Hongera sana TISS kwa kazi nzuri sana awamu ya tano

Hongera sana TISS kwa kazi nzuri sana awamu ya tano

Afadhali mkuu umetujuza wananchi wako kiasi kikubwa hongera kiongozi umetufungua masikio huku Nangwanda sijaona tunaona kweli mali zinalindwa kumbe ni hao jamaa safi enzi zilizopita sijui ilikuaje
 
TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.

Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.

Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.

I am proud of our TISS.
[emoji15] [emoji15] mkuu mbona unatia aibu Mara TISS kumlinda rais mala bwawa la rufiji mala megawati 2100 hueleweki nn hasa ulilenga kudadavua au kukisifu kati ya hivyo....humu sio facebook mkuu[emoji15] [emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom