shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,901
Achana naye huyoKasome kazi ya TISS.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana naye huyoKasome kazi ya TISS.
Hivi ni kweli vimekosa wenyewe?Kukutaarifu tu TAMISEMI wanafanya uchunguz juu ya upotevu wa zaidi ya mil 200 juzi Jafo amesema.
Na leo vichwa vya treni vimekutwa huko vinesukumwa nje ya bahar havijulikani vya nani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kazi ya Tiss ni pamoja na kulinda usalama wa uchumi singa singa na rugemalila Tiss wamewadaka na ubilionea wao. Hongera TISSGwajima Kakimbia Vichwa Vyake vya Train huko Bandarini TISS hatari siku hizi.
Kwa kutumia akili!
!
Unapimaje mkuu.
Maamuzi magumu ni uadui mkumbwa.......Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sabasaba ulitisha.......
Tafsiri yake moja tu,kuwa amani ya nchi hakuna kama zamani,hata enzi za vita vya Kagera Mwlm Nyerere hakuwa na ulinzi huo kama tuko Somali Land ama Kabul,achilia mbali enzi za Mkapa,Mwinyi na Kikwete!!
............Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo........
Tulihubiriwa sana kuwa uvunaji wa gesi Mtwara ndio suluhu ya umeme wa uhakika,tutauza mpaka nje!!! Leo tunahangaika Uganda na Ethiopia kupata UMEME!!!
Analindwa na TISS au wanajeshi au Polisi? Hao TISS si mashati tuTISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.
Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.
Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.
I am proud of our TISS.
Bavicha bado MNA maumivu ya 2015....Subirini tena 2020 mjizike kabisaUlinzi unapokuwa wa kutisha inamaanisha uhalali wa kutawala uko rehani.
Hilo swali nimejiuliza,nimebak kuipuuza hiyo stori tu maana najua ni uzushiHivi ni kweli vimekosa wenyewe?
Zile gari zilizokuwa ndani ya kontena nazo zilipata wenyewe?
Maana ni kama matango pori yanazidi sasa
Kwani wameanza kuiba leo?Au ineundwa mwaka huu?Kazi ya Tiss ni pamoja na kulinda usalama wa uchumi singa singa na rugemalila Tiss wamewadaka na ubilionea wao. Hongera TISS
Mtoa post anaweweseka usingizi wa mchana labda.Hivi TISS ndo walinzi wa rais kwani?
Mi siku zote huwa nadhani walinzi wa rais ni tofauti kabisa na hao sijui ndo TISS.....
But what do I know....
Ebu taja kirefu cha TISSOk. Hata hivo waratibu wa ulinzi huo ni TISS.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duuh naona umeunganisha dot kaka, lakini inawezekana ikawa hvoGwajima Kakimbia Vichwa Vyake vya Train huko Bandarini TISS hatari siku hizi.
Basi hao TISS tuwapeleke key-beatSiyo kweli. Mimi siyo mgambo wa jiji. Mimi ni mzalendo. Fani yangu ni LAW. Sipo biased.Nausema ukweli kama ulivyo. TISS wanafanya kazi yao vizuri na kwa weledi mkubwa.Give each one his due.
Watu kama akina Mwandosya wanapuuzwa mpaka kuzeeka kwao.Kuwa binadamu ni kuwa na akili. Hayo mengine maarifa.
Nikitaka kuwa rais wataniua siku nitakayoanza kampeni.
Sitaki kufa kama Bobby Kennedy.
Mifumo yetu sasa hairuhusu wenye maarifa sana kuwa rais.
Wnchujwa wanaachwa chini.
Kwa sababu hawafai kwa status quo.
Ndiyo maananunaona watu kama Magufuli na Kikwete wanakuwa rais.
Tangu lini NSA ikamlinda Trump? Au Trump wa Miembeni, Zanzibar.Walinzi wa Raisi hutoka TISS. Ingawa kuna kitengo mahususi kwa ajili ya kuwapika wahusika. Watu wa Usalama Ndo hulinda viongozi wakubwa nchi karibu nyingi duniani kama NSA inavyomlinda Trump. Sasa jinsi TISS inavyowapata na kuwafunda Hao wahusika inajua yenyewe. Wataalamu wa usalama wataeleza.
NSA Ndo humlinda Raisi mkuu. Ingawa kuna kitengo ndani yake chenye kufanya Kazi hiyo.Tangu lini NSA ikamlinda Trump? Au Trump wa Miembeni, Zanzibar.
Lema aliota raisi atakufa akafungwa nahisi magufuli anajilinda na ndoto ya lema hapo hata risasi hazijalia " mr pombe ni muoga kupitiliza......Huwezi kushughulikia maslahi ya taifa ipasavyo halafu ukaachwa salama,acha ajilinde.