! Jina lake ni Njaa na Njaa imepanda kichwani!! APUUZWEE NA KUSAMEHEWA!!!

Jioni Njema.

Mimi Ndugu yenu.

Queen Esther
Huwa nasikia humu kuna sheria ya ban.
 
Mimi ni Queen Esther mwenyewe na wewe ni HAMANI. Mti uliouandaa watundikwe wenzako utatundikwa wewe ili NENO litimie.

Queen Esther

nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiria...

nahisi kwa kuwa kichwa kimejaa hewa,basi hata swali hukulielewa bali lilipita hewa...

sidhani kama unafahamu hata maana ya QUEEN ESTHER..bali nahisi maana ya neno hilo umekariri tu pasipo kujua maana yake
 
Huwezi kuwa na separation of power kwa katiba hii!!! Bado nasisitiza Njaa itamuua Paskali.

Aidha TUNAMUONYA aache KUDHARAU wahariri, ATUOMBE MSAMAHA KABLA HATUJAANIKA MADUDU YAKE!! Amemwaga ugali tunamwaga mboga!!

Queen Esther
Est-ce une vendetta personnelle?
 
Tatizo watu hamtaki kuwa Ma Great Thinker!!

Kuwa na CHICKEN VISION ni tatizo kubwa sana TZ!

Queen Esther

Kweli kwahiyo Queen na wewe ni mhariri wa habari au unatania tu.. Kwahiyo kama rais ni ni PGM wa majaji na bunge inamanisha vyote viko chini yake... Basi majaji hawawezi kkutoa haki kama wanafanyakazi chini ya kumfuata mtu na sio kanuni ila tumshauri tu somo la katiba lipo ata form two civics
 
Dada esther nadhani usikuu wa leo shemeji ameshindwa kutimiza majukumu yake ya kinyumba vizuri ndio maana hata akili zimeruka ukaja na hili gazeti lililojaa mihemko, chuki na kujipendekeza.

Habari za jioni wana JF wenzangu!

Naomba nichukue fursa hii adimu kujadili upande wa pili wa swali linaloonekana na baadhi ya watu kuwa NI swali bora kuliko maswali yote ya wahariri walipokutana na Mhe. Rais wa JMT Dr. Magufuli.

Kwanza naomba kusema kuwa halikuwa swali bora hata kidogo bali lilijaa mihemuko na wanaolishabikia wamejaa mihemuko. Sio analytical question hata kidogo kwa sababu zifuatazo:-

1. Halikuwa na background information ya nini kimefanyika ili uweze kukipinga vizuri
2. Halikuwa na any kind ya data kulipa backup ya mtu aliyeenda shule
3. Halikutoa madhara yoyote ya hatua za kubana safari za nje! Hivyo kukosa uhalali wa kuzitetea
4. Pascal Mayall ni kati ya watu waliomtukana Rais Kikwete kuwa ni VASCO DAGAMA kwa masafari lukuku
5. Ameshindwa kuelewa nafasi ya Mhe. Rais ktk mihimili mitatu
6. Ameonesha kuwa ni "MSEMAJI WA WAPIGA DILI"

Kwa muktadha huu, naomba sasa nije kwenye majibu ya Mhe. Rais

Rais ni kiongozi katika mihimili yote mitatu (BUNGE, MAHAKAMA, SERIKALI) kwasababu zifuatazo:-
- Kitendo cha kwenda kuhutubia Bunge na kutoa direction ya nchi
- Kitendo cha Mahakama kuomba pesa za kuendeshea kesi kinaonesha wanamtegemea kama kiongozi wao
- Yeye ni Pay Master General (PMG)
- Yeye ndie anayeteua majaji nk

Hivyo basi kitendo cha Paskali Mayalla kujinasifu kuwa ndie aliyeuliza swali bora kuliko wahariri wote ni dharau kubwa kwa waandishi wenzie wa habari.

Unafiki mkubwa wa huyu bwana unajitokeza anapowaambia wenzake hawakutakiwa kumuona kama Rais. Hivi huyu Paskali anapokaa na baba yake mzazi kuna saa anamuona kama house boy au shamba boy??????

Hivi angeuliza lile swali kwa tone ya kawaida angepungukiwa nini?? Kweni ukiongea kwa kufoka ndio vyombo vya habari vya nje vitakuona na kukupa kazi?? Huko nje wenzake wanaheshimu Ma Rais wao!!!

Huyu Ndugu ni wakupuuzaaaa!!! Jina lake ni Njaa na Njaa imepanda kichwani!! APUUZWEE NA KUSAMEHEWA!!!

Jioni Njema.

Mimi Ndugu yenu.

Queen Esther
 
Weka HOJA acha VIROJA!! We ni GT bwanaaaa!!!

Queen Esther

Dada esther nadhani usikuu wa leo shemeji ameshindwa kutimiza majukumu yake ya kinyumba vizuri ndio maana hata akili zimeruka ukaja na hili gazeti lililojaa mihemko, chuki na kujipendekeza.
 
Back
Top Bottom