Hongera sana Tundu Lissu kwa ushindi wako lakini shughulikia changamoto hizi

Hongera sana Tundu Lissu kwa ushindi wako lakini shughulikia changamoto hizi

Lisuu na lema wao walikuwa front kumtukana na kumdhalilisha Mbowe live. Mwenyewe akilalaka sana ktk media. Tuone sasa kama mtawaingiza watz barabarani wakakubali
 
TAL na FAM wakae mezani wayajenge, bitterness ipo, lakini pia upande wa pili walidhani ushindi utatosha...wasijue mambo ni mengi.
 
Kwa matusi nyinyi. Mumemtukana mzee wenu mbowe kisa madaraka ya chama tu. Haya mushapata tuone kama mtaambulia hata mbunge 1
Wewe ni ACT Wazalendo kwa nini unawashwa sana na Mambo ya Chadema tena kueneza chuki,huyu Lissu alikukosea nini? Uwe na kiasi.
 
Lisuu na lema wao walikuwa front kumtukana na kumdhalilisha Mbowe live. Mwenyewe akilalaka sana ktk media. Tuone sasa kama mtawaingiza watz barabarani wakakubali
Eleza hapa walimtukana matusi gani? Kumkosoa mtu siyo kumtukana au huko kwenu Unguja kukosoa ni matusi? Una ujinga mwingi sana. Ulikesha humu kumsema vibaya Lissu na kujiapiza kuwa hawezi kuchaguliwa matokeo yake ukavuna aibu leo hii Lissu ni Mwenyekiti.
 
Wewe ni ACT Wazalendo kwa nini unawashwa sana na Mambo ya Chadema tena kueneza chuki,huyu Lissu alikukosea nini? Uwe na kiasi.
Chuki mumeeneza wenyewe. Lema alikuwa front kumtukana mbowe tena kwenye media. Record zipo. Lissu kamwita mbowe mlamba asali na mla rushwa. Record zipo
 
Eleza hapa walimtukana matusi gani? Kumkosoa mtu siyo kumtukana au huko kwenu Unguja kukosoa ni matusi? Una ujinga mwingi sana. Ulikesha humu kumsema vibaya Lissu na kujiapiza kuwa hawezi kuchaguliwa matokeo yake ukavuna aibu leo hii Lissu ni Mwenyekiti.
Lissu mwenyekiti kwa kura 500 za kumtukana Mbowe?
 
Move on, watu wanatengeneza KPI's Chama kitajengwa na akina Lissu na wanachama wote na Mbowe kama mstaafu. Asiyetaka ajitoe.
 
Move on, watu wanatengeneza KPI's Chama kitajengwa na akina Lissu na wanachama wote na Mbowe kama mstaafu. Asiyetaka ajitoe.
Asiyetaka ajitoe???? Njia nzuri ya kumshambulia kama mbowe atatoka mwenyewe
 
Chuki mumeeneza wenyewe. Lema alikuwa front kumtukana mbowe tena kwenye media. Record zipo. Lissu kamwita mbowe mlamba asali na mla rushwa. Record zipo
Tuondolee ushetani wako wa kiunguja hapa.
 
Ndio mbinu yenu hio? Mlikuwa hamjui kama kuna maisha baada ya uchaguzi?
Utu ndio kila kitu.
Kwa mtu au watu walioyotumia hila au kupotosha bila kuzingatia misingi na kanuni za chama wajirekebishe.
 
Dah. Mbowe aliojenga chama anatukwanwa na akina mrema
Uliweka kambi hapa na mpuuzi mwenzako Lucas Mwashambwa kutengeneza fitna lakini hazikuzaa matunda sasa zitazaa matunda sasa? Uchaguzi umekwisha na mlilotaka halikuwa Mbiwe mwenyewe amekubali yaishe,unaendelea kujidhalilisha tu.
 
Back
Top Bottom