Hongera sana TISS kwa kazi nzuri sana awamu ya tano

Kukutaarifu tu TAMISEMI wanafanya uchunguz juu ya upotevu wa zaidi ya mil 200 juzi Jafo amesema.

Na leo vichwa vya treni vimekutwa huko vinesukumwa nje ya bahar havijulikani vya nani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi ni kweli vimekosa wenyewe?

Zile gari zilizokuwa ndani ya kontena nazo zilipata wenyewe?

Maana ni kama matango pori yanazidi sasa
 
Gwajima Kakimbia Vichwa Vyake vya Train huko Bandarini TISS hatari siku hizi.
Kazi ya Tiss ni pamoja na kulinda usalama wa uchumi singa singa na rugemalila Tiss wamewadaka na ubilionea wao. Hongera TISS
 
Walinzi wa Raisi hutoka TISS. Ingawa kuna kitengo mahususi kwa ajili ya kuwapika wahusika. Watu wa Usalama Ndo hulinda viongozi wakubwa nchi karibu nyingi duniani kama NSA inavyomlinda Trump. Sasa jinsi TISS inavyowapata na kuwafunda Hao wahusika inajua yenyewe. Wataalamu wa usalama wataeleza.
 
Maamuzi magumu ni uadui mkumbwa
 
Analindwa na TISS au wanajeshi au Polisi? Hao TISS si mashati tu
 
Sijui unaongea nini hapa kwenye hii post!!
 
Hivi ni kweli vimekosa wenyewe?

Zile gari zilizokuwa ndani ya kontena nazo zilipata wenyewe?

Maana ni kama matango pori yanazidi sasa
Hilo swali nimejiuliza,nimebak kuipuuza hiyo stori tu maana najua ni uzushi
 
Kazi ya Tiss ni pamoja na kulinda usalama wa uchumi singa singa na rugemalila Tiss wamewadaka na ubilionea wao. Hongera TISS
Kwani wameanza kuiba leo?Au ineundwa mwaka huu?
 
Hivi TISS ndo walinzi wa rais kwani?

Mi siku zote huwa nadhani walinzi wa rais ni tofauti kabisa na hao sijui ndo TISS.....

But what do I know....
Mtoa post anaweweseka usingizi wa mchana labda.
 
Gwajima Kakimbia Vichwa Vyake vya Train huko Bandarini TISS hatari siku hizi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duuh naona umeunganisha dot kaka, lakini inawezekana ikawa hvo
 
Reactions: SDG
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Siyo kweli. Mimi siyo mgambo wa jiji. Mimi ni mzalendo. Fani yangu ni LAW. Sipo biased.Nausema ukweli kama ulivyo. TISS wanafanya kazi yao vizuri na kwa weledi mkubwa.Give each one his due.
Basi hao TISS tuwapeleke key-beat
 
Reactions: SDG
Watu kama akina Mwandosya wanapuuzwa mpaka kuzeeka kwao.
 
Tangu lini NSA ikamlinda Trump? Au Trump wa Miembeni, Zanzibar.
 
Huwezi kushughulikia maslahi ya taifa ipasavyo halafu ukaachwa salama,acha ajilinde.
Lema aliota raisi atakufa akafungwa nahisi magufuli anajilinda na ndoto ya lema hapo hata risasi hazijalia " mr pombe ni muoga kupitiliza......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…