Hongera sana Simbachawene na Kikwete kwa kazi nzuri mnayoifanya Utumishi hadi sasa

Hongera sana Simbachawene na Kikwete kwa kazi nzuri mnayoifanya Utumishi hadi sasa

mazaga one

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
2,514
Reaction score
4,042
Nawasalimu kwa Jina la JMT!

Nimeona niandike machache kupongeza kuhusu hawa Wateule wa Wizara hii yenye kubeba masuala ya Utumishi.

Toka wameingia kwenye hii Wizara hawa Waheshimiwa kuna mabadiliko mengi tumeyaona. Kuanzia kiutendaji hata malalamiko ya watumishi yamepungua.

Hongereni sana Waheshimiwa Kwa Kuendelea Kufanya vizuri kazi za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan hakika hamjamuangusha mpaka Sasa. Endeleeni na Ari hiyo hiyo ya Juu kwenye Utendaji kazi wenu.

Hata watumishi waliopo humu ndani na vijana wengine wanaotarajia kuingia Serikalini watakubaliana nami ya kuwa Hawa Viongozi wanafanya vizuri sana.
 
Nawasalimu Kwa Jina La JMT!

Nimeona niandike machache kupongeza kuhusu Hawa Wateule wa Wizara hii yenye kubeba masuala ya Utumishi.
Toka wameingia kwenye hii Wizara Hawa Waheshimiwa Kuna mabadiliko mengi tumeyaona.Kuanzia kiutendaji hata malalamiko ya watumishi yamepungua.

Hongereni sana Waheshimiwa Kwa Kuendelea Kufanya vizuri kazi za Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan hakika hamjamuangusha mpaka Sasa.
Endeleeni na Ari hiyo hiyo ya Juu kwenye Utendaji kazi wenu..

Hata watumishi waliopo humu ndani na vijana wengine wanaotarajia kuingia Serikalini watakubaliana nami ya kuwa Hawa Viongozi wanafanya vizuri sana.
Kiandike na kukiainisha walichofanya
 
Back
Top Bottom