Hongera serikali kusikia kilio cha tozo

Hongera serikali kusikia kilio cha tozo

Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imetangaza kufuta tozo tatu za miamala ya kieletroniki kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu.

Naipongeza serikali kwa kuwa sikivu na kuja na marekebisho yaliyowezesha kufutwa baadhi ya tozo. Aidha, naungana na wasomi na wabunge walioshauri kuangalia namna ya kuongeza wigo wa walipa kodi nchini, kwani ukweli ni wkamba wanaolipa kodi ni wachache kuliko wanaostahili.

Pia kama Watanzania tunapaswa kutambua kwamba hakuna nchi inayoendelea bila kutoza kodi watu wake hivyo tujitahidi kulipa kodi na tozo ili tupate maendeleo tunayoyahitaji.

Hata misaada inayotolewa na nchi washirikia wa maendeleo inatokana na kodi za wananchi wake, hivyo Watanzania wote wanapaswa kujenga utamaduni wa kulipa kodi ili fedha zake zitumike kuwaletea maendeleo.

Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe. Kazi Iendelee kwa sababu Mama Yuko Kazini.
Yaani ccm inastawi kwasababu ya idadi ya watu kama wewe. Hizo tozo zilipitishwa na kutekelezwa na nani na sasa nani amezifuta?
 
Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imetangaza kufuta tozo tatu za miamala ya kieletroniki kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu.

Naipongeza serikali kwa kuwa sikivu na kuja na marekebisho yaliyowezesha kufutwa baadhi ya tozo. Aidha, naungana na wasomi na wabunge walioshauri kuangalia namna ya kuongeza wigo wa walipa kodi nchini, kwani ukweli ni wkamba wanaolipa kodi ni wachache kuliko wanaostahili.

Pia kama Watanzania tunapaswa kutambua kwamba hakuna nchi inayoendelea bila kutoza kodi watu wake hivyo tujitahidi kulipa kodi na tozo ili tupate maendeleo tunayoyahitaji.

Hata misaada inayotolewa na nchi washirikia wa maendeleo inatokana na kodi za wananchi wake, hivyo Watanzania wote wanapaswa kujenga utamaduni wa kulipa kodi ili fedha zake zitumike kuwaletea maendeleo.

Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe. Kazi Iendelee kwa sababu Mama Yuko Kazini.
Bila kuondoa chanzo cha tatizo, yaani Mwigulu, bado wanatwanga maji kwenye kinu🙄
 
Yaani ccm inastawi kwasababu ya idadi ya watu kama wewe. Hizo tozo zilipitishwa na kutekelezwa na nani na sasa nani amezifuta?
Haka ni kachawa kadogo kanawinda uteuzi Kwa nguvu zote. Ona kalivyo kajinga na ka hovyo kabisa.

 
Tozo ya kutoa kwenye ATM mashine na kwa wakala iko pale pale, acha kusifia ujinga
 
Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imetangaza kufuta tozo tatu za miamala ya kieletroniki kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu.

Naipongeza serikali kwa kuwa sikivu na kuja na marekebisho yaliyowezesha kufutwa baadhi ya tozo. Aidha, naungana na wasomi na wabunge walioshauri kuangalia namna ya kuongeza wigo wa walipa kodi nchini, kwani ukweli ni wkamba wanaolipa kodi ni wachache kuliko wanaostahili.

Pia kama Watanzania tunapaswa kutambua kwamba hakuna nchi inayoendelea bila kutoza kodi watu wake hivyo tujitahidi kulipa kodi na tozo ili tupate maendeleo tunayoyahitaji.

Hata misaada inayotolewa na nchi washirikia wa maendeleo inatokana na kodi za wananchi wake, hivyo Watanzania wote wanapaswa kujenga utamaduni wa kulipa kodi ili fedha zake zitumike kuwaletea maendeleo.

Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe. Kazi Iendelee kwa sababu Mama Yuko Kazini.
Acha kupongeza wanachotakiwa wahusika ni kung'oka kwenye nafasi zao hatuwezi kubembelezana kiasi hiki.
 
Tozo zipo kisheria na ndio zinasaidia kuleta maendeleo kwenye maeneo mbalimbali nchini. Miradi inakamilika, shule zinajengwa, vifaa vinanunuliwa hopsitali kwa kutumia tozo. Tozo kwa maendeleo.
nitajie hiyo sheria
wewe utakuwa huelewi unachokitetea, na hujielewi ,nitajie sheria ya hizo tozo inaitwajwe na ya mwaka gani?
 
Kwann asifute ya miamala ya simu? Naona mnapromote kitu cha wachache...matajiri....ila maskini wengi wapo kwa mpesa...nk
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmempa maswali mpk ametoka ndukii [emoji125]
 
Sioni sababu ya kuipongeza serikali kwa lolote lile kwa kuwa hayo ni majukumu yake na yapo kikatiba ila wasipofanya ni lazima tuwaulize kwa kuwa watakua wanaikanyaga katiba yetu
 
Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imetangaza kufuta tozo tatu za miamala ya kieletroniki kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu.

Naipongeza serikali kwa kuwa sikivu na kuja na marekebisho yaliyowezesha kufutwa baadhi ya tozo. Aidha, naungana na wasomi na wabunge walioshauri kuangalia namna ya kuongeza wigo wa walipa kodi nchini, kwani ukweli ni wkamba wanaolipa kodi ni wachache kuliko wanaostahili.

Pia kama Watanzania tunapaswa kutambua kwamba hakuna nchi inayoendelea bila kutoza kodi watu wake hivyo tujitahidi kulipa kodi na tozo ili tupate maendeleo tunayoyahitaji.

Hata misaada inayotolewa na nchi washirikia wa maendeleo inatokana na kodi za wananchi wake, hivyo Watanzania wote wanapaswa kujenga utamaduni wa kulipa kodi ili fedha zake zitumike kuwaletea maendeleo.

Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe. Kazi Iendelee kwa sababu Mama Yuko Kazini.
Chawa kazini !!
 
Back
Top Bottom