Hongera sana TISS kwa kazi nzuri sana awamu ya tano

Hongera sana TISS kwa kazi nzuri sana awamu ya tano

TISS effectiveness is INVERSELY proportional to the security measure of a common civilian but DIRECTLY proportional to the protectionism stature of a totalitarian state.

mnaojua hesabu kidogo mmenielewa!
Mimi sio hesabu tu Hata Hicho Kingereza sijakielewa
Matatizo ya kukumbia umande dah
 
Hapana. Hao ni Walinzi Maalamu wa Rais wanaitwa PSG kutoka Usalama!

Kumbe Mkuu! Akhsante kwa ufafanuzi wako ' Kuntu ' kabisa. Kwahiyo kumbe PSU na PSG ni vitengo viwili tofauti vya Ulinzi wa Viongozi? Nitashukuru mno kama utanijibia pia na hili Mkuu wangu kwani unaonekana ' umebobea ' sana katika haya masuala hivyo unaweza ukawa msaada mkubwa hasa Kwangu Mimi.
 
Mkuu acha ushamba Hakuna TISS anaebeba bunduki
wale walio vamia clouds ....n tiss je walikuwa na bunduki ama

hawa walio mpa ulinzi magu juzi ni tiss je walibeba nini?

bora uwe mshamba unaye elewa kuliko mjanja usiye jua kitu
 
Mie sio mhalifu nikajiunge ili iweje,kafa wa 1,2,3,4,5,6 hadi 30+ unasema kuna juhud,unazijua juhudi wewe?Halaf sasa si mara ya 1 hii
Wewe hujitambui mkuu,unafikiri vita ya kupigana na wahalifu inachukua siku moja?! Unakumbuka Marekani na ujanja wake kwa kuunganisha nguvu na washirika wae walitumia muda gani kumfuta Osama? unachoshangaa nini sasa,au unataka mpaka wakunyatie wewe na familia yako ndio ujue watu wako kazini? watu wangekuwa wamelala unafikiri hata ungekuwa na kiburi cha kukaa mtandaoni leo kuropoka ropoka vitu usivyovijua? Tulia wewe! watu wanarisk maisha yao kwa faida yako na familia yako halafu unaleta kidomodomo!!
 
Wewe hujitambui mkuu,unafikiri vita ya kupigana na wahalifu inachukua siku moja?! Unakumbuka Marekani na ujanja wake kwa kuunganisha nguvu na washirika wae walitumia muda gani kumfuta Osama? unachoshangaa nini sasa,au unataka mpaka wakunyatie wewe na familia yako ndio ujue watu wako kazini? watu wangekuwa wamelala unafikiri hata ungekuwa na kiburi cha kukaa mtandaoni leo kuropoka ropoka vitu usivyovijua? Tulia wewe! watu wanarisk maisha yao kwa faida yako na familia yako halafu unaleta kidomodomo!!
Sasa Osama alikuwa anaishi Marekani?[emoji57]
 
mmmm TISS,mie nilifikiri kujadili system ni TABOO,kumbe wanajadiliwa kama M16,FBI.MOSSAD,ok ...,ila seriously now ule mradi wa umeme pale selous please ripoti ya kuhusu mazingira izingatiwe na impact yake kwa wanyama,ndege na viumbe vingine vinavyoishi kwenye lile pori,tusije piga kelele wakati tembo,nyati,samba n,k,watakapoanza kuingia kwenye makazi ya binadamu ,pale MLOKA wanaelewa hili na athari zake wameziona,sio sisi tulio kwenye comfort zones zetu hapa Magomeni.
 
Ni matumaini yangu hujawahi kuandika maneno yoyote ya kashfa dhidi ya serikali tangu umejiunga JF la sivyo suburi siku Maxence Melo atakapokubali matakwa ya serikali pale mahakamani ndipo utakapojua TISS ni wa kusifiwa au kuogopwa. Unaposikia wabunge wanalalamika watu kupotea ktk mazingira yasioeleweka unafikiri ni kazi ya nani? Wale walinzi wa mheshimiwa labda tuwaite Secret Service, TISS aka Usalama wa Taifa tupo nao mitaani, ndani ya daladala na hata maofisini kiasi ambacho wengine tunafahamiana nao, labda kama unajisifia mwenyewe!!!
 
Hongera zao, maana naona hata Bei ya sukari na unga imeshuka, ajira nje nje
 
What is the basis of that statement?

I have problems with ignorance, wherever I see it.

In Trump. In Magufuli. In you.

I point it out. I attack it. Ignorance. Not you. Not Magufuli. Not Trump.

Ignorance.

So why do you see my pointing out of ignorance as a personal problem with your president while I attack ignorance anywhere?

I attack ignorance in Kikwete, Mkapa, Mwinyi, Nyerere.

I attack ignorance in Lipumba, Lowassa, Lissu, Hamad.

I attack the charade of democracy in a country where a lot of people are uneducated.

It is ignorance.

I attack the chorus of hagiography that ignores basic things.

It is ignorance.

I attack people who see my attacking ignorance as personal with no basis for saying so.

It is ignorance.

Where do you get this ignorance of suggesting there is anything personal between myself and Magufuli?

If you want to make it personal, I should be singing Magufuli praises.

You know why? I will tell you.

1. My uncle is in Magufuli's cabinet.

2. My father was sold a government house in Oysterbay by Magufuli. It is now probably worth 3 million USD.

If I was not a principled person, I was supposed to be one of those people who sings praises for Magufuli.

He basically gave my family a 3 million USD house for nothing. In Oysterbay.

But I am better than that.

I am looking at the bigger picture using better principles.

Now, as you see, if you want to make it personal, I should love Magufuli immensely.

But I don't. Because my principles are rooted in ideals that are better than the mere personal.

Kuna watu wanamsifia Magufuli wakati kawakamua mpaka mavi.

Kwa sababu ya ujinga.

Mimi ambaye Magufuli kaipa familia yangu nyumba ya dola za Kimarekani milioni tatu Oysterbay bure naujua ujinga wake na namchana.

That alone should give you pause.
Kuumbe! Huyu ndo Al watan
Yaani mwana wa nyumba.
 
My dude,

Truth be told, kumdhibiti mtu ni kazi ngumu sana na kuudhibiti mdomo wa mtu ni kama vile haiwezekani kabisa.

Tunaona hata vile jinsi Trump asivyodhibitika.

Jamaa bado lina tweet hata usiku wa manane na secret service mpaka sasa hawajaweza kumdhibiti.

Bill Clinton aliweza hata kuchepuka tena ndani ya White House na secret service hawakuweza kulizuia hilo.

Sembuse hao sijui ndo TISS wawe na ubavu wa kumdhibiti Magu? Mtu ambaye ndo bosi wao?

Kudhibiti mdomo wa mtu si kazi rahisi hata kidogo.

Na sidhani kuna mtu anayeweza kuudhibiti mdomo wa mtu mwingine.
Bro uwezo wako wa kufikiri ni mkubwa sana,nimependa jinsi ulivyohusisha visa vya marais mbalimbali compared na kwetu,kweli si rahisi kumcontrol mtu
 
Back
Top Bottom