ArD67
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 2,817
- 2,044
TLS si chama cha wanasheria bali mawakili tu. Msamiati usikusumbue hapo.... Haya tumesikia kuwa wewe ni mwanasheria, mbona juzi kwenye mkutano wetu wa dharura wa TLS sijakuona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TLS si chama cha wanasheria bali mawakili tu. Msamiati usikusumbue hapo.... Haya tumesikia kuwa wewe ni mwanasheria, mbona juzi kwenye mkutano wetu wa dharura wa TLS sijakuona?
Ulishajibiwa ktk post za juu, mkuu hayuko salama kwakuwa maslahi ya mafisadi wenye uwezo mkubwa kimikakati imeharibiwa. We nawe, hivi hata hili ni jambo la kujadiliana? We unadhani bodaboda ana hata wazo la kumpiga jiwe Rais? Hivi kweli haya mambo hamyajui au ili tu mpost? Hamjui mabepari huwaweka marais kwa interest zao na ikitokea aliyeko yuko kinyume nao humtoa?Sijuwi Watanzania tumelogwa na nani aisee. Yani watu wanasifia ujinga kama huo. Kwa hali hiyo ya ulinzi ina maana nchi sio salama kwa mkuu. Kwa nchi kama yetu kusingetakiwa hata mkuu awe na mlinzi, zaidi angekuwa na mtu wa kumshikia mikoba tu. Hali ya nchi ni mbaya kwa hali hii.
Usijali kuna watu wana PhD na hawajui inglish
.... Unaweza kuwa wakili bila ya kuwa mwanasheria?TLS si chama cha wanasheria bali mawakili tu. Msamiati usikusumbue hapo.
... Hayo ni mawazo yako tuu, kipindi cha mwanzo cha Nyerere kulikuwa na attempt za kumpindua je ilikuwa sababu ya ufisadi? Secondly si tuna security organs ambao wanaweza kufanya kazi zao silently? Mpaka wajazane openly barabarani?Ulishajibiwa ktk post za juu, mkuu hayuko salama kwakuwa maslahi ya mafisadi wenye uwezo mkubwa kimikakati imeharibiwa. We nawe, hivi hata hili ni jambo la kujadiliana? We unadhani bodaboda ana hata wazo la kumpiga jiwe Rais? Hivi kweli haya mambo hamyajui au ili tu mpost? Hamjui mabepari huwaweka marais kwa interest zao na ikitokea aliyeko yuko kinyume nao humtoa?
Sasa movie mnazozicheki zinawafundisha nini au huwa mnacheki tu bongo movie? Nikutajie orodha ya wakuu wa nchi walio wahi kuuawa na imperialists ili kuyalinda tu maslahi yao? Endelea kuamini mangonjera yao.
Hapana, ila si kila mwanasheria ni wakili..... Unaweza kuwa wakili bila ya kuwa mwanasheria?
Hapana. Hao ni Walinzi Maalamu wa Rais wanaitwa PSG kutoka Usalama!Samahani naomba kuuliza hivi hizi ndizo ' Uniforms ' mpya za JWTZ au? Huyo Jamaa hapo mbele ameivaa. Naomba ' Wajuvi ' wa haya mambo mnielimishe tafadhali.
Nawatakieni uchangiaji mwema wa huu uzi na kila la kheri.
Ipo picha humu ktk moja ya nyuzi Nyerere yuko na ulinzi mkubwa kuliko huu. Lakini pia, unadhani chanzo cha ufisadi au nguvu zao ziko ndani ya nchi? Kama hujui duniani kuna multinational cooperations hapo sitakuwa tena na hoja. Somo litakuwa gumu sana.... Hayo ni mawazo yako tuu, kipindi cha mwanzo cha Nyerere kulikuwa na attempt za kumpindua je ilikuwa sababu ya ufisadi? Secondly si tuna security organs ambao wanaweza kufanya kazi zao silently? Mpaka wajazane openly barabarani?
Una kumbukumbu nzuri sana.......Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sabasaba ulitisha.......
Tafsiri yake moja tu,kuwa amani ya nchi hakuna kama zamani,hata enzi za vita vya Kagera Mwlm Nyerere hakuwa na ulinzi huo kama tuko Somali Land ama Kabul,achilia mbali enzi za Mkapa,Mwinyi na Kikwete!!
............Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo........
Tulihubiriwa sana kuwa uvunaji wa gesi Mtwara ndio suluhu ya umeme wa uhakika,tutauza mpaka nje!!! Leo tunahangaika Uganda na Ethiopia kupata UMEME!!!
TISS effectiveness is INVERSELY proportional to the security measure of a common civilian but DIRECTLY proportional to the protectionism stature of a totalitarian state.TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.
Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.
Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.
I am proud of our TISS.
Loooh!!!!1.Tanzania Inter-banking Settlement System
2.Tata Institue of Social Science
Hata zama za JK TAKOKURU walipeleka watu mahakamani,issue ni je WALIKUWA WANASHINDA?HADI SASA BADO HUWEZ KUSEMA WANAPIGA KAZI,subiri uone hizo kesi watashinda?
Kama unaona hakuna kinachofanyika nawe nenda kajiunge na kundi la hao wahalifu halafu utakuja kusimulia na majibu utakuwa umeyapata.Tangu kufa raia wa 1 hadi 30s bado wanachunguza?
Uko sahihi. Wakiendelea kuonekana hovyo watu watawachukulia wa kawaida kama polisi tu.Kwahiyo huyu anayewaanika ndio anawatia moyo
Pengine hujui hawa ni wazuri zaidi wakifanya kazi bila..kujulikana
"Unsung heroes"
Good answer. Huyo amedandia fani. Hajui tofauti kati ya WAKILI na MWANASHERIA.Siyo kila mwanasheria ni wakili. Lakini kila wakili ni mwanasheria. Hesabu za set and subset za form 1.Na th philosophy of reasoning/logics.Hapana, ila si kila mwanasheria ni wakili.
Shida kubwa ya upinzani wetu ni ignorance. Tunadhani kupinga ni kupinga, iwe kiangazi au kifuku. No reasoning, no objectivity. This is absurdy. Kila anayesema ukweli kwa core evidence pale jambo linapofanyika vizuri, anaonekana mjinga mbele ya wajinga. Ni dhahiri TISS sasa wanaonyesha wapo kazini na matunda ya kazi yao yanaoneka. Ubishi wa nini tena?Sasa ndio napata picha halisi ni kwa nini Tanzania ni maskini, ati hawa ndio wasomi wa Tanzania na bado mtu anaota nchi hii inaweza kupata maendeleo kwakuwa na wasomi wenye kaswende ya ubongo kama bwana huyu?
Mungu akurehemu tu.
Mie sio mhalifu nikajiunge ili iweje,kafa wa 1,2,3,4,5,6 hadi 30+ unasema kuna juhud,unazijua juhudi wewe?Halaf sasa si mara ya 1 hiiKama unaona hakuna kinachofanyika nawe nenda kajiunge na kundi la hao wahalifu halafu utakuja kusimulia na majibu utakuwa umeyapata.