Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amani au Hamani? Unatoka ukoo wa ufalme gani uingereza?Mimi ni Queen Esther mwenyewe na wewe ni HAMANI. Mti uliouandaa watundikwe wenzako utatundikwa wewe ili NENO litimie.
Queen Esther
Kimtokacho mtu ni kile kilichoujaa moyo wake!! Poor you!
Queen Esther
Vous voulez dire que c'est la réponse pour ma question hein ?!Mwenyewe!!!
Queen Esther
Naomba Kujua Elimu yako,
Usikute Una Elimu Hewa.
Unease momentarily baada ya kutupa jiwe, we are the people ,feel free walk tall,walk proud, we are the people.Support ya wana jamii forum wenzake imemfanya mayalla aonekane man of the match
Na ndivyo umejiwakilisha katika uzi wako huu. nakurudishia upoor you
ooh
Kwa hiyo ni katiba mbovu na ndo maana wengine wanaishabikia? Lakini swali lilikuwa valid kwa mtu anaelewa concept ya separtion of powers.
Sioni kwa nini aombe radhi?
Hata yeye atamwaga maji ya kunywa, kunawa mpaka kubinua beseni kabsa.inaonekana unamuogopa.
ebu mwaga mboga.
Jamani mwe mnaona basi aibu kuanika ujinga wenu hadharani...au kwa kuwa kiongozi kajianika basi na wafuasi wake mnaona ni sawa kujianika,loh!Habari za jioni wana JF wenzangu!
Naomba nichukue fursa hii adimu kujadili upande wa pili wa swali linaloonekana na baadhi ya watu kuwa NI swali bora kuliko maswali yote ya wahariri walipokutana na Mhe. Rais wa JMT Dr. Magufuli.
Kwanza naomba kusema kuwa halikuwa swali bora hata kidogo bali lilijaa mihemuko na wanaolishabikia wamejaa mihemuko. Sio analytical question hata kidogo kwa sababu zifuatazo:-
1. Halikuwa na background information ya nini kimefanyika ili uweze kukipinga vizuri
2. Halikuwa na any kind ya data kulipa backup ya mtu aliyeenda shule
3. Halikutoa madhara yoyote ya hatua za kubana safari za nje! Hivyo kukosa uhalali wa kuzitetea
4. Pascal Mayall ni kati ya watu waliomtukana Rais Kikwete kuwa ni VASCO DAGAMA kwa masafari lukuku
5. Ameshindwa kuelewa nafasi ya Mhe. Rais ktk mihimili mitatu
6. Ameonesha kuwa ni "MSEMAJI WA WAPIGA DILI"
Kwa muktadha huu, naomba sasa nije kwenye majibu ya Mhe. Rais
Rais ni kiongozi katika mihimili yote mitatu (BUNGE, MAHAKAMA, SERIKALI) kwasababu zifuatazo:-
- Kitendo cha kwenda kuhutubia Bunge na kutoa direction ya nchi
- Kitendo cha Mahakama kuomba pesa za kuendeshea kesi kinaonesha wanamtegemea kama kiongozi wao
- Yeye ni Pay Master General (PMG)
- Yeye ndie anayeteua majaji nk
Hivyo basi kitendo cha Paskali Mayalla kujinasifu kuwa ndie aliyeuliza swali bora kuliko wahariri wote ni dharau kubwa kwa waandishi wenzie wa habari.
Unafiki mkubwa wa huyu bwana unajitokeza anapowaambia wenzake hawakutakiwa kumuona kama Rais. Hivi huyu Paskali anapokaa na baba yake mzazi kuna saa anamuona kama house boy au shamba boy??????
Hivi angeuliza lile swali kwa tone ya kawaida angepungukiwa nini?? Kweni ukiongea kwa kufoka ndio vyombo vya habari vya nje vitakuona na kukupa kazi?? Huko nje wenzake wanaheshimu Ma Rais wao!!!
Huyu Ndugu ni wakupuuzaaaa!!! Jina lake ni Njaa na Njaa imepanda kichwani!! APUUZWEE NA KUSAMEHEWA!!!
Jioni Njema.
Mimi Ndugu yenu.
Queen Esther
Ulitaka aulize hobby ya mukulu nn? Ktk watu waliouliza swali ni huyu, kuna wakatiba (mpaka mukulu akasema uliona wapi nimetaja katiba kweny compaign zangu?) na yule wa ajira. Hao ndiyo walionikosha ila angepatikana wa fao la kujitoa ningemualika nyumban kwangu akala na kunywa.
Mama anza kuandaa chakula cha usiku, Baba anataka kula alale
Jamani mwe mnaona basi aibu kuanika ujinga wenu hadharani...au kwa kuwa kiongozi kajianika basi na wafuasi wake mnaona ni sawa kujianika,loh!
Hata yeye atamwaga maji ya kunywa, kunawa mpaka kubinua beseni kabsa.
Utetezi wako kamwe hautoondoa kile ambacho wengi wanakiamini kuwa mayala ndiyo aliuliza swali zuri kumbuka wengine walikuwa wanarudia rudia maswali yale yale mpaka wanaonekana hawajielewi kabsa.Habari za jioni wana JF wenzangu!
Naomba nichukue fursa hii adimu kujadili upande wa pili wa swali linaloonekana na baadhi ya watu kuwa NI swali bora kuliko maswali yote ya wahariri walipokutana na Mhe. Rais wa JMT Dr. Magufuli.
Kwanza naomba kusema kuwa halikuwa swali bora hata kidogo bali lilijaa mihemuko na wanaolishabikia wamejaa mihemuko. Sio analytical question hata kidogo kwa sababu zifuatazo:-
1. Halikuwa na background information ya nini kimefanyika ili uweze kukipinga vizuri
2. Halikuwa na any kind ya data kulipa backup ya mtu aliyeenda shule
3. Halikutoa madhara yoyote ya hatua za kubana safari za nje! Hivyo kukosa uhalali wa kuzitetea
4. Pascal Mayall ni kati ya watu waliomtukana Rais Kikwete kuwa ni VASCO DAGAMA kwa masafari lukuku
5. Ameshindwa kuelewa nafasi ya Mhe. Rais ktk mihimili mitatu
6. Ameonesha kuwa ni "MSEMAJI WA WAPIGA DILI"
Kwa muktadha huu, naomba sasa nije kwenye majibu ya Mhe. Rais
Rais ni kiongozi katika mihimili yote mitatu (BUNGE, MAHAKAMA, SERIKALI) kwasababu zifuatazo:-
- Kitendo cha kwenda kuhutubia Bunge na kutoa direction ya nchi
- Kitendo cha Mahakama kuomba pesa za kuendeshea kesi kinaonesha wanamtegemea kama kiongozi wao
- Yeye ni Pay Master General (PMG)
- Yeye ndie anayeteua majaji nk
Hivyo basi kitendo cha Paskali Mayalla kujinasifu kuwa ndie aliyeuliza swali bora kuliko wahariri wote ni dharau kubwa kwa waandishi wenzie wa habari.
Unafiki mkubwa wa huyu bwana unajitokeza anapowaambia wenzake hawakutakiwa kumuona kama Rais. Hivi huyu Paskali anapokaa na baba yake mzazi kuna saa anamuona kama house boy au shamba boy??????
Hivi angeuliza lile swali kwa tone ya kawaida angepungukiwa nini?? Kweni ukiongea kwa kufoka ndio vyombo vya habari vya nje vitakuona na kukupa kazi?? Huko nje wenzake wanaheshimu Ma Rais wao!!!
Huyu Ndugu ni wakupuuzaaaa!!! Jina lake ni Njaa na Njaa imepanda kichwani!! APUUZWEE NA KUSAMEHEWA!!!
Jioni Njema.
Mimi Ndugu yenu.
Queen Esther
Basi yeye atawachuna ngozi na kuwakata nyama zote hadi mbakie mifupa.Tutamvua nguoooo!!
Queen Esther
Nilishas
Mimi nilishasema hapa kuwa huyu Pascal kwanza hana adabu.Kumuuliza rais kuwa mamlaka kayatoa wapi inaonyesha ni mtu ambaye haelewi hata maana ya rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.Pascal umevamia demokrasia kwa pupa kama wananchi wa Libya ambao walivamia kwa pupa sasa wamebaki kushangaa kianchowakuta.
Basi yeye atawachuna ngozi na kuwakata nyama zote hadi mbakie mifupa.