Hongera sana Zuchu kwa sasa hakuna kama wewe

Hongera sana Zuchu kwa sasa hakuna kama wewe

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
20230430_071117.jpg


Sina records nzuri lakini sijawai kuona msanii wa kike Tanzania amebeba tuzo nyingi hivi kwenye event moja.

Zuchu kwa ili unastahili hongera, upo kimya umeacha kazi zako zipige kelele. Sisi ndio tunajua namna gani Zuchu ni mkubwa mtaani ila tukisema inakuwa nongwa umu watu wanapanic.

Hongera sana malkia wa muziki east africa.

Hongereni BASATA kwa kutenda haki safari hii mnyonge mnyongeni mmetenda haki sana kwenye ugawaji wa tuzo japo mlianza kwa dosari kwenye mchakato.
 
Ghafla BASATA wamekuwa wa maana,Lokole uko na shida kichwani!
BASATA kwenye maamuzi wametenda haki kwa nini tusiwapongeze hata kwenye ilo...wewe umeona kuna mtu analalamikia ugawaji wa tuzo? Tusiwe watu wa kupinga kila kitu.
 
Back
Top Bottom