Hongera sana Zamaradi Mketema, nimekuelewa!


Namsubiri tu ' amposti ' huyo Baba Watoto wake kwani huku mitaani tunalishana mno matango pori ( tunadanganyana ) mno.
 
Panda kwanza mazao ya muda mfupi au yale yanayovumilia ukame!
Sasa hivi si huko mikoani mvua zimeanza kunyesha?

Ukija huku jijini ndio tutakuonyesha huyo zamaradi
hahahaha, apande ya muda mfupi ya muda mrefu bwana yule kapiga marufuku😀😀😀
 
Panda kwanza mazao ya muda mfupi au yale yanayovumilia ukame!
Sasa hivi si huko mikoani mvua zimeanza kunyesha?

Ukija huku jijini ndio tutakuonyesha huyo zamaradi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Bongo rôle models full unafki

Ova
 
tatizo la Zamaradi lipo kwenye namna yake ya kufikiri na wala sio mavazi yake tafadhali usituhamishe kwenye mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…