Hongera sana wakili msomi Mwabukusi

Hongera sana wakili msomi Mwabukusi

Wakili Msomi emerged to be No.1 among all contestants. Hongera sana Wakili Mwabukusi.
 
Nimefuatilia sana mdahalo wa wagombea wa Urais wa Tanganyika Law Society (TLS). Kati ya wagombea wa kiti hicho ninachukua nafasi hii kumpongeza Wakili msomi Mwabukusi kutokana na maswali aliyoulizwa kwa kujibu maswali yote kwa ufasaha. Naona upepo umebadilika licha ya kupigwa vita Wakili Mwabukusi. Wanachama wa TLS huu ndiyo wakati wa kutoa uamuzi wa kumchagua mtu ambaye ana msimamo na haogopi.
Chama chetu hatuhutaji mwana harakati
 
Sijui kama watampa, system itapambana ashindwe....sijui uchaguzi unafanyikaje na mfumo ni upi ila bado fitina inaweza kuwa kubwa sana maana yeye directly anaonekana yuko kinyume kabisa na serikali,ile maana ya serikali ina mkono mrefu inaweza kutumika uchaguzi huu
Unakumbuka uchaguzi wa TLS, LISSU na SERIKALI? nini ilikuwa matokeo?
 
W
Sijui kama watampa, system itapambana ashindwe....sijui uchaguzi unafanyikaje na mfumo ni upi ila bado fitina inaweza kuwa kubwa sana maana yeye directly anaonekana yuko kinyume kabisa na serikali,ile maana ya serikali ina mkono mrefu inaweza kutumika uchaguzi huu
Wacha mwananchi wangu ashinde uchaguzi mambo ya vyama tuweke pembeni hayo hayana tija kwenye maendeleo ya nchi
 
Baada ya kumpa ushindi mwenzenu ameanza kuwageuka zile kelele zote ilikuwa njaa tu sasa hivi yupo kivulini kila mtu apambanie mwenyewe na hali yake
 

Attachments

  • Screenshot_20241115_092007_Facebook.jpg
    Screenshot_20241115_092007_Facebook.jpg
    147.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom